Jesusie
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 1,367
- 720
Nzuri๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,
Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29
Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300
Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883
_________________________
Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.
#Hoja hapa ni muda wa matokeo
#HAKUNA KAMA SAMIA