Mahandaki toka amezaliwa kayaona uingereza tu, wakati kule tazara yapo mengi tuHuyo namba moja ni balaa sana juzi kasema tangu aingie madarakani kazalisha ajira milioni sita na zaidi.
Ajira milioni sita kwa tz hii saivi kusingekuwepo na vijana wanalialia huku Mtandaoni kutafuta ajira.
Kweli kabisa hata aki-quote Bible wapo tutakaofuatilia kama ni kweli, kwani hukumbuki aliposema Daniel alitupwa kwenye tanuru la moto wakati siyo kweli, waliotupwa kwenye tanuru la moto ni Shedrak, Meshak na Abednego.Nadhani shida ya Wabongo mnapendelea alternative facts, nina uhakika Magufuli akiquote Bible bado kuna watu wataenda kuhakikisha kama iko sahihi
If you cant be trusted in small things, forget about being trusted on big things.Nadhani shida ya Wabongo mnapendelea alternative facts, nina uhakika Magufuli akiquote Bible bado kuna watu wataenda kuhakikisha kama iko sahihi
huyo namba 5Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.
Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Jina la pili la Daniel unalijua? Mwandishi wa habari za tukio hilo ni nani kwenye Bible?Kweli kabisa hata aki-quote Bibke wapo tutakaofuatilia kama ni kweli, kwani hukumbuki aliposema Daniel alitupwa kwenye tanuru la moto wakati siyo kweli, waliotupwa kwenye tanuru la moto ni Shedrak, Meshak na Abednego.