Wapinzani wasipojipanga sawasawa Ikulu kwao kufika ni ndoto

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Jan 16, 2020
2,946
2,929
Saalam

Pamoja na CCM kutumia vyombo vya ulinzi na usalama, lakini ipo njia ingine ya kushinda.

Wakati wa uhakiki wa daftari la kudumu la wapiga kura, CCM nao walikuwa na watu wao kila kituo kuchukua namba za kadi za wapiga kura na majina yao.

Hii imefanyika nchi nzima, ndiyo maana nathubutu kusema wapinzani wasipotafuta mbinu mbadala ikulu kwao ni njozi za mchana.

Siku za nyuma tulisikia suala la tume huru ya uchaguzi, sijui limekwama wapi?

Kwanini mnaibua mambo alafu mnapote, mnataka nani asimamie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Furaha yangu kama Mtanzania hata kama wapinzani wasipochukua Nchi, lakini wasikilizwe, hoja zao zifanyiwe kazi, Democrasia iheshimiwe. Nyumba ni yetu sote, kwanini tukabane na kuwekana ndani ikiwa wote tunataka ipendeze?
 
Hata CCM kipindi wakiitwa TANU na ASP walikuwa wapinzani tena wasiokuwa na chochote lakini mzungu na maguvu yake akaondoka bila kelele. Wakati ukishazungumza, hakuna wa kupindua.
 
Furaha yangu kama Mtanzania hata kama wapinzani wasipochukua Nchi, lakini wasikilizwe, hoja zao zifanyiwe kazi, Democrasia iheshimiwe. Nyumba ni yetu sote, kwanini tukabane na kuwekana ndani ikiwa wote tunataka ipendeze?
Mungu Baba Mwenye Enzi akubariki sana mkuu. Umeandika kinyenyekevu mno lakini kwa uchungu.
 
Mbinu za kuingia madaraka zipo nyingi Sana, Noriega style inamfaa Sana kufanyiwa malaika mkuu na mabeberu.
 
Wapinzani walisha chukua nchi zamani sana kuanzia 2010!lakini nani hasa wa kukuachia nchi kwa kura?ccm hawa?labda kama una maanisha wapinzani wa anzishe kikosi cha kijeshi cha msituni ili kuiondoa ccm madarakani!!!
 
Saalam

Pamoja na CCM kutumia vyombo vya ulinzi na usalama, lakini ipo njia ingine ya kushinda.

Wakati wa uhakiki wa daftari la kudumu la wapiga kura, CCM nao walikuwa na watu wao kila kituo kuchukua namba za kadi za wapiga kura na majina yao.

Hii imefanyika nchi nzima, ndiyo maana nathubutu kusema wapinzani wasipotafuta mbinu mbadala ikulu kwao ni njozi za mchana.

Siku za nyuma tulisikia suala la tume huru ya uchaguzi, sijui limekwama wapi?

Kwanini mnaibua mambo alafu mnapote, mnataka nani asimamie?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasubiri Magufuli atoke chato aje ikulu magogoni!
 
Hata CCM kipindi wakiitwa TANU na ASP walikuwa wapinzani tena wasiokuwa na chochote lakini mzungu na maguvu yake akaondoka bila kelele. Wakati ukishazungumza, hakuna wa kupindua.
TANU na ASP zilikiwa na mikakati dhabiti ya kuwaondoa wakoloni, kushinda uchaguzi na kuongoza nchi baada hapo. Wapinzani wa sasa hawana hilo na ndilo analolisema mtoa post. Wao wanafikiri wataongoza nchi for granted. Wakajifunze Ghana, Senegal na Ivory Coast ni kwa namna gani chama vya upinzani huko viliongoza dola. Na huo wakati unaouzungumzia ni pale wapinzani watakapojinga na Watanzania wakawaelewa.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema upinzani wa kweli utatoka CCM. Alimaanisha uwezo wa hao waliotoka kujifunza namna BORA ya kuendesha vyama vya siasa na sio kama hawa wahuni wanaojiita wapinzani sasa!
 
TANU na ASP zilikiwa na mikakati dhabiti ya kuwaondoa wakoloni, kushinda uchaguzi na kuongoza nchi baada hapo. Wapinzani wa sasa hawana hilo na ndilo analolisema mtoa post. Wao wanafikiri wataongoza nchi for granted. Wakajifunze Ghana, Senegal na Ivory Coast ni kwa namna gani chama vya upinzani huko viliongoza dola. Na huo wakati unaouzungumzia ni pale wapinzani watakapojinga na Watanzania wakawaelewa.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema upinzani wa kweli utatoka CCM. Alimaanisha uwezo wa hao waliotoka kujifunza namna BORA ya kuendesha vyama vya siasa na sio kama hawa wahuni wanaojiita wapinzani sasa!

Sasa kama ipinzani haujajipanga kuchukua dola mbona chama dola kinatumia nguvu nyingi sana kuuangamiza, kinahofia nini? Joka lisilo na sumu linakutisha nini?
 
Sasa kama ipinzani haujajipanga kuchukua dola mbona chama dola kinatumia nguvu nyingi sana kuuangamiza, kinahofia nini? Joka lisilo na sumu linakutisha nini?
Wafuate tu taratibu za nchi uone kama watasumbuliwa. Kuwa chama cha upinzani haimaanishi uvunje sheria kwa kigezo cha Demokrasia. Hata viongozi wa TANU na ASP walishughulikiwa sana walipovunja sheria. Na hicho ndicho tunachowaambia sasa, wafanye siasa sio vurugu!
 
Ikisha kuwa ndoto ndiyo Bashite ataruhusiwa kwenda USA?
Saalam

Pamoja na CCM kutumia vyombo vya ulinzi na usalama, lakini ipo njia ingine ya kushinda.

Wakati wa uhakiki wa daftari la kudumu la wapiga kura, CCM nao walikuwa na watu wao kila kituo kuchukua namba za kadi za wapiga kura na majina yao.

Hii imefanyika nchi nzima, ndiyo maana nathubutu kusema wapinzani wasipotafuta mbinu mbadala ikulu kwao ni njozi za mchana.

Siku za nyuma tulisikia suala la tume huru ya uchaguzi, sijui limekwama wapi?

Kwanini mnaibua mambo alafu mnapote, mnataka nani asimamie?

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Kwa lumumba hawalijui hilo bali wanaona kuwa hii nchi ni mali yao
Furaha yangu kama Mtanzania hata kama wapinzani wasipochukua Nchi, lakini wasikilizwe, hoja zao zifanyiwe kazi, Democrasia iheshimiwe. Nyumba ni yetu sote, kwanini tukabane na kuwekana ndani ikiwa wote tunataka ipendeze?

In God we Trust
 
Upo sahihi mkuu
Hata CCM kipindi wakiitwa TANU na ASP walikuwa wapinzani tena wasiokuwa na chochote lakini mzungu na maguvu yake akaondoka bila kelele. Wakati ukishazungumza, hakuna wa kupindua.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom