kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 627
Mwaka 1992 Tanzania inarudisha mfumo wa vyama vingi
NCCR MAGEUZI ilikuwa na manguli wa siasa
Mpaka tunaingia katika chaguzi wa vyama vingi 1995 NCCR ilikuwa na watu wenye uwezo wa kuongoza dola na Taifa kwa ujumla
Baada ya hapo NCCR ikafa
Ikafuhatia CUF 2000 - 2005 Ilikuwa na watu wenye uwezo na ushawishi wa kushika dola
CUF nayo ikaja kufa
Ikafuhatia Chadema 2010 - 2015
Watu walikuwepo wenye uwezo wa kushawishi na kushika dola
Baada ya hapo Chadema nayo ndembe ndembe
2020 CCM haina mpinzani kabisa
Labda kwa upande wa visiwani angalau kidogo ACT wazalendo
Wakipewa dola kule Zanzibar watu wenye uwezo na ushawishi wa kushika dola na kuongoza serikali wanao na nchi itatulia bila wasi wasi wowote
Upande wa bara 2020 hakuna chama chenye wanasiasa bora na manguli wa kushika dola na kuiongoza
Ukweli ndio huo na ni lazima usemwe.
Siwaoni manguli wa siasa Chadema, wala CUF, wala NCCR mageuzi hata ACT upande wa Tanzania Bara hakuna ushawishi wowote wa kisiasa zaid ya harakati kama zile za kumpokea LISU kwa maandamano na kisha giza likizama na story imekufa
Unafanya harakati za kwenda kuaga mwili wa mzee mkapa kwa mbwembwe unazuiliwa kuingia uwanja wa Taifa kwa kutokufuhata protokali na story imekwisha
Hoja yangu 2020 wapinzani wametepeta mapema asubuhi tu...
Mwenye kubisha na abishe tu
NCCR MAGEUZI ilikuwa na manguli wa siasa
Mpaka tunaingia katika chaguzi wa vyama vingi 1995 NCCR ilikuwa na watu wenye uwezo wa kuongoza dola na Taifa kwa ujumla
Baada ya hapo NCCR ikafa
Ikafuhatia CUF 2000 - 2005 Ilikuwa na watu wenye uwezo na ushawishi wa kushika dola
CUF nayo ikaja kufa
Ikafuhatia Chadema 2010 - 2015
Watu walikuwepo wenye uwezo wa kushawishi na kushika dola
Baada ya hapo Chadema nayo ndembe ndembe
2020 CCM haina mpinzani kabisa
Labda kwa upande wa visiwani angalau kidogo ACT wazalendo
Wakipewa dola kule Zanzibar watu wenye uwezo na ushawishi wa kushika dola na kuongoza serikali wanao na nchi itatulia bila wasi wasi wowote
Upande wa bara 2020 hakuna chama chenye wanasiasa bora na manguli wa kushika dola na kuiongoza
Ukweli ndio huo na ni lazima usemwe.
Siwaoni manguli wa siasa Chadema, wala CUF, wala NCCR mageuzi hata ACT upande wa Tanzania Bara hakuna ushawishi wowote wa kisiasa zaid ya harakati kama zile za kumpokea LISU kwa maandamano na kisha giza likizama na story imekufa
Unafanya harakati za kwenda kuaga mwili wa mzee mkapa kwa mbwembwe unazuiliwa kuingia uwanja wa Taifa kwa kutokufuhata protokali na story imekwisha
Hoja yangu 2020 wapinzani wametepeta mapema asubuhi tu...
Mwenye kubisha na abishe tu