Wapinzani wanaitaka Demokrasia wakati wao wenyewe wanashindwa Kui-practice

Kichekesho zaidi ni kwamba wanapojitokeza wengine kutaka ukomo wa mihula ya urais uondolewe kwa taratibu zilizopo kikatiba wanajitokeza kubana pua na hoja ya udikteta.

Ilhali hata huo ukomo kwenye katiba yao ulitolewa kihuni tu.

Ni bora mkawaachia waumini wa Demokrasia pekee wakahubiri habari za Demokrasia.

Toka lini waganga wa kienyeji wakahubiri habari za Yesu.
 
Mkuu watakuja kukutukana ila ulichoandika ndio ukweli.
Ukisikia UDIKTETA ndio huu. Narudia tena "wape nchi uone kama ataondoka madarakani".
Mimi sio mwanasiasa ni mchakata Viazi tu kuwa chipsi hapa kitaani kwetu,
Lakini licha ya kutokuwa mwanasiasa haifanyi Nisiifatilie siasa kwa sababu ata hicho ninachokifanya kipo ndani ya hesabu ya wanasiasa,("Mmiliki wa kiwanda kidogo cha uchakataji kwa mujibu wa takwimu za Viwanda")


Nirudi kwenye mada "Wapinzani wanaitaka Demokrasia wakati wao wanashindwa Kui practice"

Kwanza Niseme wazi Sijaisoma Katiba ya Chama kikuu cha Upinzani (CHADEMA), lakini ata kama sijaisoma Sitaki kuamini kwamba KATIBA yao haina Ukomo wa Uongozi kwa ngazi ya Mwenyekiti kwa maana ya mihula ya Kiungozi,
Kama kweli haina basi ni kosa kwenye Katiba yao waandishi walikuwa wanajitazama Wao zaidi kuliko wengine,

Upinzani unatakiwa ujue kwamba ata Jumuiya ndogo ndogo za kanisa(Roman Catholic ) Zina Ukomo Wa Uongozi,
Mwenyekiti wa jumuiya yeyote hapaswi kuongoza zaidi ya mihula mitatu, na kila muhula wa uongozi ni miaka 3,hii ina maana uongozi wake utadumu kwa miaka 9 pekee na haiwezi kuzidi hapo ata kama anapendwa na wanajumuiya wenzake.

Kama tu kanisa linapractice Demokrasia kwa kiwango kikubwa hivyo kwa nini Vyama vya Upinzani vinashindwa Kuipractice,
Wanaililia Demokrasia wakati wanashindwa kuifanya wao kwa Vitendo,

Kwa Umri wangu mdogo kuanzia pale nimepata ufahamu wa kutambua mambo baadhi huwa nasikiaga tu,
Lipumba ni mwenyekiti, Dovutwa ni mwenyekiti, Mbowe ni mwenyekiti, Mrema Ni mwenyekiti na N.k

Mpaka sasa sijasikia mwenyekiti mstaafu wa Chama flani cha upinzani akaribishwa Ofisini na mwenyekiti wa sasa kujadili mambo kuhusu kukijenga chama chao,
Sijawahi na sijui lini nitasikia kutoka kwa Vyama vya Upinzani,.

Uongozi ni kubadilishana Vijiti, leo weka wazo lako, kesho toka na mwenzio aweke wazo lake,
Wewe waweza ulikosea mahala lakini anapokuja mwingine anaweza kurekebisha pale ili mambo yaweze kwenda,

Hauwezi kuwa kiongozi Daima, hauwezi kujiona wewe tu pekee ndio unafaa kuongoza hakuna wengine,
Ukishakuwa na mawazo ya Aina hiyo huo ni Ubinafsi na Kamwe hatuwezi kusonga Mbele.



Cc Zero IQ
 
Kichekesho zaidi ni kwamba wanapojitokeza wengine kutaka ukomo wa mihula ya urais uondolewe kwa taratibu zilizopo kikatiba wanajitokeza kubana pua na hoja ya udikteta.

Ilhali hata huo ukomo kwenye katiba yao ulitolewa kihuni tu.

Ni bora mkawaachia waumini wa Demokrasia pekee wakahubiri habari za Demokrasia.
Ni kweli inayouma huwezi kuwa mwana Demokrasia usiye na Vitendo vya kidemokrasia nyumbani kwako,
 
Kuna kitu wengi mnashindwa kukielewa, Mbowe ni Chief, ni Kiongozi wa kimila hivyo ni zaidi ya Mwenyekiti wa chadema, ni Kiongozi wa kimila kama Mareale au Mangi mkuu, ndo maana Wachaga wanampigania, na chadema (karibia) wote wanaompinga siyo Wachaga kwa maana hawaaelewi Mbowe ni nani kwa Wachaga.

Ukiangalia ramani ya matokeo ya Uchaguzi mkuu wa Uraisi uliopita ndo utaelewa ninachomaanisha, na Mbowe akitoka chadema anaondoka na watu wake na huo ndo utakuwa mwisho chadema kama tuijuavyo kwani itapoteza sapoti ya Wachaga karibia wote.
 
Tatizo lako ni moja kufikiri demockrasia ni mpaka iwe na ukomo wa mihula, unaweza ukawa na ukomo wa mihula ila usiwe na demokrasia demokrasia inahusisha mambo mengi kuwapa wachaguaji uwezo wa kumchagua MTU wanayemtaka kwa kuzingatia misingi mbslimbali ya kidemokrasia kama kufsny kampeni sahihi, mchakato wa kupiga kura, mchakato wa uhesabuji wa kura na kadhalika. Ila kugombea na kushinda Mara nyingi sio kukiuka hivyo misingi
 
Kuna kitu wengi mnashindwa kukielewa, Mbowe ni Chief, ni Kiongozi wa kimila hivyo ni zaidi ya Mwenyekiti wa chadema, ni Kiongozi wa kimila kama Mareale au Mangi mkuu, ndo maana Wachaga wanampigania, na chadema (karibia) wote wanaompinga siyo Wachaga kwa maana hawaaelewi Mbowe ni nani kwa Wachaga.
Sasa kuwa chief(kuna uhusiano gani na chama cha Siasa),
Chama chochote cha siasa sio chama cha kikabila, ata kanuni za usajiri wa chama pale kwa lubuva zimeweka wazi chama cha siasa sio chama cha kikabila,

Chama kikishakuwa cha kikabila hakifai kuwa chama cha Siasa kwa sababu kitawagawa watu,

Mbowe ni chief atabaki kuwa Chief lakini kwenye Chama yeye ni mwenyekiti sio Chief, mwanachama yeyote wa Chama anafaa kuwa mwenyekiti ili mradi awe na sifa.
 
Kila kitu wapinzani wanachokosoa wenyewe wameshindwa kuwa nacho!
Mifano;
1. Makonda hajasoma hafai kuwa kiongozi; ukiuliza juu ya elimu ya Mbowe watakwambia uongozi siyo shule. Watajaza mifano duniani ya hao viongozi!
2. Magufuli ni dikteta. Lakini kachaguliwa kwa kura na anaendesha nchi kwa ridhaa ya wananchi na kufuata sheria, na bahati sheria hizo nyingi hajazitunga yeye. Mbowe ambaye hataki mtu mwingine agombee uenyekiti na amekuwa mwenyekiti kwa vipindi zaidi ya viwili, na anachoamua ndiyo huwa anaweza kutumia vikao akitaka kubariki maamuzi yake. Mfano alivyoendesha mikutano wa kupitisha jina la Lowasa kuwa mgombea wa Urais, sikuamini macho yangu. Lakini utaambiwa Mbowe hanunuliki na anafaa kuendelea kuwa mwenyekiti!
3. CCM ni chama cha mafisadi. Lakini ukaguzi wa CAG unaonyesha madudu mengi CHADEMA kuliko CCM. Na matumizi ya CHADEMA yana kiwingu kizito. Bado Lowasa aliyesifika kwa ufisadi na kelele zikiongozwa na CHADEMA aliteuliwa na chama hiki kugombea urais!
4.CCM watekaji, lakini angalau kuna ushahidi wa zaidi ya kesi 3 wa watu wa ndani au waliokuwa CHADEMA juu ya utekwaji wao na mateso waliopewa na walinzi na viongozi wa CHADEMA!
 
Sasa kuwa chief(kuna uhusiano gani na chama cha Siasa),
Chama chochote cha siasa sio chama cha kikabila, ata kanuni za usajiri wa chama pale kwa lubuva zimeweka wazi chama cha siasa sio chama cha kikabila,

Chama kikishakuwa cha kikabila hakifai kuwa chama cha Siasa kwa sababu kitawagawa watu,

Mbowe ni chief atabaki kuwa Chief lakini kwenye Chama yeye ni mwenyekiti sio Chief, mwanachama yeyote wa Chama anafaa kuwa mwenyekiti ili mradi awe na sifa.


Hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa, lakini kwa bahati mbaya haiko hivyo.
 
Hebu jiulize waziri mkuu wa Ujerumani Bi Angelah Mikkel, waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyau,Rais wa Urusi Vladimir Putinambao wamedumu zaidi ya miaka 10+ he nchi zao zinapractise Demokrasia? Jibu ni ndio kwani wanagombea watu wengi ila wale kwenye hoja za msingi ndio eanaoshinda na kuongoza, so mbowe bafo ana nafasi ya kuongoza kama chadema wanmhitaji
 
Mimi sio mwanasiasa
Zero IQ, umesema hujasoma katiba ya Chadema, nadhani ingekua busara kama ungefanya jitihada ukaitafuta uisome kisha utuletee udhaifu wa ukomo wa uenyekiti kikatiba ndani ya Chadema.

Pili, umesema toka upate ufahamu unamsikia Mbowe tu kama mwenyekiti wa Chadema, je? umejaribu kusoma historia ya Chadema toka kuanzishwa kwake ili ujiridhishe kuwa ni Mbowe tu. Unamfahamu mzee Mtei au marehemu mzee Makani?

Vilevile mpaka sasa kuna wagombea wawili wamejitokeza kuwania kiti hicho dhidi ya Mbowe, hilo pia hujaliona wala kulisikia?
 
Mimi sio mwanasiasa ni mchakata Viazi tu kuwa chipsi hapa kitaani kwetu,
Lakini licha ya kutokuwa mwanasiasa haifanyi Nisiifatilie siasa kwa sababu ata hicho ninachokifanya kipo ndani ya hesabu ya wanasiasa,("Mmiliki wa kiwanda kidogo cha uchakataji kwa mujibu wa takwimu za Viwanda")


Nirudi kwenye mada "Wapinzani wanaitaka Demokrasia wakati wao wanashindwa Kui practice"

Kwanza Niseme wazi Sijaisoma Katiba ya Chama kikuu cha Upinzani (CHADEMA), lakini ata kama sijaisoma Sitaki kuamini kwamba KATIBA yao haina Ukomo wa Uongozi kwa ngazi ya Mwenyekiti kwa maana ya mihula ya Kiungozi,
Kama kweli haina basi ni kosa kwenye Katiba yao waandishi walikuwa wanajitazama Wao zaidi kuliko wengine,

Upinzani unatakiwa ujue kwamba ata Jumuiya ndogo ndogo za kanisa(Roman Catholic ) Zina Ukomo Wa Uongozi,
Mwenyekiti wa jumuiya yeyote hapaswi kuongoza zaidi ya mihula mitatu, na kila muhula wa uongozi ni miaka 3,hii ina maana uongozi wake utadumu kwa miaka 9 pekee na haiwezi kuzidi hapo ata kama anapendwa na wanajumuiya wenzake.

Kama tu kanisa linapractice Demokrasia kwa kiwango kikubwa hivyo kwa nini Vyama vya Upinzani vinashindwa Kuipractice,
Wanaililia Demokrasia wakati wanashindwa kuifanya wao kwa Vitendo,

Kwa Umri wangu mdogo kuanzia pale nimepata ufahamu wa kutambua mambo baadhi huwa nasikiaga tu,
Lipumba ni mwenyekiti, Dovutwa ni mwenyekiti, Mbowe ni mwenyekiti, Mrema Ni mwenyekiti na N.k

Mpaka sasa sijasikia mwenyekiti mstaafu wa Chama flani cha upinzani akaribishwa Ofisini na mwenyekiti wa sasa kujadili mambo kuhusu kukijenga chama chao,
Sijawahi na sijui lini nitasikia kutoka kwa Vyama vya Upinzani,.

Uongozi ni kubadilishana Vijiti, leo weka wazo lako, kesho toka na mwenzio aweke wazo lake,
Wewe waweza ulikosea mahala lakini anapokuja mwingine anaweza kurekebisha pale ili mambo yaweze kwenda,

Hauwezi kuwa kiongozi Daima, hauwezi kujiona wewe tu pekee ndio unafaa kuongoza hakuna wengine,
Ukishakuwa na mawazo ya Aina hiyo huo ni Ubinafsi na Kamwe hatuwezi kusonga Mbele.



Cc Zero IQ
Naomba msaada jamani,mie ni mgeni hapa,Hivi ccm na mbowe ni nani amekaa madarakani muda mrefu? je ukiacha kufikiria kuachia madaraka nini kinakwamisha tume huru ya uchaguzi Tanzania na katiba bora?
 
Tatizo lako ni moja kufikiri demockrasia ni mpaka iwe na ukomo wa mihula, unaweza ukawa na ukomo wa mihula ila usiwe na demokrasia demokrasia inahusisha mambo mengi kuwapa wachaguaji uwezo wa kumchagua MTU wanayemtaka kwa kuzingatia misingi mbslimbali ya kidemokrasia kama kufsny kampeni sahihi, mchakato wa kupiga kura, mchakato wa uhesabuji wa kura na kadhalika. Ila kugombea na kushinda Mara nyingi sio kukiuka hivyo misingi
We unafikiri Katiba ya Nchi kuwekwa ukomo wa mihula walikuwa hawajui nini maana ya Demokrasia?

Sasa kwa nini wapinzani wanapinga kutolewa kwa kipengelea cha limit ya mihula ya uongozi wa Uraisi katika katiba?

Kwa sababu wanajua itaondoa Demokrasia akipatikana kiongozi mwenye Tamaa na uchu wa Madaraka
 
Vyama vya upinzani Tz siyo taasisi ni watu binafsi ndiyo maana hali ipo hivi,ukitaka ACT-Zitto,NLD-Cheyo,TLP-Mrema NCCR-Mbatia etc ningumu kufanikiwa bila kuwa na taasisi imara
 
Naomba msaada jamani,mie ni mgeni hapa,Hivi ccm na mbowe ni nani amekaa madarakani muda mrefu? je ukiacha kufikiria kuachia madaraka nini kinakwamisha tume huru ya uchaguzi Tanzania na katiba bora?
Ccm ni chama cha Siasa sio Mtu,kupitia udhamini wa Chama kikatoa viongozi wa kuongoza,
Hivyo basi CCM haijakaa madarakani bali ni watu ndio wamekaa kupitia udhamini wa chama.
 
Mimi sio mwanasiasa ni mchakata Viazi tu kuwa chipsi hapa kitaani kwetu,
Lakini licha ya kutokuwa mwanasiasa haifanyi Nisiifatilie siasa kwa sababu ata hicho ninachokifanya kipo ndani ya hesabu ya wanasiasa,("Mmiliki wa kiwanda kidogo cha uchakataji kwa mujibu wa takwimu za Viwanda")


Nirudi kwenye mada "Wapinzani wanaitaka Demokrasia wakati wao wanashindwa Kui practice"

Kwanza Niseme wazi Sijaisoma Katiba ya Chama kikuu cha Upinzani (CHADEMA), lakini ata kama sijaisoma Sitaki kuamini kwamba KATIBA yao haina Ukomo wa Uongozi kwa ngazi ya Mwenyekiti kwa maana ya mihula ya Kiungozi,
Kama kweli haina basi ni kosa kwenye Katiba yao waandishi walikuwa wanajitazama Wao zaidi kuliko wengine,

Upinzani unatakiwa ujue kwamba ata Jumuiya ndogo ndogo za kanisa(Roman Catholic ) Zina Ukomo Wa Uongozi,
Mwenyekiti wa jumuiya yeyote hapaswi kuongoza zaidi ya mihula mitatu, na kila muhula wa uongozi ni miaka 3,hii ina maana uongozi wake utadumu kwa miaka 9 pekee na haiwezi kuzidi hapo ata kama anapendwa na wanajumuiya wenzake.

Kama tu kanisa linapractice Demokrasia kwa kiwango kikubwa hivyo kwa nini Vyama vya Upinzani vinashindwa Kuipractice,
Wanaililia Demokrasia wakati wanashindwa kuifanya wao kwa Vitendo,

Kwa Umri wangu mdogo kuanzia pale nimepata ufahamu wa kutambua mambo baadhi huwa nasikiaga tu,
Lipumba ni mwenyekiti, Dovutwa ni mwenyekiti, Mbowe ni mwenyekiti, Mrema Ni mwenyekiti na N.k

Mpaka sasa sijasikia mwenyekiti mstaafu wa Chama flani cha upinzani akaribishwa Ofisini na mwenyekiti wa sasa kujadili mambo kuhusu kukijenga chama chao,
Sijawahi na sijui lini nitasikia kutoka kwa Vyama vya Upinzani,.

Uongozi ni kubadilishana Vijiti, leo weka wazo lako, kesho toka na mwenzio aweke wazo lake,
Wewe waweza ulikosea mahala lakini anapokuja mwingine anaweza kurekebisha pale ili mambo yaweze kwenda,

Hauwezi kuwa kiongozi Daima, hauwezi kujiona wewe tu pekee ndio unafaa kuongoza hakuna wengine,
Ukishakuwa na mawazo ya Aina hiyo huo ni Ubinafsi na Kamwe hatuwezi kusonga Mbele.



Cc Zero IQ
mkuu ungesoma kwanza katiba ya hao wapinzani, then ungekuwa fair kutoa maoni.
 
Hiv waitara hakuwa chadema 2015 mbona Leo Ni waziri bado unatafuta mawaziri? Zero IQ. Pathetic
Waitara ana historia ndefu: akiwa rais wa DARUSO alikuwa CCM pure na baada ya kumaliza chuo alipewa kazi ya ukatibu wa CCM kinondoni na baadaye katibu mwenezi mkoa wa Tanga. Alikuja kuhamia CHADEMA kwa hasira baada ya kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge, akaahidiwa kuwa meneja wa kampeini baadaye akanyimwa pia nafasi hiyo, ndipo akaona ahamie CHADEMA katika uchaguzi mdogo baada ya kifo cha Chacha Wangwe. Kuwa makini na Waitara.
 
Ni bora ungeendelea kuchakata zile nyapu zako hapa hupawezi ndugu zero IQ
Mimi sio mwanasiasa ni mchakata Viazi tu kuwa chipsi hapa kitaani kwetu,
Lakini licha ya kutokuwa mwanasiasa haifanyi Nisiifatilie siasa kwa sababu ata hicho ninachokifanya kipo ndani ya hesabu ya wanasiasa,("Mmiliki wa kiwanda kidogo cha uchakataji kwa mujibu wa takwimu za Viwanda")


Nirudi kwenye mada "Wapinzani wanaitaka Demokrasia wakati wao wanashindwa Kui practice"

Kwanza Niseme wazi Sijaisoma Katiba ya Chama kikuu cha Upinzani (CHADEMA), lakini ata kama sijaisoma Sitaki kuamini kwamba KATIBA yao haina Ukomo wa Uongozi kwa ngazi ya Mwenyekiti kwa maana ya mihula ya Kiungozi,
Kama kweli haina basi ni kosa kwenye Katiba yao waandishi walikuwa wanajitazama Wao zaidi kuliko wengine,

Upinzani unatakiwa ujue kwamba ata Jumuiya ndogo ndogo za kanisa(Roman Catholic ) Zina Ukomo Wa Uongozi,
Mwenyekiti wa jumuiya yeyote hapaswi kuongoza zaidi ya mihula mitatu, na kila muhula wa uongozi ni miaka 3,hii ina maana uongozi wake utadumu kwa miaka 9 pekee na haiwezi kuzidi hapo ata kama anapendwa na wanajumuiya wenzake.

Kama tu kanisa linapractice Demokrasia kwa kiwango kikubwa hivyo kwa nini Vyama vya Upinzani vinashindwa Kuipractice,
Wanaililia Demokrasia wakati wanashindwa kuifanya wao kwa Vitendo,

Kwa Umri wangu mdogo kuanzia pale nimepata ufahamu wa kutambua mambo baadhi huwa nasikiaga tu,
Lipumba ni mwenyekiti, Dovutwa ni mwenyekiti, Mbowe ni mwenyekiti, Mrema Ni mwenyekiti na N.k

Mpaka sasa sijasikia mwenyekiti mstaafu wa Chama flani cha upinzani akaribishwa Ofisini na mwenyekiti wa sasa kujadili mambo kuhusu kukijenga chama chao,
Sijawahi na sijui lini nitasikia kutoka kwa Vyama vya Upinzani,.

Uongozi ni kubadilishana Vijiti, leo weka wazo lako, kesho toka na mwenzio aweke wazo lake,
Wewe waweza ulikosea mahala lakini anapokuja mwingine anaweza kurekebisha pale ili mambo yaweze kwenda,

Hauwezi kuwa kiongozi Daima, hauwezi kujiona wewe tu pekee ndio unafaa kuongoza hakuna wengine,
Ukishakuwa na mawazo ya Aina hiyo huo ni Ubinafsi na Kamwe hatuwezi kusonga Mbele.



Cc Zero IQ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom