William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
.
- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo, CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji na hatujasikia haya ya kuitana majina ya ajabu ajabu? Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii.
- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)
Le Mutuz
- Huu ni wakati wa Vyama vyote vya Upinzani nchini kukaa chini na kujitafakari nini kimewasibu mpaka kufikia kukataa kukosolewa kila wakati viongozi baadhi ya Viongozi wa vyama hivyo wakijaribu kukosoa basi inakuwa shida na balaa kila mahali. Mrema alipokosolewa NCCR kikaishia kubaki kivuli mpaka leo, CUF ilipokosolewa na kina Rashid ikawa kizaaa zaa kila mahali, sasa wenzetu Chadema nao yale yale, tena wao wameeenda mbali zaidi mpaka kuita wakosoaji ni Mamluki, Wahaini, Mapandikizi, Wasaliti jamani mbona CCM Mbunge sasa anataka Waziri Mkuu aondolewe kwa uwajibikaji na hatujasikia haya ya kuitana majina ya ajabu ajabu? Jamani Wapinzani Tanzania jifunzeni uvumilivu wa kisiasa na kama hamuwezi basi siasa sio fani yenu si mrudi tu mnako-fit vizuri kuliko kunga'nga'nia siasa. I mean wewe umechagliwa kwa mujibu wa katiba halaafu unaanza kuhangaika kila kona kutaka kupindisha katiba ile ile iliyokupa nafasi ya kuongoza ili usitoke kwenye uongozi, sasa mkipewa Taifa itakuwaje? Viongozi wakubwa wa Taifa wa chama cha siasa mnapofikia kulumbana mbele ya jamii kuhusu ukweli na uongoa wa katiba yenu wenyewe mlioitunga wenyewe mnatutisha wengine kwenye jamii, kwamba mkishika dola itakuwaje na katiba ya jamhuri ambayo hamkuitunga? si itakuwa vurugu kila siku kugombania ukweli na uongo wa katiba, badilikeni jamani Demokrasia mnayoidai kwa wengine muanze nayo wenyewe ili muwe mfano kwa jamii, kwenye hili la kukataa kukososlewa mmejitia doa kubwa sana ambalo litawachukua muda mrefu sana kujisafisha mbele ya jamii.
- Kwenye hili la kujikosoa mnahitaji kujifunza kutoka kwa CCM, kwamba kukosoana sio Uhaini, Usaliti, Upandikizi, wala Mamluki ila ni Demokrasia ya kweli. (Soma gazeti la Jambo Leo leo Ukurasa wa 10)
Le Mutuz