Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Asante sana mkuu kwa kumaliza kazi ya kuwafunga midomo hao ma sukuma gangHuwa mnazungumzia watanzania gani? Marehemu Shujaa alisema kuwa wabunge wengi hawakuchaguliwa na wananchi, na Lusinde karudia kuwa wapo Bungeni kwa UBAVU wa Shujaa!
Wekeni free and fair election muone rangi halisi ya watanzania kuhusu CCM na Shujaa.
Kuhusu ripoti ya CAG ni sindano kwenye kalio la CCM, inachoma mno msijitikise itakatikia ndani.
Kichere kaongezewa ulinzi kwa kuwa mnataka kumdhuru.