Wapinzani wanachokifanya Kinairudisha Nyuma Tanzania: Acheni siasa za wakina Malcom X

Una utaahira mkubwa sana wewe! Mfumo upi wa Serikali unafanya kazi wewe!? Unasoma ripoti za CAG, kufuatilia vilio vya wafanya biashara nchini na wananchi kwa ujumla!? Kama mifumo ya Serikali unayoisifia inafanya kazi kwanini mabiashara nchi nzima yaanguke!? Kwanini kuwe na ukosefu mkubwa wa ajira!? Kwanini Watanzania kila kona ya nchi walalamike ugumu wa maisha na kupanda gharama za maisha kwa kasi ya kutisha!?

Acha kutumika wewe ili kuganga njaa zako. Ni hasara kubwa kwa nchi yoyote ile duniani kuwa na raia kama mapunguani kama wewe ambao mko tayari kutumika ili kupindisha ukweli wa hali halisi nchini.
Maoni mazuri. cag sio taasisi ya kimarekani ni Bali ni ya serikali kama inagundua maovu ya serikali basi ni busara kupongeza serikali iliyobariki uwepo wake. Matatizo mengine ndio maana serikali ipo na inayashughulikia na huko sio lengo la bandiko, lengo ni nyie mnaowekeza kwenye matatizo Bila kusema your default tanzania and how you will achieve...
 
Political science ndio mnasoma hayo.
Kama ndio hivyo SA wanabadilisha kiongozi wa Lori lenye matatizo yale yale.
ila maoni mazuri hasa kwa wanasiasa wanaoangalia matumbo sio wenye Nia ya kuleta mabadiliko halisi ktk jamii
Nimekupa mfano wa South Africa kukuonesha movement zinavyofanyika. Naona umesoma lakini umeshindwa kunielewa. Hata nikianza kukueleza kuhusu fani ya sayansi ya siasa hutanielewa una ubongo wa mende.
 
We malcom x utamjulia wapi nawewe kalubandika?wenye kuijua history ya malcom x hawawez kuongea pumba kama za kwako...unataka kumcompare malcom x na modern uncle tom luther?

Hizo siasa za african nationalism unazijua chimbuko lake wewe?una habari malcom x keshawahi fika hadi huku east africa kuhamasisha mapinduz kutoka kwa mkoloni?

Hebu kakojoe ukalale
 
Unaongea kijumla sana. Wapinzani hujui wanasimamia nini halafu unasema kwamba wakipewa nchi hawawezi kufanya chochote. Kama wanachosimamia hukijui unasemaje kwamba wakipewa nchi hawawezi kufanya chochote!
Ktokukijua haimaanishi kipo. Kwa ufupi hakipo na kama kipo hawakielewi wala hakieleweki kwa jamii ya mtanzania kufupisha mizunguko.
Tunaandika haya kwa faida yao.
 
Kwa structure ya upinzani wa sasa huu unaosubiri Magufuli asiende kuaga miili ndio uponde hali unaacha masuala muhimu ambayo ni kero kuyapigia kelele wasahau kushika dola,upinzani aliondoka nao Slaa baada ya kuasi kambi....Kama wanataka kujulikana tena waibue issues waache kukomaa na Magu kila anakoenda wanamfuata...barabara ya Mafinga Mbeya haijakamilika kwa wakati miezi sita mbele hao upinzani wapo kimya,sembe imepanda thrice fold wenyewe wanatajataja jina la Magu,...Mabwawa yanafungwa wavuvi maisha magumu wako kimya eti TLS,TLS,...Serikali inajenga miundombinu wanaponda....upinzani umekalia hoja laini laini tu,hata kina mnyika siku hizi wameufyata zitto hana makali tena,au kwa sababu kafulila kijana wa hoja nzito hayupo?,upinzani wa 5th phase unaongozwa na upepo wa vijitukio I. E. TLS,uzinduzi wa hostel,ziara ya Morocco, Faru John, Faru fausta,kudandia hoja za mange,Urafiki wao wa ghafla na Nnauye(mh! tangu lini au mnatafuta sympathy) nk aisee badilikeni kama kweli mnataka vijana wake kwa waume wawaamini kushika dola laah mtaisikia Chamwino(not magogoni) kwenye bomba.Unaruhusiwa kutoa povu kimoyomoyo au quote...upinzani wa sasa hauna unachokitaka mia, unatia huruma!
Kwanza hueleweki unamsapoti mtoa hoja au unampinga. Mtoa hoja anesema wapinzani waache kuikosoa serikali waeleze ndoto zao. Wewe unasema wanaacha kupigia kelele matatizo ya wananchi ambayo ukielezea ni Sawa tu na kuikosoa serikali, kifupi hamueleweki. Pili mtu akizungumza chochote anashughulikiwa na dola. Mazingira yaliyopo nchini kwa sasa ni ya wakati wa Malcolm sio ya Luther . Waache uhuru wa maoni ili itumike filosofia ya Martin Luther King. Mtoa Mada anatumia ideology asizozijua vizuri, amezipitia tu juu juu au umeamua kupotosha kwa nakurudi. Mbinu ya kutumia hutegemea mazingira.
 
Bashite ndo anaipeleka Tanzania mbele kwa kufoji vyeti na ujambazi wake
 
We malcom x utamjulia wapi nawewe kalubandika?wenye kuijua history ya malcom x hawawez kuongea pumba kama za kwako...unataka kumcompare malcom x na modern uncle tom luther?

Hizo siasa za african nationalism unazijua chimbuko lake wewe?una habari malcom x keshawahi fika hadi huku east africa kuhamasisha mapinduz kutoka kwa mkoloni?

Hebu kakojoe ukalale
Naona umesoma huku upenzi wa x ukiwa constant. Huwezi kuelewa unachoeleweshwa na siri iliyonyuma ya mantiki ya bandiko
 
Naona umesoma huku upenzi wa x ukiwa constant. Huwezi kuelewa unachoeleweshwa na siri iliyonyuma ya mantiki ya bandiko

Huwez kuja kuomgipea hapa kwamba eti ideas za malcom x hazijaleta effects yoyote katika jamii ya america hususan black americans na dunia kwa ujumla kisha ukaachwa tuh uongee pumba zako

Ideas za malcom x a.k.a alhaj malik el shabaaz zimeleta mabariko makubwa sana kuanzia generation yake mpaka generation ya sasa na zijazo....

Tafuta wa kumwongopea siyo hapa JF utaishia kuchekwa tun
 
Huwez kuja kuomgipea hapa kwamba eti ideas za malcom x hazijaleta effects yoyote katika jamii ya america hususan black americans na dunia kwa ujumla kisha ukaachwa tuh uongee pumba zako

Ideas za malcom x a.k.a alhaj malik el shabaaz zimeleta mabariko makubwa sana kuanzia generation yake mpaka generation ya sasa na zijazo....

Tafuta wa kumwongopea siyo hapa JF utaishia kuchekwa tun
Hapa hatutaki kukalili kwa movement za civil rights kwa black people has marekani kwingineko hatujazungumzia. Anaweza kuwa na mchango lkn alichokifanya ukikiweka katika mizani njia ya Martin Luther Jr ndio iliyokuwa na maono ndani yake na ni ya kudumu. Hilo liko wazi. Ili uelewe cha kwanza kufanya ni kuweka upenzi mfukoni
 
Nakupata Malcom weka swali vzr maana naona kama liko jumla sana. Au unaweza kuweka maoni kabisa
Mimi si Malcom.

Ulipoandika "Wapinzani wanachokifanya Kinairudisha Nyuma Tanzania: Acheni siasa za wakina Malcom X" kama kichwa cha uzi huu, ulikusudia "wapinzani" kwa definition gani?

Unaposema "wapinzani" una maana gani?

Nani ni mpinzani? Kwa nini?
 
Unaweza kuniambia maono ya martin luther king yameleta faida gani kwa mfano?

Nipe faida hata moja

Usije kuja kunya hapa na kusema kwamba umefaidika kwa kupatikana kwa yule puppet black prezoo obama ...utazid kuchekesha

Because ni katika kipindi chake tumeshuhudia manyanyaso makubwa na mauaji makubwa kbs ya blacks compared to other previous adminstrations...!

Just tell me only one achievement resulted from martin luther king ideas...

Only one please
Hapa hatutaki kukalili kwa movement za civil rights kwa black people has marekani kwingineko hatujazungumzia. Anaweza kuwa na mchango lkn alichokifanya ukikiweka katika mizani njia ya Martin Luther Jr ndio iliyokuwa na maono ndani yake na ni ya kudumu. Hilo liko wazi. Ili uelewe cha kwanza kufanya ni kuweka upenzi mfukoni
 
Wanasiasa wanatuharibia nchi! Rais tuliyenaye sasa hivi asing'oke madarakani! apige kazi hadi maendeleo yaonekane! hatuwez kufuata mifumo ya nchi zilizoendelea kama malekani tukafanikiwa! udikteta kwanza!
 
Kwanza hueleweki unamsapoti mtoa hoja au unampinga. Mtoa hoja anesema wapinzani waache kuikosoa serikali waeleze ndoto zao. Wewe unasema wanaacha kupigia kelele matatizo ya wananchi ambayo ukielezea ni Sawa tu na kuikosoa serikali, kifupi hamueleweki. Pili mtu akizungumza chochote anashughulikiwa na dola. Mazingira yaliyopo nchini kwa sasa ni ya wakati wa Malcolm sio ya Luther . Waache uhuru wa maoni ili itumike filosofia ya Martin Luther King. Mtoa Mada anatumia ideology asizozijua vizuri, amezipitia tu juu juu au umeamua kupotosha kwa nakurudi. Mbinu ya kutumia hutegemea mazingira.
Mkuu lazima ufahamu kwamba upinzani wa kweli hauogopi dola kwa kuufyata kama wanavyofanya hawa wakajifunze jirani tu hapo kwa Besegye
 
Wanasiasa wanatuharibia nchi! Rais tuliyenaye sasa hivi asing'oke madarakani! apige kazi hadi maendeleo yaonekane! hatuwez kufuta
 
Wewe ni taahira ambaye umeweka mbele tumbo lako na kutetea utendaji mbovu wa Serikali ambao unaingamiza Tanzania. Huna ulijualo hata moja zaidi ya kuja humu kuandika pumba zako ili kutetea Serikali ambayo imeshindwa kuongoza nchi na kelele ziko kila kona nchini.

Wewe ni msaliti wa Tanzania na Watanzania na hata siku moja huwezi kuandika chochote humu kuikemea hii Serikali na utendaji wake mbovu kwenye kila sekta.

Maoni mazuri. cag sio taasisi ya kimarekani ni Bali ni ya serikali kama inagundua maovu ya serikali basi ni busara kupongeza serikali iliyobariki uwepo wake. Matatizo mengine ndio maana serikali ipo na inayashughulikia na huko sio lengo la bandiko, lengo ni nyie mnaowekeza kwenye matatizo Bila kusema your default tanzania and how you will achieve...
 
Daaaah mkuu nimejifunza kitu..... Nimpumbavu pekee Ndio Atakaye kupinga....
&kwani mpaka Sasa sisi upinzan hatuelew tunapigania nini........ Usije ukashangaa mwakakesho kutwa BASHITE akawa shujaa WA upinzan..... Ha ha ha ha Kuna mtu povu litamtoka Sasa hivi...... Utashaangaa vipi wakati wema sepetu tokea kua....... Mpaka kua Ndio mashujaa wetu leo tuna waheshimu kuliko hata mamlaka
 
Mimi si Malcom.

Ulipoandika "Wapinzani wanachokifanya Kinairudisha Nyuma Tanzania: Acheni siasa za wakina Malcom X" kama kichwa cha uzi huu, ulikusudia "wapinzani" kwa definition gani?

Unaposema "wapinzani" una maana gani?

Nani ni mpinzani? Kwa nini?
Namaanisha ktk siasa za bongo tunamakundi mawili. Watawala CCM na wapinzani wa watawala CDM, etc. Wapinzani kwa kundi la pili...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom