Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Tz ni ya waswahili na hata hao unaowaita nao ni waswahili wanafki tu. Upinzani ukitangaza operations zao utawasikia na matamko yao ya kuacha kuchezea amani. Lakini vinginevyo huwaoni zaidi ya kusifu.