Waraka kutoka Kenya kwenda kwa viongozi wa TBC

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,211
5,937

Josiah Muthemba

2 years ago
Mimi ni Mkenya na hua niko Mombasa Mtwapa. Hizi nyimbo nasipenda sanaaa na nilikua na sizikiza kwenye RTD Tanzania : vipindi mchana mwema, pole kwa kazi, usiku mwema, mambo mkwito mkwito, bendi zetu naaa kwa jumla nilikua shabiki wa radio tanzania dar es salaam. Siku hizi ati ni tbc ambayo hiko chini chini chini as compared to this RTD. KBC the same hatuna haya nayo hila VOK. Siku hizi mambo si mambo na nimekubali watu hawapendweswi na kizuri but hile baya baya ndio bora. Pole wakati mzuri kaharibiwa tukabaki na hovyo.
Show less

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DbdZ6fTQhRVw&hl=en

 
Tbccm. KISHINDO Cha awamu ya tano.
I suggest they get a director on competitive basis from the open market and not just an unemployable party cadre.
Sifa pekee za kuajiriwa TBC Ni kuwa member wa CCM na kushabikia chama.
Tell me, who is a true journalist at tbccm?
 
Tbccm. KISHINDO Cha awamu ya tano.
I suggest they get a director on competitive basis from the open market and not just an unemployable party cadre.
Sifa pekee za kuajiriwa TBC Ni kuwa member wa CCM na kushabikia chama.
Tell me, who is a true journalist at tbccm?
Ni media ya hovyo mno aisee
 
Ooh masikiniii
Mimi Nina balaa sana
Tabuni nyingi
Zinazonikabili Mimi,
Nitafanya nini ee! Ulimwengu huu!
Niwe na maishaa aa kama wenzagu!x2
Nani anaijua bendi hii?
Daa! Zile Siku taaamu sana!!
 

Josiah Muthemba

2 years ago
Mimi ni Mkenya na hua niko Mombasa Mtwapa. Hizi nyimbo nasipenda sanaaa na nilikua na sizikiza kwenye RTD Tanzania : vipindi mchana mwema, pole kwa kazi, usiku mwema, mambo mkwito mkwito, bendi zetu naaa kwa jumla nilikua shabiki wa radio tanzania dar es salaam. Siku hizi ati ni tbc ambayo hiko chini chini chini as compared to this RTD. KBC the same hatuna haya nayo hila VOK. Siku hizi mambo si mambo na nimekubali watu hawapendweswi na kizuri but hile baya baya ndio bora. Pole wakati mzuri kaharibiwa tukabaki na hovyo.
Show less

https://accounts.google.com/ServiceLogin?service=youtube&uilel=3&passive=true&continue=https://www.youtube.com/signin?action_handle_signin=true&app=desktop&hl=en&next=%2Fwatch%3Fv%3DbdZ6fTQhRVw&hl=en

TBCCM
 
Wangekuwa na akili wangerudisha tu RTD mara 100 ilikuwa na mvuto sana, Sara Dumba, Christine Chakunegela, Edda Sanga, Salim Mbonde, kama hawapo mnaweza kutafuta hata wa kuchonga mkawa mentor wafanane na hao
 
Back
Top Bottom