Hahahaha yule jamaa kiboko! Lakini huwezi jua waweza kuta ni jamaa poa sana in real life
Kiroho na Kimwili ingependeza zaidi! Asante mwaego
Kule zenj huwa wanasema Umzaniaye ndiye jongoo kumbe ni mtetea!
Acid, Fidel, Asprin, Kaizer Ng'wanangwa, DC, Baba Enock na wadada wote nitawatafuta nikitoka vacation kila mtu atapata zawadi
Love ya all, nitawadondoshea picha kadri ya nafasi nitakayokuwa nayo.
Mch Masa safarini
Kule zenj huwa wanasema Umzaniaye ndiye jongoo kumbe ni mtetea!
mmmm yaani wengine sie hatukumbukwi eh???? thawa thawa! sfari njema basi msalimie baba gift sana na uendeshe gari kwa makini. basi usinisahau kweneye hiyo list ya zawadi :redfaces:
Huna lolote umekimbia ule mjadala wetu anyway pengine huyo rafiki yako atakupa facts uje uweke pale kwenye ule uzi wetu. Kila la heri ni matumaini yangu Farikiyo atakupanua mawazo sawiya.
My dear! Salama lakini...uko kundi la wadada wote! Baba Gifti ni Mh Teamo. Najua wewe hupendelea nini....kumbuka sisi ni wakale pamoja