Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Hakuna m2 anaitwa Lema katika siasa za arusha mnajisumbua bure na cd zake utadhani alizaliwa awe kiongozi tena kwa arusha asahau ata ubalozi wa nyumba2 hafai kuwa kiongoz muhuni,kibaka,jambaz,mlevi anaedanganya kaokoka c bora ata 2ongozwe na jiwe kuliko lema
Uandishi huu ni aliyeishiwa kimwili na kiakili. Kama katumwa na Nape au Ikulu ya JK kuleta mipasho