Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Ni kweli Mkuu lakini adui akiku-provoke na wewe badala ya kutulia ukaingia kichwa kichwa kwa hasira, badala ya kujenga, unakuwa unajimaliza wewe mwenyewe. Nasary angeweza kutumia maneno mengine kupangua kauli na maneno hayo ya UVCCM na mengineyo au hata kuichana CCM lakini si kwa hoja alizotoa ukizingatia uelewa wa wananchi na jinsi adui anavyoweza kugeuza kibao. Kumbukeni CCM ni mabingwa wa kugeuza hoja kuonesha wengine ndio wenye makosa na sio wao!
sawa, na pia kama tulisikiliza vizuri, ile kauli ya dogo janja ilikuwa crashed pale pale. Mbowe alisema si kauli ya chama makini kama chadema, ile ilikuwa kauli ya hamasa ya kwake yeye kama Nassari.