Wapinzani wanafikiri adui yao ni mtu aliyepo ccm kumbe ccm ndio adui yaoUpumbavu tu!
Kwa hiyo wakianikwa ndio chadema itainuka?
Gaidi atatoka jela?
Na kwanini wapinzni mjiuze?
🤣🤣🤣🤣🤣Na kina Bananga walinunuliwa na Samia waanakwe.
View attachment 2043690
Sasa kwa akili yako unadhami wahuni wanaweza kuchomo kibanda walichomo?Polepole ndie aliyekuwa Dalali wa kuwaandaa wasanii kede kede ikiwemo kushika fuko la hela wakati wa uchaguzi atuambie ikiwemo Dalali wa kuwatongoza waunga juhudi.So hawezi jitenga na hili
Alafu kumbe wapinzani nao mnapokea rushwa?
Sasa mnatofauti gani na ccm?wazee
Wote hao.. mkuu mimi ni anti-ccm🤣🤣🤣🤣🤣
Nyalandu pia.
Wewe utakuwa sukumagang.
Safarii kitachomekaSasa kwa akili yako unadhami wahuni wanaweza kuchomo kibanda walichomo?
Mimi naanza na huyu.Vita ya "wahuni" na Kiroboto bado inaendelea. Upande wa "wahuni" kwa sasa umevuta pumzi baada ya mshale uliorushwa na Bulembo.
Taarifa zinasema kwamba upande unasikilizia kama mshale wa Bulembo utajibiwa. Na kama ukijibiwa na Chakubanga basi utakuwa muda muafaka kuhoji kama Uzalendo unaruhusu rushwa. Rushwa ambayo itazunguzmwa ni ile ya Chakubanga kshiriki zoezi ovu la kununua wabunge na viongozi wa upinzani.
Kwa hiyo Ndugu Chakubanga ukiwa unaandaa bomu kuwalipua wahuni basi andaa majibu ya rushwa ulizowapa wapinzani
Walinunuliwa na Polepole?! Au unamanisha CCM ndio ilikua inawanunua ? Kwani biashara ya utumwa bado ipo! Btw wahuni hawawezi kufika huko kwani kiroboto hakutoa pesa yake mfukoni. Itakua kukichafua chama na hao wapinzani wenyewe ambao hawawezi kukubali. Sisi tunajua walingua wanaunga juhudiVita ya "wahuni" na Kiroboto bado inaendelea. Upande wa "wahuni" kwa sasa umevuta pumzi baada ya mshale uliorushwa na Bulembo.
Taarifa zinasema kwamba upande unasikilizia kama mshale wa Bulembo utajibiwa. Na kama ukijibiwa na Chakubanga basi utakuwa muda muafaka kuhoji kama Uzalendo unaruhusu rushwa. Rushwa ambayo itazunguzmwa ni ile ya Chakubanga kshiriki zoezi ovu la kununua wabunge na viongozi wa upinzani.
Kwa hiyo Ndugu Chakubanga ukiwa unaandaa bomu kuwalipua wahuni basi andaa majibu ya rushwa ulizowapa wapinzani
Sasa mbona hajafungwa?Ni gaidi
Si labda ingekuwa bangi basi , gongo aliyeinywa analewa na kulala , haimpi ujasiri wowote , acheni uongoNi kweli kimenuka maana shahidi alipewa gongo ili amtukane jaji
hiyo ni misukule au nini? mbona sielewei.Na kina Bananga walinunuliwa na Samia waanakwe.
View attachment 2043690
Ingekuwa aliwanunua kwa kuwashawishi basi angekuwa aliifanya kazi yake vyema. Ila aliwalazimisha wajiuze na wote waliokataa walishughulikiwaHii ni post ya hovyo kutokea kuliko zote Duniani.
Hivi utakuwa afisa masoko wa kampuni ushindwe kushawishi watu watumie huduma za kampuni yako au kujiunga na kampuni yako?
Nafasi ya katibu mwenezi kwenye chama ni sawa na afisa masoko kwenye makampuni ambao hutembea na watu wa promotion kuuza bidhaa za kampuni kwa bei ndogo au kutoa bure lengo ni kushawishi watu kujiunga na huduma za kampuni hiyo
Kuweza kushawishi wapinzani ni credit kubwa sana kwake kama afisa madoko wa chama na ndio maana asilimia kubwa wana vyeo vikubwa kama mawaziri maana yake alileta asserts na sii liability
Hili goma linaamsha zote zote "dadadadadae"!!Na kina Bananga walinunuliwa na Samia waanakwe.
View attachment 2043690
Genge la maharamiaLichama la hovyo tu hili.
Sasa yeye si anamwaga mboga,wenzie watamwaga ugaliSiri ya Jeshi hiyo.
Vijana wa BUKU 7 kushney Babu jiiii..Upumbavu tu!
Kwa hiyo wakianikwa ndio chadema itainuka?
Gaidi atatoka jela?
Na kwanini wapinzni mjiuze?