Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Who are!? Unadhani TZ ni kwa maslahi yenu tu!? Watanzania tunahitaji mahitaji muhimu. Siyo kelele zenu za ovyo ovyo ambazo hazina direction. Mara huyu fisadi mara mzuri, eti siasa ni watu.Wakati utafika hatutaangalia sura ya mtu .
Huu ni upuizi sana. Siasa ni itikadi ni kuamini na kuwa na idiology. Siyo kuwa kigeu geu. Mmepoteza credibility na lengo lenu sasa ni kutaka kuvuruga watu.