Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,322
Wako busy kumpamba bwana fulani badala ya kuwapa nafasi wanaosema ukweli.Tatizo letu kubwa kama Taifa ni unafiki;kuanzia Ikulu na wanaoizunguka hadi huku vijijini.
Wahariri nao wametoka kwenye jamii hii hii iliyokumbatia unafiki.
Unafiki ndio umeua uzalendo wa kweli,umepofusha macho ya tuliowakabidhi mamlaka kutuongoza,umeua ari ya kuhoji masuala nyeti ya Taifa letu,umeua ujasiri wa kusimamia hoja za msingi za kitaifa.
Siku tuakapoamua kwa dhati kuukataa unafiki,naamini ndio tutakapo anza kusogea kiuchumi na kwa nyanja zote.
Tuukatae unafiki kwanza
Na wewe ni mnafiki sana, wanampamba bwana fulani gani wakati mwezi mzima na nusu magazeti yalikuwa yanampamba Lissu tu!! Kutwa kucha, mara ooh, leo kala, mara ooh, anapasaua bomu,Mara ooh Mange sijui atafyatua bombshell kesho, sasa hizo ni Habari za watu gani hao?Wako busy kumpamba bwana fulani badala ya kuwapa nafasi wanaosema ukweli.
WachaneeeNa wewe ni mnafiki sana, wanampamba bwana fulani gani wakati mwezi mzima na nusu magazeti yalikuwa yanampamba Lissu tu!! Kutwa kucha, mara ooh, leo kala, mara ooh, anapasaua bomu,Mara ooh Mange sijui atafyatua bombshell kesho, sasa hizo ni Habari za watu gani hao?
Wako busy kumpamba bwana fulani badala ya kuwapa nafasi wanaosema ukweli.
umeshau na hizi, mara kala ndizi na kande , ooh kaasema mambo ha ha haNa wewe ni mnafiki sana, wanampamba bwana fulani gani wakati mwezi mzima na nusu magazeti yalikuwa yanampamba Lissu tu!! Kutwa kucha, mara ooh, leo kala, mara ooh, anapasaua bomu,Mara ooh Mange sijui atafyatua bombshell kesho, sasa hizo ni Habari za watu gani hao?
Ha ha ha haaaaumeshau na hizi, mara kala ndizi na kande , ooh kaasema mambo ha ha ha
Wabongo hata uwagawie hela bure kila siku lazima wataongea yao tu acha jamaa awapige pin tuYakiruhusiwa kuandika wapendavyo wanaanza kumtukana aliewaruhusu kuwa Mara Bwege Mara Dhaifu Acha tu Kama Noma na iwe Noma
IPP Media nao wajiandae maana siku hizi wanapoteza muelekeo.Wakuu nawaomba sana tunapopambana na ccm basi ni lazima tupambane na kila anayewaunga mkono, wakiwemo wahariri mamluki , ukitaka kuelewa nguvu tuliyonayo angalia mauzo ya magazeti ya propaganda , Uhuru , Mzalendo , Daily news , halafu igeukie TBC kuanzia redio hadi Tv
Ni kweli mkuu...,Wakuu nawaomba sana tunapopambana na ccm basi ni lazima tupambane na kila anayewaunga mkono, wakiwemo wahariri mamluki , ukitaka kuelewa nguvu tuliyonayo angalia mauzo ya magazeti ya propaganda , Uhuru , Mzalendo , Daily news , halafu igeukie TBC kuanzia redio hadi Tv
Kama wamepoteza dira.., kwa nini Baba yako amepiga marufuku mikutano ya kisiasa...?!CHADEMA WAMEPOTEZA DIRA. SASA HIVI WAMEBAKI KINYE MIPASHO NA KUTULANA WATU. CHADEMA HAWANA DIRA.
Nyie ni wadogo sana tumeshawapotezea. Hivi huoni hata thread za hapa JF ni nyie kwa nyie tu mnajijibu.!!! Tanzania is more than you think. Nyie ni kama washehereshaji tu. Hamna impact yoyote. CCM = Tanzania. Ni watu wenye uelewa duni tu wasio lijua hilo CHADEMA inajufa yenyewe. ndani kwa ndani. Mtu mwenye kuiua CCM ni mwana CCM pekee. Ukiwa nje ya CCM sahau, utabaki kupiga makelele tu. Ukitoka ndani ya CCM ni kama samaki akiondolewa kwenye maji atarukaruka kwa muda mfupi tu.Ni kweli mkuu...,
Tena hili la magazeti na CCM linatakiwa liwe na uzi wake pekee..
Ni wakati mwafaka sasa kuanza kupambana na CCM na VIBARAKA wake vita kali ya kiuchumi..
Kwanza lazima kufanya kampeni ya kususia KUNUNUA, KUVITAJA, vijigazeti vyao, UHURU TANZANITE na mengine yanayo support udikteta na CCM...
Wakati utafika hatutaangalia sura ya mtu .IPP Media nao wajiandae maana siku hizi wanapoteza muelekeo.
Fikra hizi ndizo zinaua taifa hili kwa spidi ya mwendokasi!, Lissu amepambwaje? Kuna kundi la wachumia tumbo wamejivika kuwa wachepushaji wa hoja zenye kulisaidia taifa. Hapa kuna mambo mawili: Hoja ya vyombo vya habari kujielewa na kubeba ajenda za kulisaidia taifa (mfano ni hicho kilichozungumzwa na Zitto) kwa upande mmoja, na vyombo hivyo kuchukua nafasi kubwa kumpamba Rais kuwa amefanya mambo makubwa katika miaka miwili (bila kuwa na critical analysis), mambo ambayo hayamsaidii Rais wala nchi yenyewe. watu kama nyie ndio hasa mlistahili kupimwa mikojo badala ya akina Gwajima!Na wewe ni mnafiki sana, wanampamba bwana fulani gani wakati mwezi mzima na nusu magazeti yalikuwa yanampamba Lissu tu!! Kutwa kucha, mara ooh, leo kala, mara ooh, anapasaua bomu,Mara ooh Mange sijui atafyatua bombshell kesho, sasa hizo ni Habari za watu gani hao?