Iliniuma sana jana nilipokuwa nasikiliza bunge. Hasa wapinzani nao wakiwa pamoja kujadiliana na watuhumiwa katika kupendekeza namna ya kuwaadhibu. Jamani Lisu mwanasheria ukushituka kuwa huu ni mchezo. Kweli inaingia akilini kujadiliana na Chenge mnamwachia nafasi aongee namna ya kujihukumu?
Au mlilishwa dawa? tangu lini Lukuvi, Makinda wakawaita na kuwaambia mkae mjadiliane zaidi ya kuwazomea na kusema watoke wamezoea hao na kejeli nyingi. Ninachowaambia ndg zangu wabunge wa upinzani hili swala Escrow.CCM wanalijua na wamejipanga kuwamaliza kisiasa ili mmbariki mpango wao wa kutowajibisha wahusika. Kamati ya PAC ndio bunge, na katika uchunguzi wamefuatilia uchunguzi kutoka kwa CAG na TAKUKURU ambazo zote ni vyombo vya serikali. Sasa kuna uchunguzi gani tena inayotakiwa ifanyike???
Taarifa ya PAC mmeisoma kuna sehemu gani imeingilia mahakama?? Kwasababu haya mapendekezo yanaenda kwa serikali hayaendi mahakamani. Mifano hai zipo na mnazijua leo bado mnaambiwa kamati zikae mpaka saa nane na nyie mnakubali. Wanachotaka CCM ionekane kwa wananchi,mataifa za nje (wahisani) kuwa hata vyama vya upinzani vilishiriki yani muonekane wote ni walewale. Serikali inayowajibika ukipatikana na kosa hata la kuhisi tu unajiuzulu au unakaa nje kwa uchunguzi.
USHAURI
Mwambieni spika mapendekezo yabaki kama yalivyopendekezwa na PAC. Yapelekwe kwa serikali, Serikali ndio wataamua kuwaajibisha waliotajwa na wao ndio watafanya uchunguzi wao na kuona kuwa watuhumiwa wanastahili kuwaadhibiwa kazi sasa ni la serikali. Uchunguzi wa bunge limefanyika ndio hayo makabrasha mliyokuwa mnajadili. Watuhumiwa ambao bunge linaweza kuwaajibisha wawajibishwe kama kamati (PAC) ilivyopendekeza. Spika akikataa tokeni bungeni kama mnavyofanya siku zote. Muwaache CCM Wawajibishane wenyewe. Mrudi saa nane na azimio hilo. Swali la kujiuliza Je mumeona kama kuna barua kutoka mahakamani au ni danganya toto.
Haya maamuzi mlikuwa mchukue tangu jana mapema kabla ya saa nne wala msingekuwa Dodoma leo. Manapoteza muda maazimio CCM Walishapanga tangu Jumatatu.
Naomba usiliunganishe na Taarifa zingine hii ni ushauri mpya wa leo kuwashauri upinzani. Pls Pls
Au mlilishwa dawa? tangu lini Lukuvi, Makinda wakawaita na kuwaambia mkae mjadiliane zaidi ya kuwazomea na kusema watoke wamezoea hao na kejeli nyingi. Ninachowaambia ndg zangu wabunge wa upinzani hili swala Escrow.CCM wanalijua na wamejipanga kuwamaliza kisiasa ili mmbariki mpango wao wa kutowajibisha wahusika. Kamati ya PAC ndio bunge, na katika uchunguzi wamefuatilia uchunguzi kutoka kwa CAG na TAKUKURU ambazo zote ni vyombo vya serikali. Sasa kuna uchunguzi gani tena inayotakiwa ifanyike???
Taarifa ya PAC mmeisoma kuna sehemu gani imeingilia mahakama?? Kwasababu haya mapendekezo yanaenda kwa serikali hayaendi mahakamani. Mifano hai zipo na mnazijua leo bado mnaambiwa kamati zikae mpaka saa nane na nyie mnakubali. Wanachotaka CCM ionekane kwa wananchi,mataifa za nje (wahisani) kuwa hata vyama vya upinzani vilishiriki yani muonekane wote ni walewale. Serikali inayowajibika ukipatikana na kosa hata la kuhisi tu unajiuzulu au unakaa nje kwa uchunguzi.
USHAURI
Mwambieni spika mapendekezo yabaki kama yalivyopendekezwa na PAC. Yapelekwe kwa serikali, Serikali ndio wataamua kuwaajibisha waliotajwa na wao ndio watafanya uchunguzi wao na kuona kuwa watuhumiwa wanastahili kuwaadhibiwa kazi sasa ni la serikali. Uchunguzi wa bunge limefanyika ndio hayo makabrasha mliyokuwa mnajadili. Watuhumiwa ambao bunge linaweza kuwaajibisha wawajibishwe kama kamati (PAC) ilivyopendekeza. Spika akikataa tokeni bungeni kama mnavyofanya siku zote. Muwaache CCM Wawajibishane wenyewe. Mrudi saa nane na azimio hilo. Swali la kujiuliza Je mumeona kama kuna barua kutoka mahakamani au ni danganya toto.
Haya maamuzi mlikuwa mchukue tangu jana mapema kabla ya saa nne wala msingekuwa Dodoma leo. Manapoteza muda maazimio CCM Walishapanga tangu Jumatatu.
Naomba usiliunganishe na Taarifa zingine hii ni ushauri mpya wa leo kuwashauri upinzani. Pls Pls