Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Habari za jioni familia ya JF,
Niende moja kwa moja kwenye swali langu hapo juu,
Nawakumbuka hao hapo juu walikuwa mawaziri waliovuma kipindi cha nyuma lakini hivi sasa hawasikiki hata wakiibuka kwenye hafla mbalimbali za wastaafu.
Je wapo wapi mawaziri hawa wa zamani na wanafanya nini huko walipo kama wastaafu na wazee wa busara?
Niende moja kwa moja kwenye swali langu hapo juu,
Nawakumbuka hao hapo juu walikuwa mawaziri waliovuma kipindi cha nyuma lakini hivi sasa hawasikiki hata wakiibuka kwenye hafla mbalimbali za wastaafu.
Je wapo wapi mawaziri hawa wa zamani na wanafanya nini huko walipo kama wastaafu na wazee wa busara?