engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
MM
Umeona lakini ule ujumbe kutoka kwa mwanahabari mwenzako,amejaribu kuelezea jinsi CCM itakavyoshinda Arumeru,nadhani kuna kazi nzito ya kufanya la sivyo nguvu ya umma itume siku ya kutangaza matokeo,la sivyo itakuwa kama ilivyoelezwa ktk taarifa ile ya mwana ccm
Umeona lakini ule ujumbe kutoka kwa mwanahabari mwenzako,amejaribu kuelezea jinsi CCM itakavyoshinda Arumeru,nadhani kuna kazi nzito ya kufanya la sivyo nguvu ya umma itume siku ya kutangaza matokeo,la sivyo itakuwa kama ilivyoelezwa ktk taarifa ile ya mwana ccm