safi mnyika huo ndio msimamo wangu pia kuwa sisi watanzania tumekuwa waoga na hivyo wanafiki na ndo maana tumefika hapa kwa kisingizio cha mfumo wetu ni mbaya na dhaifu wakati sisi wenye mfumo hatukubali kuwa ndio wabaya na wadhaifu nambari wani. mimi binafsi najilaumu na kwa kutofanya jambo la kubadilisha hali hii maana itakuwa aibu kwa watoto na wajukuu zetu.mimi nachukia unafiki sana.wakati nikisoma sekondari(O- level) mama yetu alifariki na baba akaoa mwanamke mwingine baada ya muda wa chini ya mwaka 1,nilimwambia wazi bila kumumunya maneno kuwa amefanya haraka sana na zaidi mwanamke aliyemuoa haikuwa chaguo sahihi nikagombezwa sana na ikafikia hatua ya kuitwa kwenye kikao cha wanafamilia nakutakiwa kuomba radhi kwa kuingilia mambo ya mzazi wangu,lakini nikasimamia ukweli kwa gharama ya kunyimwa ada,baadaya miaka mitatu my father admitted that i was dame right!UNAFIKI NA UOGA NDIO CHANZO CHA MATATIZO YETU WATANZANIA! mnyika hongera na kandamizia hapo hapo no matter what !
Mkuu ningependa sana kufahamu nini haswa unalowaza, nini unalotaka tulifahamu hapa? Je unavyotoa ni vitisho kwamba wewe ndiye mtekelezaji wa majibu au visasi, ni mtetezi au unajaribu kututhibitshia kuwa Raisi si dhaifu na kwamba anaonewa ? Hebu jaribu kutupatia mwelkeo wa mawazo yako kwa undani zaidi. Wakati mwingine inakaa kama unamfahamu sana Kikwete uwezo wake wa kutenda. Ingekuwa uzalendo mwema kuyajadili mambo kwa uwazi zaidi kama kweli unalipenda Taifa lako.Mnyika nilikwambia humuwezi Kikwete, shauri lako, wewe endelea tu.
ubungo imekula kwenu! ngonjera hizi hadi lini!
Nidhamu ya unafiki na uoga tu. Unaogopa kumwambia mtawala ukweli kwa kuwa tu mnasali pamoja!Mnyika nilikwambia humuwezi Kikwete, shauri lako, wewe endelea tu.
Nidhamu ya unafiki na uoga tu. Unaogopa kumwambia mtawala ukweli kwa kuwa tu mnasali pamoja!
ubungo imekula kwenu! ngonjera hizi hadi lini!
Utacheka sana, mwisho utagundua kuwa kinachokuchesha ni kukosa ujasiri wa kukubali kuwa unaye mtetea ni raisi dhaifu kupita kiasi.Kuna ukweli upi mnaujuwa nyinyi? ukweli "0", kwi kwi kwi teh teh teh, si makosa yenu, mnadanganyana toka Sunday school.