Killeville
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 410
- 1,217
Wenye huo waraka tupieni humu,tusijadili kibubusa.
Elimu inaongozwa na washambaElimu ya tz ni majanga
Kuna tetesi kuwa serikali imetoa waraka unaowaelekeza wakurugezi kuwarudisha walimu wa sekondari waliowahamishia msingi kama hawana pesa za kuwalipa. Mwenye kulifahamu hilo Naomba kujulishwa na kama upo nauomba hapa
Kama ni kweli nchi inahitaji kufanyiwa maombi chini ya mibuyu mikubwa, makanisa na misikiti imeshindwa.Kuna tetesi kuwa serikali imetoa waraka unaowaelekeza wakurugezi kuwarudisha walimu wa sekondari waliowahamishia msingi kama hawana pesa za kuwalipa. Mwenye kulifahamu hilo Naomba kujulishwa na kama upo nauomba hapa
Je wamelipwa disturbance allowance?Mbona huku kwetu Mwanza wilayan misungwi mpaka Jana watu wamepewa barua za kuhama na wameshaenda kuripoti
Ndaliiii
Anakwendaaaa
Anapigaaaa kuleeeeeee laaaaaaa laaaaaa
Ndaliiiiiiiii laaaaaaaa laaaaaasassss
Anakosa kuleeeeeeee!!!!
Sio suala LA kutengua waraka ila ni kusisitiza kuwa watu walipwe kabla ya kuhama! Kama pesa hamna uhamisho usimame hadi pesa za uhamisho zitakapopatikana! Serikali ilipoamua waalimu wengine wahamie shule za msingi haikumaanisha kuwa wahamishwe kienyeji bila kufuata utaratibu ikiwa ni pamoja na kuwalipa stahili zao za uhamisho! Wakurugenzi wanaohamisha bila kulipa stahili za uhamisho wana agenda ya siri ya kuichonganisha serikali ya ccm na waalimu hao!!! Napendekeza watumbuliwe maana wanamfedhehesha rais aliyesisitiza mtumishi asihamishwe bila kulipwa pesa za uhamisho anazostahili kwa mujibu wa sheria.Sio kweli waraka haujatenguliwa au kubadilishwa bado waalim wanazidi kuriport kwa shule zenye waalim wengi serikali imeendelea kusema lazima warudi msingi kwa kuwa serikali haiwezi ajiri waalim wengne wakati kuna ambao hawana kazi. Huyo ndoo professor wa bongo.