Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,166
- Thread starter
- #21
Haya ni mawazo yako na yakusaidie wewe,Kwani lini ccm ilishinda huko kwa Wapemba? Safari hii baada ya ACT kusema wanajitoa serikali ya umoja wa kitaifa ndio majizi ya kura imebidi muone soni.
CCM CHAMA KAZIIENDELEE