Jana Septemba 9 2020 nilikuwa nafuatilia Kipindi cha Kipima Joto kinachotangazwa na ITV na mtangazaji Mpayo nikamsikia mzungumzaji mmoja akisema wabunge wamekaa kimya bungeni na kupitisha tozo badala ya kuishauri Serikali maeneo muhimu ya kuongeza ukusanyaji wa mapato nakubaliana naye kwa kiasi fulani.
Lakini ninao ushahidi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye alishauri mambo mengi kuhusiana na ukusanyaji wa mapato na namna Serikali inavyoweza kukusanya mapato mengi bila kuwaumiza wananchi lakini kwa Kiburi cha Kinyiramba cha Waziri wa Fedha Mwigulu hatutaka kusikiliza.
Msikilize kwa makini neno kwa neno Mpina utagungua kama Mwigulu angesikiliza ushauri huu leo taifa lisingefika hapa lilipo kuhusu tozo.
Tuwe wakweli sio kweli kwamba wabunge wote wako kimya kutetea wananchi hata kama wako wachache lakini wapo.
Lakini ninao ushahidi wa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ambaye alishauri mambo mengi kuhusiana na ukusanyaji wa mapato na namna Serikali inavyoweza kukusanya mapato mengi bila kuwaumiza wananchi lakini kwa Kiburi cha Kinyiramba cha Waziri wa Fedha Mwigulu hatutaka kusikiliza.
Msikilize kwa makini neno kwa neno Mpina utagungua kama Mwigulu angesikiliza ushauri huu leo taifa lisingefika hapa lilipo kuhusu tozo.
Tuwe wakweli sio kweli kwamba wabunge wote wako kimya kutetea wananchi hata kama wako wachache lakini wapo.