Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,441
- 12,862
Ameshasingiziwa mangapi hata hilo liwe jipya?Sikweli kwamba Mbowe anasingiziwa,
Nadhani tuiache mahakama itatoa majibu
Kama kweli mnaami kwamba ccm inakubalika mnaogopa nn katiba mpya na tume huru ya uchaguzi??? Si mkubali maana mna uhakika wa kushinda na kusikia dola miaka 1000 ijayo??
Mnaogopa SACCOSS??