Wapinzani tusimamie sera za Hayati Magufuli zitatulipa

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Kwa kifupi awamu ya 5 ilisimamia sera zetu wapinzani tulizozisimamia kwa muda mrefu tofauti iliyokuwepo ni kwamba tofauti za kisiasa zilifanya awamu hiyo itushambulie na sisi wapinzani.

Ni wakati sasa kwa wapinzani kurejea katika sera zetu za kumkomboa Mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa.

Sera hizi ndizo zilizoipa CHADEMA chati enzi za awamu ya nne na ndizo zilizompa chati JPM.

Wapinzani turudi kwenye sera zetu hizi kwani sisi ndiyo wasisi wake
 
kwa kifupi awamu ya 5 ilisimamia sera zetu wapinzani tulizozisimamia kwa mda mrefu tofauti iliyokuwepo ni kwamba tofauti za kisiasa zilifanya awamu hiyo itushambulie na sisi wapinzani.

ni wakati sasa kwa wapinzani kurejea katika sera zetu za kumkomboa mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa.

sera hizi ndizo zilizoipa chadema chati enzi za awamu ya nne na ndizo zilizompa chati JPM.

Wapinzani turudi kwenye sera zetu hizi kwani sisi ndiyo wasisi wake
Sera za awamu ya tano zilikuwa zipi?
 
Sera za awamu ya tano zilikuwa zipi?
kwa kifupi awamu ya 5 ilisimamia sera zetu wapinzani tulizozisimamia kwa mda mrefu tofauti iliyokuwepo ni kwamba tofauti za kisiasa zilifanya awamu hiyo itushambulie na sisi wapinzani.

ni wakati sasa kwa wapinzani kurejea katika sera zetu za kumkomboa mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa.

sera hizi ndizo zilizoipa chadema chati enzi za awamu ya nne na ndizo zilizompa chati JPM.

Wapinzani turudi kwenye sera zetu hizi kwani sisi ndiyo wasisi wake
 
kwa kifupi awamu ya 5 ilisimamia sera zetu wapinzani tulizozisimamia kwa mda mrefu tofauti iliyokuwepo ni kwamba tofauti za kisiasa zilifanya awamu hiyo itushambulie na sisi wapinzani.

ni wakati sasa kwa wapinzani kurejea katika sera zetu za kumkomboa mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa.

sera hizi ndizo zilizoipa chadema chati enzi za awamu ya nne na ndizo zilizompa chati JPM.

Wapinzani turudi kwenye sera zetu hizi kwani sisi ndiyo wasisi wake
Mtanikumbuka si kwa mabaya ila ni kwa mazuri
 
Sera za kutokuajiri
Kutopandisha mishahara
Kunyang'anya watu fedha
Kumtuma Makonda Dodoma
Kumtuma Makonda Clouds
Kumpa Doto na Heri vyeo
Kuhonga nyumba za serikali
JamiiForums1721690535.jpeg
 
Kwa kifupi awamu ya 5 ilisimamia sera zetu wapinzani tulizozisimamia kwa muda mrefu tofauti iliyokuwepo ni kwamba tofauti za kisiasa zilifanya awamu hiyo itushambulie na sisi wapinzani.

Ni wakati sasa kwa wapinzani kurejea katika sera zetu za kumkomboa Mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa.

Sera hizi ndizo zilizoipa CHADEMA chati enzi za awamu ya nne na ndizo zilizompa chati JPM.

Wapinzani turudi kwenye sera zetu hizi kwani sisi ndiyo wasisi wake
Kwamba wapinzani wawe wabaguzi na waipendelee Chato tu? Au wapinzani waanze kupoteza watu?
 
Sera za kumkomboa mtanzania "mnyonge" na kusimamia rasilimali za taifa zitumike kuwakomboa watu wote zimeanza awamu ya tano?
Kwa nini mnashindwa kusoma na kuelewa! Ameandika - '...... sera zetu za kumkomboa mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa'
 
Unaweza kuwa na sera nzuri Sana Ila ukawa mtekelezaji mbovu au njia zisizo sahihi za kutekeleza. Magufuli aliamini anaweza yeye Kama yeye akisaidiana na brutality of state coerciveness, akaleta maendeleo ya nchi kwa ajili ya watu.

Unaweza kununu ndege kwa kuchapa watu mijeledi na mwisho wa siku watu wakazichukia hizo ndege maana zinawakumbusha machungu.

Embu fikiria watu uliowapora pesa yao na kuharibu Uchumi wao, Leo wanaweza kusapoti mipango yako kwa uzalendo?

Kifupi, kwa jicho la mbali, though kulikuwa na mipango mizuri, tulikuwa tunaelekea kubaya Sana.
 
Sera za kuingiza machinga barabarani ili wakupe kura?
Kupora fedha za wafanyabiashara kwa kutumia kikosi kazi na JWTZ?
 
Kwa kifupi awamu ya 5 ilisimamia sera zetu wapinzani tulizozisimamia kwa muda mrefu tofauti iliyokuwepo ni kwamba tofauti za kisiasa zilifanya awamu hiyo itushambulie na sisi wapinzani.

Ni wakati sasa kwa wapinzani kurejea katika sera zetu za kumkomboa Mtanzania mnyonge kwa kusimamia rasiliamli za taifa zitumike kuwakomboa watu wote, kusimamia maadili ya Taifa.

Sera hizi ndizo zilizoipa CHADEMA chati enzi za awamu ya nne na ndizo zilizompa chati JPM.

Wapinzani turudi kwenye sera zetu hizi kwani sisi ndiyo wasisi wake
Sera za kujenga kwao mahali ambapo hakuna watu zaidi ya fisi na nyoka,bladifakeni
 
Sera za kuingiza machinga barabarani ili wakupe kura?
Kupora fedha za wafanyabiashara kwa kutumia kikosi kazi na JWTZ?
hakuna mwanasiasa anayeweza kuwaridhisha wote, ni mchezo wa kucheza na majority.

Wapo wanaolalamika na wapo wanaoridhika hivyo ni swala la kuchagua ukae upande upi na kutazama kama unaweza kuwapata wafuasi wengi huko uliko chagua
 
Back
Top Bottom