Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Akihutubia mkutano wa hadhara maeneo ya wilaya ya Igunga Mwigulu Nchemba amesema,Viongozi wa upinzani mpaka leo hii hawajui tatizo linaloikabili nchi yetu, wameshaanza na kuwashawishi na wengine wasijue tatizo linaloikabili nchi yetu.
Wanasema wanapigania uhuru,uhuru upi alihoji Nchemba.wanasema wanafanya mipango ya ukombozi,ukombozi upi?. Nchi ilishakombolewa tangu 1961 na tatizo la watanzania leo hii sio uhuru.(akamtaja Freeman m/kiti CHADEMA akiitwa anaitika eti anataka uhuru) Ni taabu sana kuwa na upinzani haujui tatizo la watanzania.
Nchemba alisema, Tatizo la watanzania ni mambo ya uchumi, mambo ya kipato, na kinachotakiwa ni kufanya mapinduzi ya kiuchumi ili watu wapate ajira waendeshe shughuli zao.
Wanasema nchi ina mabonde mengi mbona hatuna chakula, eti mabonde siku hizi yanaliwa aliuliza. Tuna dhahabu hapa kwenu kuna soko la dhahabu? Ukichimba utaila? Wazungu tuliowategemea hawaji tena uchumi wao umeyumba uero imeyumba. Mjadala uko wazi kwa hotuba hii.
Naambatanisha na Audio yake.
[JFMP3]www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=72461&stc=1&d=1353873727[/JFMP3]
Wanasema wanapigania uhuru,uhuru upi alihoji Nchemba.wanasema wanafanya mipango ya ukombozi,ukombozi upi?. Nchi ilishakombolewa tangu 1961 na tatizo la watanzania leo hii sio uhuru.(akamtaja Freeman m/kiti CHADEMA akiitwa anaitika eti anataka uhuru) Ni taabu sana kuwa na upinzani haujui tatizo la watanzania.
Nchemba alisema, Tatizo la watanzania ni mambo ya uchumi, mambo ya kipato, na kinachotakiwa ni kufanya mapinduzi ya kiuchumi ili watu wapate ajira waendeshe shughuli zao.
Wanasema nchi ina mabonde mengi mbona hatuna chakula, eti mabonde siku hizi yanaliwa aliuliza. Tuna dhahabu hapa kwenu kuna soko la dhahabu? Ukichimba utaila? Wazungu tuliowategemea hawaji tena uchumi wao umeyumba uero imeyumba. Mjadala uko wazi kwa hotuba hii.
Naambatanisha na Audio yake.
[JFMP3]www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=72461&stc=1&d=1353873727[/JFMP3]