martyr2012
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 603
- 245
Wana JF.
Naomba mnisaidie kama kuna mtu yeyote aliyewahi kuona au kusoma makala yoyote iliyoandikwa na kamanda wa anga Mh.Mbowe?
Naomba msaada wenu ili tujue Rais wetu mtarajiwa anavyochambua masuala maana jukwaa Mh. anaweza sana!
Anaweza majungu na fujo tuu sio great thinker na siye mtu anayeweza kuaminiwa kwa kupewa nchi kama hii. hatuwezi kuonogozwa na darasa la ..... tupe kwanza elimu yake