Wapinzani Tanzania Jifunzeni Demokrasia Kukosoana ni Kuambiana Ukweli Kwa Faida ya Chama Zaidi!!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
.

- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo, CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji na hatujasikia haya ya kuitana majina ya ajabu ajabu? Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii.

- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)

Le Mutuz
 
.

- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo, CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji na hatujasikia haya ya kuitana majina ya ajabu ajabu? Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii.

- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)

Le Mutuz

Ilikuaje mkamuandalia Shibuda Zengwe?
 
Tangu nikuone physically na kujaribu ku-link na mambo ambayo huwa unayaandika humu nilikudharau tangu siku hiyo...

Wewe ni Mzee kabisa,Hukutakiwa kuwa mtu wa kuandika pumba hivi kila siku!

Sasa sisi vijana wadogo tutajifunza nini kutoka kwako wewe Mzee?

Anyway,miTanzania ndivyo tulivyo...ushabiki shabiki wa kijinga tu...


 
Zitto aliwahi kutafuta signatures za kumuondoa pinda, unajua kilichotokea?
 
Ilikuaje mkamuandalia Shibuda Zengwe?

- Katika Demokrasia Siasa ina rules zake na mikakati yake ambayo kuicheza sio kuvunja Sheria wala Katiba kuanzia za chama mpaka Jamhuri, Shibuda aligombea CCM akashindwa akaingia kwenu na it has nothing to do na kicha cha hii mada kwamba badilikeni mjifunze maana ya Demokrasia, nashangaa leo wewe kukosa maneno mengi ya kujibu vipi?

Le Mutuz
 
Watu wanang'atuka nasafi za utumishi wa UMA (serikalini) sio kwenye siasa. Mtasumbuka sana mwaka huu. Kwa hiyo kama wewe unataka mbowe aachie uenyekiti CHADEMA alafu akakae nyumbani kwake au?
 
Tangu nikuone physically na kujaribu ku-link na mambo ambayo huwa unayaandika humu nilikudharau tangu siku hiyo...

Wewe ni Mzee kabisa,Hukutakiwa kuwa mtu wa kuandika pumba hivi kila siku!

Sasa sisi vijana wadogo tutajifunza nini kutoka kwako wewe Mzee?

Anyway,miTanzania ndivyo tulivyo...ushabiki shabiki wa kijinga tu...



- Nilichoandika ni hoja kwamba Wapinzani mnahitaji kubadilika na kukubali kukosolewa, kama unataka kunichambua mimi anzisha thread yangu upo nje sana ya mada mkuu kwa mtu mwenye elimu kubwa sana na umri mdogo sana kama Katiba inavyotaka kwa maneno yako ni kwamba watoto wadogo kama wewe tu ndio wenye haki ya kutoa maoni yao hapa right? ha! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
.

- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo, CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji na hatujasikia haya ya kuitana majina ya ajabu ajabu? Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii.

- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)

Le Mutuz

Hayo yote uliyoyaandika ni Porojo muhimu hapo ni hiyo heading ya hicho kipande cha gazeti YAANI PINDA na GHASI WATIMULIWE ungelizungumzia hilo na kuelezea udhaifu wao tungekuelewa kwani haya yote yanayotokea kama vile ubadhirifu wa fedha za umma TAMISEMI, biashara ya Pembe za ndovu, madawa ya Kulevya yote haya yanachangiwa na udhaifu wa PINDA na aliyemteua.
 
WanaSIASA nao wanamshukuru Mungu kwa kuwaletea Bangi....... Dube alikuwa na akili.

 
Last edited by a moderator:
Hayo yote uliyoyaandika ni Porojo muhimu hapo ni hiyo heading ya hicho kipande cha gazeti YAANI PINDA na GHASI WATIMULIWE ungelizungumzia hilo na kuelezea udhaifu wao tungekuelewa kwani haya yote yanayotokea kama vile ubadhirifu wa fedha za umma TAMISEMI, biashara ya Pembe za ndovu, madawa ya Kulevya yote haya yanachangiwa na udhaifu wa PINDA na aliyemteua.

