Labda kama sio za kusomea hapa UDSM maana ni za hovyo hovyo angalia Magufuli, angaliaa Kitila,Kaabudi, Mwigulu na Wengine walivyo hovyoWapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.
Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.
Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k
Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.
Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.
Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Wapinzani ndio walioiwezesha CCM kupata viongozi serikalini na kuwaacha akina Nape.Wapinzan Hawa Hawa wa Tanzania ambao wanasalitiana wazi wazi na kejeli juuu
Kazi ipoWapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.
Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.
Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k
Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.
Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.
Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.
Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.
Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k
Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.
Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.
Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Nadhani sisi hatujafahamu siasa zetu.Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.
Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.
Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k
Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.
Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.
Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Hunayo yasema ni kweli, kabisa ila kwa sasa Chadema inawatu wazuri wenye uelewa mkubwa compare to Ccm. Ndiyo maana hata sasa baadhi ya viongozi wengu wa chadema wapo demanded na ccmWapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.
Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.
Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k
Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.
Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.
Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Ipo. Huioni au?, Mbona ni imara sana. Japo imepigwapigwa sana.Hilo zoezi Mbowe alishalifanyaga kuanzia mwaka 2000 ndio akawapata akina Zitto Kabwe, Juliana Shonza, Patrobas Katambi, David Silinde, Halima Mdee, Esther Matiko.....nk...nk!
Je, Chadema iko wapi leo hii?