Wapinzani ombeni msamaha kwa Watanzania, mtasamehewa

Hii kauli mara nyingi huwa inanichekesha. Hebu jaribuni kubadili majibu yenu basi
i). Je, kadri demokrasia ya vyama vingi inavyozidi kuenea mataifa mbalimbali ni nani anayenufaika?
ii). Je, kwakumjua mnufaika huoni unaikanyaga ardhi yako kupigania maslahi ya taifa la wenzio?
iii). Je, kwakuujua werevu utajilazimisha kuendelea kuufanya ujinga?
Babu zako walichukuliwa kama watumwa wakawalimisha mashamba yao huko magharibi sasa wamekurudia mjukuu na wewe wanakutumikisha ili uwafikishe sehemu fulani.


MAGUFULI4LIFE.
 
Yaani nimecheka kwa nguvu huu unafiki ulioandika hapa mpaka watu wameniuliza kulikoni. Kwakuwa kuna hivyo vyama mamluki mnavitumia, agizeni viseme huo utoto unaopendekeza hapa. Wapinzani wa kweli, na watanzania waelewe wameona kilichotokea kwenye ule ushenzi uitwao uchaguzi. Hii ndio sababu hasa 2/3 ya watanzania hawajajitokeza kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi, na hata hiyo 1/3 bado hamkupata kura zao zote. Miaka ya kutawala watu kwa kuwaburuza imeisha. Watu wanafiki na waoga wa maisha kama kina Nape, Kinana nk ndio wana muda wa kusujudia sanamu.
 
Naunga mkono hoja,
Tafuta, utapata!
Bisha hodi, utafunguliwa!
Omba, utapewa!.
Ukishikwa, shikamana,
Ukiaminiwa, jiaminishe!
Wapinzani mliaminiwa na Watanzania,
Mkapoteza uaminifu!,
Omba msamaha, utasamehewa!.
P
 
Naunga mkono hoja,
Tafuta, utapata!
Bisha hodi, utafunguliwa!
Omba, utapewa!.
Ukishikwa, shikamana,
Ukiaminiwa, jiaminishe!
Wapinzani mliaminiwa na Watanzania,
Mkapoteza uaminifu!,
Omba msamaha, utasamehewa!.
P

Watanzania wapi boss, hizo propaganda za ulaya mashariki ya zamani mtawalisha wazee na wasiojua ukweli , lakini 2/3 ya watanzania wamepuuza hizo propaganda mfu. Tumeona kwa macho yetu kile kilichofanyika juzi kwenye uchaguzi wetu, ni mwendawazimu na mtu aliyepoteza uwezo wa kupambana bila mbeleko kama ww, ndio anaweza kuamini kile kilichofanyika juzi ni uchaguzi. Ule haukuwa uchaguzi, bali ilikuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye uchaguzi.
 
Hivi huwa mnafikiria kabla ya kuandika kweli? Wapinzani wakataka kuuza rasilimali za nchi? How? When? Ndio waliopandisha Twiga kwenye Ndege au? Ndio waliogawa gesi kule Mtwara au? Ndio walioiingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo au?

Anyway, furahini na kushangilia kwa sasa kwa sababu mna mbeleko ya vyombo vya dola; kwa sababu mmeshikilia mifumo yote ya nchi; kwa sababu mna madaraka ya kusema hili liwe au lisiwe na ikawa hivyo sio kwa hoja au kwa misingi ya kisheria ila kwa kutumia nguvu! Ila iko siku!
You are brainwshed ndugu, pole sana. Wapinzani wenu ni wajinga na wapumbavu sana. Wanatumika na wazungu then ninyi mnashangilia. Subirini sasa muone maana si mnawatia viburi wasiombe msamaha, mpaka 2025 watapotea wote kwenye siasa, maana sasa watanzania wamekataa maandamano, kinachofuata ni kukataa kila wazo lao, ila wakiomba msamaha inaweza saidia kurejesha imani japo kidogo.
 
Nianze kwa kuwapongeza Watanzania kwa uzalendo wao wa kuchagua maendeleo bila kujali itikadi za vyama vyao, hakika ushindi wa CCM ni uthibitisho wa mageuzi ya ki-fikra ya Mwafrika yenye kuachana na mawazo tegemezi ya kila aletacho mzungu ni bora kuliko tulicho nacho.