- Kuyasema kama yako sio usaliti, uhaini, umamluki au upandikizi ila ni Demokrasia that is the point!! naona you missed it!

Le Mutuz
 
- Kwa hiyo una maana ndio maana Wangwe hayupo au? ha! ha! ha!

Le Mutuz

Tayari umetuhukumu hatupendi ukweli fine,Hayo ya Chacha Wangwe fine pia.

Jibu swali nyie wapenda ukweli kwanini mlimnyamazisha forever Kolimba?

RIP Stan Katabaro!!
 
Mtoto aliyemuuliza maswali Lowassa matatani




Na Frederick Katulanda, Mwanza

MTOTO aliyemuhoji swali Waziri Mkuu Edward Lowassa, Aron Wambura Shera anadaiwa kuandamwa na maofisa usalama wa taifa wakimhoji kila mara kuhusiana na swali alilouliza.

Habari kutoka kwa ndugu wa karibu wa kijana huyo, ambaye ni mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Pius Msekwa kidato cha kwanza, zimedai kuwa maofisa hao siku hiyo ya mkutano walimfuata mwalimu wake na kumtaka amweleze historia ya kijana huyo.


Akiwa wilayani Ukerewe katika ziara, mwanafunzi huyo alimuuliza swali Waziri Mkuu kuwa viongozi wamekuwa wakiwaambia kuwa mshika mawili moja humponyoka na kuwa vijana ni taifa la kesho, wasome ili kulitumikia taifa vipi wao wamekuwa wakirundikiana vyeo zaidi ya kimoja na kutoa mfano uteuzi wa mkuu wa mkoa wa Mwanza Dk Alex James Msekela kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa ilhali ni mbunge.

Swali hili halikujibiwa na Waziri Mkuu baada ya kujibu maswali mengine na kumaliza hotuba yake bila ya kujibu hatua ambayo iliwafanya wananchi katika mkutano huo kumkumbusha kujibu na yeye kuwaeleza kuwa atarudi siku nyingine.


"Tangu siku hiyo katika mkutano alifuatwa na watu
wakijitambulisha kuwa wao ni maofisa toka usalama wa taifa na kumtaka awaeleze juu ya swali hilo iwapo kafundishwa na mtu hatua ambayo ilimshangaza kijana na kushindwa kuwajibu," alieleza kwa simu mmoja wa ndugu na jamaa wa kijana huyo ambaye aliomba asitajwe jina gazetini.

Alisema kuwa kutokana na kijana kushindwa kuwajibu vyema walikwenda kuuliza kwa wanafunzi wengine ili kujua anasoma kidato cha ngapi na kuomba majina ya walimu wa kidato cha kwanza kwa lengo na nia ambayo haijajulikana hatua ambayo imewatia woga.

Alisema ndugu huyo kuwa kutokana na hatua hiyo wanahofu huenda haki na uhuru wa kujieleza kwa kijana huyo huenda ikamtumbukia nyogo hata akapoteza masomo au walimu wake wakapoteza kazi.


Source link: Mwananchi Communication.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/5820-mtoto-aliyemuuliza-maswali-lowassa-matatani.html

cc: W. J. Malecela
 
- Ila sijaona huyo mtoto alipoitwa mhaini, msaliti, pandikizi au mamluki au wewe umeona hiyo mkuu? sijaona aliposimamishwa chama kwa siku 14 akisubiri kujieleza ili asifukuzwe chama au?


Le Mutuz
Mkuu, ni kweli kwa akili yako huoni tatizo hapo? Mtoto kufuatiliwa huko shuleni huoni ni zaidi ya mtu mzima kuambiwa msaliti? Kama kweli huoni tatizo hapo, basi huenda tatizo lipo kwako
 
Mkuu, ni kweli kwa akili yako huoni tatizo hapo? Mtoto kufuatiliwa huko shuleni huoni ni zaidi ya mtu mzima kuambiwa msaliti? Kama kweli huoni tatizo hapo, basi huenda tatizo lipo kwako

- Lets say kwamba huyu mtoto alifuatiliwa na CCM, so unasema ni sawa Chadema kuwatishia wanaokosoa kwa sababu CCM imemtishia huyu mtoto?

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom