Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,603
- 218,010
Kila atendaye kosa atalipwa , Mshahara wa dhambi ni mauti .Ninachofurahia ni kwamba NEC ndo inatumika kusambaza chuki kwa haraka. Watu wa korogwe tayari kisha mbagala then sehemu nyingine kisha HAKI itadaiwa kinguvu ni suala la muda tu. Uzuri NEC hawana kinga na pia ndugu zao tupo nao mitaani zikianza vurugu sababu ya wao haitapendeza
Sent using Jamii Forums mobile app