Binafsi nilikuwa nina uhakika kama ilivyo kwa wazalendo wengi kuwa CCM ilikuwa lazima ishinde kwa sababu ambazo hata wapinzani walizifahamu.

Badala ya kuitisha maandamano, fanyeni press conference muwaombe msamaha watanzania kwa upotoshaji wenu, pia na ushiriki wenu wa kuisaliti nchi kwa misingi ya kutaka kuuza rasilimali za nchi yetu.

Hakika hamjachelewa, mkiomba msamaha, watanzania watawasamehe
 

Attachments

  • VID-20201103-WA0000.mp4
    919.5 KB
Watanzania wapi boss, hizo propaganda za ulaya mashariki ya zamani mtawalisha wazee na wasiojua ukweli , lakini 2/3 ya watanzania wamepuuza hizo propaganda mfu. Tumeona kwa macho yetu kile kilichofanyika juzi kwenye uchaguzi wetu, ni mwendawazimu na mtu aliyepoteza uwezo wa kupambana bila mbeleko kama ww, ndio anaweza kuamini kile kilichofanyika juzi ni uchaguzi. Ule haukuwa uchaguzi, bali ilikuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye uchaguzi.
Mkuu mbona unaonekana una akili mgando? Lissu na genge lake waliandaa kura fake, wakazikamata wao. Na matukio ya yalipangwa mengi. Mojawapo ni Lissu kusema ndege kacheleweshwa mara kivuko kimegoma mara muda wa kuhutubia anapitiliza, so lazima utumie akili kidogo kuelewa Lissu na genge lake walipanga vitu hivyo vyote mkuu, na ndiyo maana watanzania wakagundua walio wengi. So acha kujidanganya mkuu.
 
Dunia nzima imeshuhudia zile sandarusi za kura fake. Ni ngumu sana kulawiti uchaguzi bila ya kujulikana kwenye dunia hii ya utandawazi.Miaka yote tumekuwa tukishuhudia CCM wakiiba kura ila awamu hii badala ya kuiba kura wamelawiti uchaguzi.CCM wanapaswa kutubu kwa kukabidhi nchi kwa upinzani.
hahaha wamefanya nini uchaguzi, daah
 
Hivi huwa mnafikiria kabla ya kuandika kweli? Wapinzani wakataka kuuza rasilimali za nchi? How? When? Ndio waliopandisha Twiga kwenye Ndege au? Ndio waliogawa gesi kule Mtwara au? Ndio walioiingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo au?

Anyway, furahini na kushangilia kwa sasa kwa sababu mna mbeleko ya vyombo vya dola; kwa sababu mmeshikilia mifumo yote ya nchi; kwa sababu mna madaraka ya kusema hili liwe au lisiwe na ikawa hivyo sio kwa hoja au kwa misingi ya kisheria ila kwa kutumia nguvu! Ila iko siku!
nafikiri ukiingia tu huko lazima akili ifanyiwe kitu ndio maana wote kufikiri kwao kunafanana hahahaha
 
Mkuu mbona unaonekana una akili mgando? Lisu na genge lake waliandaa kura fake, wakazikamata wao. Na matukio ya yalipangwa mengi. Mojawapo ni Lisu kusema ndege kacheleweshwa mara kivuko kimegoma mara muda wa kuhutubia anapitiliza, so lazima utumie akili kidogo kuelewa Lisu na genge lake walipanga vitu hivyo vyote mkuu, na ndiyo maana watanzania wakagundua walio wengi. So acha kujidanganya mkuu.

Hayo niliyozungumza nimeyaona na yameonekana na watu wengi tu, kama hayo unayosema ni matukio yaliyopangwa na Lisu/cdm, je wao pia ndio walioengua madiwani na wabunge ili kuharibu uchaguzi? Je ule uchaguzi ushenzi wa SM za mitaa wao pia ndio waliuvuruga? Hivi mnadhani wananchi bado ni wajinga hivyo? Ndio maana 2/3 ya wananchi wameishia kupuuza huo utoto uitwao uchaguzi.
 
Back
Top Bottom