Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Na walakini wa miaka 50 uliopo kwenyeuongozi wa CCM unauzungumziaje?au wao ndiyo miungu mtu?safisheni macho muweze kuona waTZ hiyo rangi ya kijani inawapumbaza kiasi cha kushindwa kupembua mambo? Tuwafikirie sana watoto wetu na vizazi vijavyo,tuache ushabiki unaotunufaisha kwa siku mbili tatu.Wanatuvuruga ili waendelee kula mikate na asali wakati sisi na watoto wetu tuna ganga njaa nasi tuna kubali?
Wewe acha kutetea ujinga!Unadhani CDM hii inaubavu wa kuitoa CCM!Watu wanataka kuondoa uozo chamani ili kupata chama imara wewe unapinga!Unaona bora mtu achote ruzuku ahonge mademu kuliko kuimarisha matawi sio?Nani amekuroga wewe?,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,pumzika kwa amani Wangwe,lakini watu lazima wafahamu kuwa jambo pekee ambalo mwanadamu anauhakika nalo asilimia mia ni KIFO!