Wapopo.............

wapopo,mabuzi babu...wanaijeria.....yamezubaa zubaa...hivi,kwao nahisi wanawake na wanaume hawajichanganyi sana akikupata anakung'ang'a niiiiiiiiiiiiiia....na wewe unamchuna kirahiiisi.....habari ndio hiyo...lol
 
Sijawahi kuskia hilo jina. ngoja nikae hapa na mimi nijifunze.
Mkuu, hivi unaandika kamusi au? Juzi maana ya neno shangingi, leo maana ya neno mapopo...
 
Nimesikia hili jina ila nashangaa kwamba baadhi ya watu kutoka Naija watu ambao nimekutana nao, wanaonekana kama watu wazuri sana kiasi kwamba huwa naishia kushangaa au kujishangaa!!
Babu kila jamii ina watu wazuri na wabaya, sema jamii nyingine zinavishwa uhasi zaidi nyingine.
 
wapopo,mabuzi babu...wanaijeria.....yamezubaa zubaa...hivi,kwao nahisi wanawake na wanaume hawajichanganyi sana akikupata anakung'ang'a niiiiiiiiiiiiiia....na wewe unamchuna kirahiiisi.....habari ndio hiyo...lol
Hey Becky! mambo? Nilikumiss. :hug:
 
naija 419

hawalali usiku kama popo wakiwaza jinsi ya kufanikisha uhalifu aka lucrative scams/frauds/ white color robbery
 
Sijawahi kuskia hilo jina. ngoja nikae hapa na mimi nijifunze.
Mkuu, hivi unaandika kamusi au? Juzi maana ya neno shangingi, leo maana ya neno mapopo...

Naanda kamusi kwa kweli.....lol
 
Unachuna mnaija?
Mnaija wa ukweli?

Naskia unaweza kimbia na kitaulo bila viatu?
Ni mkonga wa tembo, duuh!
wapopo,mabuzi babu...wanaijeria.....yamezubaa zubaa...hivi,kwao nahisi wanawake na wanaume hawajichanganyi sana akikupata anakung'ang'a niiiiiiiiiiiiiia....na wewe unamchuna kirahiiisi.....habari ndio hiyo...lol
 
Unachuna mnaija?
Mnaija wa ukweli?

Naskia unaweza kimbia na kitaulo bila viatu?
Ni mkonga wa tembo, duuh!

Umenikumbusha enzi za Tatiana na Richard kwenye BBA!!

Kwani hayo madude yana uhusiano na kabila au Taifa??

Halafu usiseme sana kwa sababu kuna watu watapa bonge la promo wakati wengine ndo mambo yetu yatakuwa yameshaharibika hivyo!!!
 
ha ha ha babu bwana!
kwa heshima yako
nanyamaza kimya kabisa

siwezi haribu soko la ndani
kwa kushabikia soko la nje
ambalo haliko 'reliable'

Umenikumbusha enzi za Tatiana na Richard kwenye BBA!!

Kwani hayo madude yana uhusiano na kabila au Taifa??

Halafu usiseme sana kwa sababu kuna watu watapa bonge la promo wakati wengine ndo mambo yetu yatakuwa yameshaharibika hivyo!!!
 
wapopo ni wanaijeria na sababu ya kuitwa wapopo ni kutokulala kwao usiku kwa ajili ya kufanya mazabe.Nalog off
 
ha ha ha babu bwana!
kwa heshima yako
nanyamaza kimya kabisa

siwezi haribu soko la ndani
kwa kushabikia soko la nje
ambalo haliko 'reliable'

Sijui ni umri au ni kitu gani,

Kuna vitu hawa wadau huwa hawaangalii nyuma,

Endekezeni matangazo kama hayo, ila msije kunillaumu kwamba sikuwastua!!
 
wapopo ni wanaijeria jina hilo wamebatizwa na wabongo,linatumika na wabongo dunia nzima kuwatambulisha jamaa japo wenyewe hawajui kama tunawaita hivyo so ukitaka kuwateka hata wakiwepo tumia jina hilo.kuna utata kuhusu chanzo cha jina hilo!

ndiyo ni wanigeria jinahilo linatokana na watu kuwa na ndimi mbili haswa kabila moja linaitwa wayoruba ni wanafiki wakubwa na waongo sana ,akisema wewe ni rafiki yake basi kuna kitu anataka kwako bada ya hayo utasikia music wake, pia ni waongo sana akisema goodmorning katazame jua kwanza nje kama asubuhi, kule kuna waibo, huku tunawaita wachagga hawa watu poa spedi ni spedi na kijiko ni kijiko,pia kuna wafurani wako kama wamasai, popo ni ndege na mnyama hwa wayoruba ni kama popo
 
ndiyo ni wanigeria jinahilo linatokana na watu kuwa na ndimi mbili haswa kabila moja linaitwa wayoruba ni wanafiki wakubwa na waongo sana ,akisema wewe ni rafiki yake basi kuna kitu anataka kwako bada ya hayo utasikia music wake, pia ni waongo sana akisema goodmorning katazame jua kwanza nje kama asubuhi, kule kuna waibo, huku tunawaita wachagga hawa watu poa spedi ni spedi na kijiko ni kijiko,pia kuna wafurani wako kama wamasai, popo ni ndege na mnyama hwa wayoruba ni kama popo

duh..akisema good morning??????lol
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom