Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,555
- 217,837
Hii ni baada ya kustukia mchezo wa Tume ya Uchaguzi kutoa wiki moja tu kwa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro kuandikisha wapiga kura kwa lengo kuacha baadhi ya wapiga kura ili kuiokoa ccm
Ikumbukwe kwamba mikoa hii ndiko ccm inakoangukia pua mara kwa mara