Wapo wabunge watetezi wa Watanzania mmoja wapo ni Luhaga Mpina

Rege

Senior Member
Jul 9, 2022
112
140
Jana Septemba 9 2020 nilikuwa nafuatilia Kipindi cha Kipima Joto kinachotangazwa na ITV na mtangazaji Mpayo nikamsikia mzungumzaji mmoja akisema wabunge wamekaa kimya bungeni na kupitisha tozo badala ya kuishauri Serikali maeneo muhimu ya kuongeza ukusanyaji wa mapato nakubaliana naye kwa kiasi fulani.

Lakini ninao ushahidi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye alishauri mambo mengi kuhusiana na ukusanyaji wa mapato na namna Serikali inavyoweza kukusanya mapato mengi bila kuwaumiza wananchi lakini kwa Kiburi cha Kinyiramba cha Waziri wa Fedha Mwigulu hatutaka kusikiliza.

Msikilize kwa makini neno kwa neno Mpina utagungua kama Mwigulu angesikiliza ushauri huu leo taifa lisingefika hapa lilipo kuhusu tozo.

Tuwe wakweli sio kweli kwamba wabunge wote wako kimya kutetea wananchi hata kama wako wachache lakini wapo.

 
Jana Septemba 9 2020 nilikuwa nafuatilia Kipindi cha Kipima Joto kinachotangazwa na ITV na mtangazaji Mpayo nikamsikia mzungumzaji mmoja akisema wabunge wamekaa kimya bungeni na kupitisha tozo badala ya kuishauri Serikali maeneo muhimu ya kuongeza ukusanyaji wa mapato nakubaliana naye kwa kiasi fulani.

Lakini ninao ushahidi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye alishauri mambo mengi kuhusiana na ukusanyaji wa mapato na namna Serikali inavyoweza kukusanya mapato mengi bila kuwaumiza wananchi lakini kwa Kiburi cha Kinyiramba cha Waziri wa Fedha Mwigulu hatutaka kusikiliza.

Msikilize kwa makini neno kwa neno Mpina utagungua kama Mwigulu angesikiliza ushauri huu leo taifa lisingefika hapa lilipo kuhusu tozo.

Tuwe wakweli sio kweli kwamba wabunge wote wako kimya kutetea wananchi hata kama wako wachache lakini wapo.


ITV siku hizi imeshuka viwango
 
Jana Septemba 9 2020 nilikuwa nafuatilia Kipindi cha Kipima Joto kinachotangazwa na ITV na mtangazaji Mpayo nikamsikia mzungumzaji mmoja akisema wabunge wamekaa kimya bungeni na kupitisha tozo badala ya kuishauri Serikali maeneo muhimu ya kuongeza ukusanyaji wa mapato nakubaliana naye kwa kiasi fulani.

Lakini ninao ushahidi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye alishauri mambo mengi kuhusiana na ukusanyaji wa mapato na namna Serikali inavyoweza kukusanya mapato mengi bila kuwaumiza wananchi lakini kwa Kiburi cha Kinyiramba cha Waziri wa Fedha Mwigulu hatutaka kusikiliza.

Msikilize kwa makini neno kwa neno Mpina utagungua kama Mwigulu angesikiliza ushauri huu leo taifa lisingefika hapa lilipo kuhusu tozo.

Tuwe wakweli sio kweli kwamba wabunge wote wako kimya kutetea wananchi hata kama wako wachache lakini wapo.


Mungu akutunze daima mheshimiwa Mpina. Vikaragosi wasikusumbue hata kidogo. Viva great thinker
 
Jana Septemba 9 2020 nilikuwa nafuatilia Kipindi cha Kipima Joto kinachotangazwa na ITV na mtangazaji Mpayo nikamsikia mzungumzaji mmoja akisema wabunge wamekaa kimya bungeni na kupitisha tozo badala ya kuishauri Serikali maeneo muhimu ya kuongeza ukusanyaji wa mapato nakubaliana naye kwa kiasi fulani.

Lakini ninao ushahidi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye alishauri mambo mengi kuhusiana na ukusanyaji wa mapato na namna Serikali inavyoweza kukusanya mapato mengi bila kuwaumiza wananchi lakini kwa Kiburi cha Kinyiramba cha Waziri wa Fedha Mwigulu hatutaka kusikiliza.

Msikilize kwa makini neno kwa neno Mpina utagungua kama Mwigulu angesikiliza ushauri huu leo taifa lisingefika hapa lilipo kuhusu tozo.

Tuwe wakweli sio kweli kwamba wabunge wote wako kimya kutetea wananchi hata kama wako wachache lakini wapo.


uko sahihi
 
Mpina lini kageuka mtetezi wa wananchi?
Mnakumbuka kiburi cha Mpina enzi zake akiwa waziri wa mifugo na uvuvi?

Alichoma nyavu na kutwaa mitumbwi ya wavuvi bila huruma. Ni Mpina huyu huyu aliyebatizwa jina na jiwe na kuitwa "waziri kichaa" kwa ukatili wake.

Ni Mpina huyu huyu aliyemtoa machozi bungeni mzee Abdallah Bulembo kwa ukatili wake.

Uzalendo wa Mpina umeanza lini?
 
Mwananchi atajitetea mwenyewe kibaruani kwake. Kanuni zipo hivyo. Hao wote wamo bungeni kitetea ugali wa familia zao
 
Hata mimi sina shaka hata kidogo na Luhaga Mpina.
Ni Mbunge asiyeogopa kitu. Panapotakiwa kuhoji, anahoji kweli kweli.
 
Mpina lini kageuka mtetezi wa wananchi?
Mnakumbuka kiburi cha Mpina enzi zake akiwa waziri wa mifugo na uvuvi?

Alichoma nyavu na kutwaa mitumbwi ya wavuvi bila huruma. Ni Mpina huyu huyu aliyebatizwa jina na jiwe na kuitwa "waziri kichaa" kwa ukatili wake.

Ni Mpina huyu huyu aliyemtoa machozi bungeni mzee Abdallah Bulembo kwa ukatili wake.

Uzalendo wa Mpina umeanza lini?
Katika hayo uliyoandika bado huuoni Uzalendo wa Mpina? Wewe ni KENGE
 
Katika hayo uliyoandika bado huuoni Uzalendo wa Mpina? Wewe ni KENGE
Namuona kama amejaa makasiriko
na serikali ya Samia kwasabb ulaji aliyokuwa akiupata enzi za sukuma gang haupo tena. Mpina ni sukuma gang
 
Back
Top Bottom