Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mnalalamika hovyo kila kona eti Rais wa JMT, mama Samia hajatekeleza ahadi ya kuleta umoja wa kitaifa. Hii yote ni kwa sababu Mbowe na wenzake wanatuhuma za kupanga njama za kutekelwleza ugaidi na walikamatwa na kufikishwa mahakamani
Je, mlitaka kama kweli wanahusika na njama hizo wasichukuliwe hatua?
Je mnadhania kufumbia macho wapinzanj wanaovunja sheria ndio misingi ya umoja wa kitaifa?
Au mlizoea siasa za kuachwa mfanye mnavyotaka hata kama mkifanya makosa?
Je, mlitaka kama kweli wanahusika na njama hizo wasichukuliwe hatua?
Je mnadhania kufumbia macho wapinzanj wanaovunja sheria ndio misingi ya umoja wa kitaifa?
Au mlizoea siasa za kuachwa mfanye mnavyotaka hata kama mkifanya makosa?