Waraka wa Kwaresima wa Maaskofu kutoka KKKT na Kanisa Katoliki. Ibada kuu KKKT inafanyika leo Dayosisi ya Karagwe, tega sikio.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,272
47,268
Kwa kawaida makanisa haya makuu nchini kila mwaka huwa yanatoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, Kipindi hicho hujulikana pia kama KWARESIMA, ambacho kinahitimishwa na IJUMAA KUU na kisha sikukuu ya PASAKA.

Mwaka huu Ibada ya Ijumaa Kuu inafanyika kitaifa katika Dayosisi ya Karagwe (KKKT) leo alasiri, tunasubiri kwa hamu mahubiri na tafakuri murua kutoka kwa Askofu Dk. Benson Bagonza asiyepepesa macho wala ulimi.

Ujumbe wa mwaka jana ulitikisa nchi pale maaskofu walipoonya uminywaji wa demokrasia na uhuru vyombo vya habari na haki za wananchi.

Nawatakia IJUMAA KUU njema yenye heri na Sikukuu ya PASAKA.
 
Kwa kawaida makanisa haya makuu nchini kila mwaka huwa yanatoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, Kipindi hicho hujulikana pia kama KWARESIMA, ambacho kinahitimishwa na IJUMAA KUU na kisha sikukuu ya PASAKA.

Mwaka huu Ibada ya Ijumaa Kuu inafanyika kitaifa katika Dayosisi ya Karagwe (KKKT) leo alasiri, tunasubiri kwa hamu mahubiri na tafakuri murua kutoka kwa Askofu Dk. Benson Bagonza asiyepepesa macho wala ulimi.

Ujumbe wa mwaka jana ulitikisa nchi pale maaskofu walipoonya uminywaji wa demokrasia na uhuru vyombo vya habari na haki za wananchi.

Nawatakia IJUMAA KUU njema yenye heri na Sikukuu ya PASAKA.
Askofu bagonza namkubali sana kwa kusema na kusimama kwenye kweli na haki
 
Kwa kawaida makanisa haya makuu nchini kila mwaka huwa yanatoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, Kipindi hicho hujulikana pia kama KWARESIMA, ambacho kinahitimishwa na IJUMAA KUU na kisha sikukuu ya PASAKA.

Mwaka huu Ibada ya Ijumaa Kuu inafanyika kitaifa katika Dayosisi ya Karagwe (KKKT) leo alasiri, tunasubiri kwa hamu mahubiri na tafakuri murua kutoka kwa Askofu Dk. Benson Bagonza asiyepepesa macho wala ulimi.

Ujumbe wa mwaka jana ulitikisa nchi pale maaskofu walipoonya uminywaji wa demokrasia na uhuru vyombo vya habari na haki za wananchi.

Nawatakia IJUMAA KUU njema yenye heri na Sikukuu ya PASAKA.
Mduanzi tu huyo,kwa imani yako bwege mtozeni
 
Tujikumbushe Ijumaa kuu mateso na kifo cha Yesu Kristu ambae alifufuka.Tuache kiburi hakika tutakufa. Siku za mwanadamu si nyingi.
 
Im proud to be a Christian...viongozi wetu wa dini wako tofauti sana na "wala tende" maana wale jamaa wa upande wa pili ni wanafiki wa kiwango cha lami
Kosa sana kuongelea imani ya mwingine ,ungejikita kwenye imani yako bila kugusa za wengine ingependeza sana.

Na uliowataja wakija kwa style yako itakuaje?
Mjadala utahama kutoka tamko la Bagonza na kua wa kidini totally, na si afya kwa jamii.
Mleta post hakuna sehemu kazodoa waumini wa dini zingine
 
Huyu Askofu Nagonga ana mwandiko mzuri sana. Ngoja leo umuone mubashara. In sure atatrend utube nitamkuta.
 
Kwa kawaida makanisa haya makuu nchini kila mwaka huwa yanatoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, Kipindi hicho hujulikana pia kama KWARESIMA, ambacho kinahitimishwa na IJUMAA KUU na kisha sikukuu ya PASAKA.

Mwaka huu Ibada ya Ijumaa Kuu inafanyika kitaifa katika Dayosisi ya Karagwe (KKKT) leo alasiri, tunasubiri kwa hamu mahubiri na tafakuri murua kutoka kwa Askofu Dk. Benson Bagonza asiyepepesa macho wala ulimi.

Ujumbe wa mwaka jana ulitikisa nchi pale maaskofu walipoonya uminywaji wa demokrasia na uhuru vyombo vya habari na haki za wananchi.

Nawatakia IJUMAA KUU njema yenye heri na Sikukuu ya PASAKA.
Kumbe wewe badala ya kwenda kusali na kutubu madhambi yako umebaki kusubiri mahubiri ya Askofu Benson acha kufikiria kisiasa kila wakati Askofu Benson hawezi kukufikisha mbinguni ila matendo yako!
 
Bagonza hakika wewe ni mchungaji wa kondoo.Leo umeitandea haki Phd yako.Hujapepesa macho.
 
Nimependa hotuba yake. Anasema unaona kabisa ‘huyo anayetetea wanyonge anataka wawe wanyonge zaidi...aendelee kuongaza kwa mtaji wa wanyonge...
 
Waraka wa Kwaresma nijuavyo hutolewa mwanzo kabisa mfungo wa pasaka unapoanza, hivyo tayari uko makanisani, huenda hauna ujumbe ambao tungependa uwe. Hata hivyo nimjuavyo Dkt. Benson Bagonza leo hashindwi kutoa waraka wake kama wengine wameshindwa kuleta waraka tunaoutamani (HAKI ZA BINADAMU).
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom