Wapinzani wamekuwa jiko la kupika viongozi?

untimwenge

Member
Apr 27, 2020
55
105
Katika kipindi hiki cha miaka mitano kumekuwa na ongezeko la viongozi wa upinzani waliotimka kwenda kwenye chama tawala na wakalamba nafasi nyeti za uteuzi kwenye nafasi kadhaa kwenye serikali.

Je, hili ni kuonyesha kuwa wapinzani wanawaandaa viongozi bora kuliko chama tawala tena chenye hadi chuo cha kuandaa viongozi? Natoa mifano michache ya viongozi machachari na wapiga kazi hodari serikali waliotoka upande wa pili:-

1. Dr Slaa
2. Mh Juliana Shonza
3. Mh. Patrobas Katambi
4. Mh. Anna Mgwira.
5. Mh. Waitara.
6. Mh. Kafulila
7. Professor Kitila Mkumbo
8. Dr. Mollel.
9. Mh. Mtatiro
10. Wabunge wote waliojiuzulu upinzani walichaguliwa kupitia chama tawala
11.
12.
13.
N.k
Je, bado Kuna vichwa ambavyo vingeshirikishwa kwenye utendaji waliopo upinzani wangefanya kazi nzuri zaidi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
2021baada ya uchaguzi,
silinde naibu,wizara ya michezo

wilfred muganyizi rwakatale viti maalum ubunge,kisha wizara ya mambo ya ndani,jeshi la polisi anakabiziwa huyu jamaa aliefukuzwa kwenye chama,kama ataruhusu hata mikutano ya ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi
Katika kipindi hiki cha miaka mitano kumekuwa na ongezeko la viongozi wa upinzani waliotimka kwenda kwenye chama tawala na wakalamba nafasi nyeti za uteuzi kwenye nafasi kadhaa kwenye serikali.

Je, hili ni kuonyesha kuwa wapinzani wanawaandaa viongozi bora kuliko chama tawala tena chenye hadi chuo cha kuandaa viongozi? Natoa mifano michache ya viongozi machachari na wapiga kazi hodari serikali waliotoka upande wa pili:-

1. Dr Slaa
2. Mh Juliana Shonza
3. Mh. Patrobas Katambi
4. Mh. Anna Mgwira.
5. Mh. Waitara.
6. Mh. Kafulila
7. Professor Kitila Mkumbo
8. Dr. Mollel.
9. Mh. Mtatiro
10. Wabunge wote waliojiuzulu upinzani walichaguliwa kupitia chama tawala
11.
12.
13.
N.k
Je, bado Kuna vichwa ambavyo vingeshirikishwa kwenye utendaji waliopo upinzani wangefanya kazi nzuri zaidi?



Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wao walikua upinzani kwa mkopo, kumbuka Dr slaa alitokea wapi alipojiunga chadema
 
Katika kipindi hiki cha miaka mitano kumekuwa na ongezeko la viongozi wa upinzani waliotimka kwenda kwenye chama tawala na wakalamba nafasi nyeti za uteuzi kwenye nafasi kadhaa kwenye serikali.

Je, hili ni kuonyesha kuwa wapinzani wanawaandaa viongozi bora kuliko chama tawala tena chenye hadi chuo cha kuandaa viongozi? Natoa mifano michache ya viongozi machachari na wapiga kazi hodari serikali waliotoka upande wa pili:-

1. Dr Slaa
2. Mh Juliana Shonza
3. Mh. Patrobas Katambi
4. Mh. Anna Mgwira.
5. Mh. Waitara.
6. Mh. Kafulila
7. Professor Kitila Mkumbo
8. Dr. Mollel.
9. Mh. Mtatiro
10. Wabunge wote waliojiuzulu upinzani walichaguliwa kupitia chama tawala
11.
12.
13.
N.k
Je, bado Kuna vichwa ambavyo vingeshirikishwa kwenye utendaji waliopo upinzani wangefanya kazi nzuri zaidi?



Sent using Jamii Forums mobile app
(1) Albert msando
(2)mosesi machali
(3)Juliana shonza
(4)Ana mwingira
(5)kibajaji
(6)kalsti Lazaro
(7)na wengine wengi tu
Hapo bado sijataja mameya na manaibu meya
Wabunge na madiwani
Wajumbe wa vijiji na vitongoji
Ukiodhoresha kwa majina wote utabaini kuwa ccm halis kifikia mwaka 2025 itakuwa imekufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kipindi hiki cha miaka mitano kumekuwa na ongezeko la viongozi wa upinzani waliotimka kwenda kwenye chama tawala na wakalamba nafasi nyeti za uteuzi kwenye nafasi kadhaa kwenye serikali.

Je, hili ni kuonyesha kuwa wapinzani wanawaandaa viongozi bora kuliko chama tawala tena chenye hadi chuo cha kuandaa viongozi? Natoa mifano michache ya viongozi machachari na wapiga kazi hodari serikali waliotoka upande wa pili:-

1. Dr Slaa
2. Mh Juliana Shonza
3. Mh. Patrobas Katambi
4. Mh. Anna Mgwira.
5. Mh. Waitara.
6. Mh. Kafulila
7. Professor Kitila Mkumbo
8. Dr. Mollel.
9. Mh. Mtatiro
10. Wabunge wote waliojiuzulu upinzani walichaguliwa kupitia chama tawala
11.
12.
13.
N.k
Je, bado Kuna vichwa ambavyo vingeshirikishwa kwenye utendaji waliopo upinzani wangefanya kazi nzuri zaidi?



Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu yoyote mpinzani huwa anakuwa na fikra zaidi kuliko wale kondoo waliobaki kwenye zizi.
 
Back
Top Bottom