Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine.
Watu hao ni
1. Dkt. John Pombe Magufuli.
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Prof. Joyce Ndalichako
4. Paul Makonda
Kubwa lao ni mbowe na zito, hao ukiwaaamini utapotea gizani.