Wapinzani waja na mbinu mpya ya kuiba kura uchaguzi wa serikali za mitaa

Propaganda huwezi unajilazimisha kwa ajili ya njaa taja mafanikio ya chama chako nakushauri ubaki kuwa mpiga kura huna ushawishi badala kujenga unabomoa
 
Wewe subiri tarehe 5, kama kuna mpinzani atateuliwa kuwa mgombea huyo aliyemteua ajipange, maana watu wanasema hawataki kampeni, wapinzani watatumia kampeni kuichafua serikali na kudanganya watu . ndio maana hamtakiwi kukatiza hyo tarehe 5, subirini red card kabla hata game haijaanza na mashine zote za VAR zitakuwa zimeondolewa uwanjani
 
Watapikiwa kura na nani wakati hawakujiandikisha mliwakataza!!
Kwani unafikiri wote wa CCM watskuwa wanamkubali huyo mgombea?
Kuna mtu aligombea nafasi kapata kura moja tu yakwake. Hata mkewe na wanae hawakumpigia. Siri ni ya mpiga kura anaweza kusema mimi nitakupigia fulani kumbe uongo
 
Hata kama ukisikia huelewi, je hata KUSOMA na KUONA kwa macho bado unakuwa huelewi tu??
2201942_FB_IMG_1572764637157 (1).jpg
2201942_FB_IMG_1572764637157 (1).jpg


Mfano kuna mwenzetu ameleta habari ya huyu Mtendaji wa Kijiji cha NZEGA NDOGO (pichani) kukimbia ofisi na kufanyia kazi za kiofisi mafichoni ambako ni CCM tu wanajua eti ili tu wagombea wa CHADEMA na vyama vingine vya upinzani wasipate nafasi ya kusainiwa fomu zao na mwisho kabisa deadline ifike wakose haki yao....

Hii imetokea huko wilayani Nzega mkoa wa Tabora....

Ili uweze kutushawishi kuwa hisia zako hizo ni za kweli, ulipaswa kuwa na ushahidi kuthibitisha propaganda zako....!!

Mfano kwenye habari hii iliyotokea huko NZEGA, Tabora;

å Kijiji cha mtendaji aliyefanya ujinga huu kimetajwa (NZEGA NDOGO)

å Picha ya Mtendaji wa kijiji husika imepigwa na kuoneshwa (ndiyo hapo juu)

Sasa ulishindwa kujiridhisha nini ku - prove kuwa huu ni uongo kwa kuja na maelezo kuka - counter attack ushahidi huu???
 
Wewe subiri tarehe 5, kama kuna mpinzani atateuliwa kuwa mgombea huyo aliyemteua ajipange, maana watu wanasema hawataki kampeni, wapinzani watatumia kampeni kuichafua serikali na kudanganya watu . ndio maana hamtakiwi kukatiza hyo tarehe 5, subirini red card kabla hata game haijaanza na mashine zote za VAR zitakuwa zimeondolewa uwanjani
Huo utafiti umehoji watu wangapi mbona kwetu sijakuona,njaa inakutoa.ili uendelee na ajira yako ni bora wawepo walifurika ajira huna utakuwa karai
 
Hata kama ukisikia huelewi, je hata KUSOMA na KUONA kwa macho bado unakuwa huelewi tu??
View attachment 1252924View attachment 1252924

Mfano kuna mwenzetu ameleta habari ya huyu Mtendaji wa Kijiji cha NZEGA NDOGO (pichani) kukimbia ofisi na kufanyia kazi za kiofisi mafichoni ambako ni CCM tu wanajua eti ili tu wagombea wa CHADEMA na vyama vingine vya upinzani wasipate nafasi ya kusainiwa fomu zao na mwisho kabisa deadline ifike wakose haki yao....

Hii imetokea huko wilayani Nzega mkoa wa Tabora....

Ili uweze kutushawishi kuwa hisia zako hizo ni za kweli, ulipaswa kuwa na ushahidi kuthibitisha propaganda zako....!!

Mfano kwenye habari hii iliyotokea huko NZEGA, Tabora;

å Kijiji cha mtendaji aliyefanya ujinga huu kimetajwa (NZEGA NDOGO)

å Picha ya Mtendaji wa kijiji husika imepigwa na kuoneshwa (ndiyo hapo juu)

Sasa ulishindwa kujiridhisha nini ku - prove kuwa huu ni uongo kwa kuja na maelezo kuka - counter attack ushahidi huu???
Una uhakika na hayo mkuu? Kwenye mitandao lazima uchuje habari mkuu!
 
Mkuu

Rais, rais, rais, awamu ya tano, awamu ya tano, awamu ya tano

Hv hamuwez kuyaepuka hayo Maneno kwenye nyuzi zenu???
 
Suala la kupigiwa kura halina mahusiano na kunyimwa fomu, huenda hujui unaloongea. Tunataka wachukue fomu kisha siku ya kupiga kura tuonyeshe ni jinsi gani ccm haikubaliki. Mnataka mgombea wa ccm apite bila kupingwa ili mfiche aibu ya watu kususia huo uhanithi?
Wewe huyuhuyu ilisema hamshiriki angalia comments zako wakati wauandikishaji wa wapigakura leo tena umekuja kivingine!! Ama kweli nyinyi ni wazee wa kubadilisha gia angani!!!
 
Wewe huyuhuyu ilisema hamshiriki angalia comments zako wakati wauandikishaji wa wapigakura leo tena umekuja kivingine!! Ama kweli nyinyi ni wazee wa kubadilisha gia angani!!!

Narudia tena, hujui unaloongea, msimamo wa sisi kutokupiga kura uko palepale, vyama kushiriki kwenye uchaguzi ni jambo jingine. Ni vyema ukajitahidi kutenganisha haya mambo mawili.
 
Hawataweza wataishia jera maana mbinu zao zinajulikana kabla hawajafanya

Bongo upinzani bado sana


State agent

Tanzania hakuna uchaguzi. Serikali ya CCM ni ya Mapinduzi haijui neno uchaguzi. Na ndio wakati wote hutumia vyombo vya dola kulinda uharamia wao
 
Viongozi wa upinzani nchi hii ni wa ajabu sana!

Tuliwashauri! Tukawahimiza! Lakini wapi!

Badala ya kususia uchaguzi na kukata rufaa hadi kieleweke kwenye kesi dhidi ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi; wao wanakimbilia kwenda kushiriki uchaguzi kwenye mazingira yaliyokorogeka!

Labda walihisi kuwa ni uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji tu... Lakini wajipange kisaikolojia make hali itakuwa zaidi ya hii come October next year!

Tunachokishuhudia sasa kwa watendaji kukimbia au kujificha kitajirudia kwa wakurugenzi wa majiji na miji!

Vile vikao vya fadhila Ikulu vilikuwa na malengo take!
 
Ni kweli wameamka wanajua pumba ya upinzani hawasumbuki nao. Mara hakuna kujiandikisha mara tena eti wananyimwa fomu sasa watapigiwa kura na nani wakati wanasaccos wenzenu hawakujiandikisha??
hawa ndio wameamka ?
FB_IMG_1572447576674.jpg
 
Back
Top Bottom