Wapinzani njia nyeupe mjengoni 2020 kazi kwenu

mdesi

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
1,347
2,081
Mimi si mwandishi mzuri sana lakini nadhani mtapata mawazo yangu.
Hakika Wapinzani mkijipanga vizuri na kumuweka mtu makini anayeuzika katika kampeni za uraisi 2020 njia ni nyeupe sana kuingia mjengoni.Kura za makundi yote mnazo.

1.Kundi la waajiriwa wote: mkigusa kubadili sheria ya mifuko ya Jamii juu ya fao la kujitoa tuu; kura zao zoote mnazo, hakuna muajiriwa yeyote alifurahishwa na hii sheria mpya ya mafao uzeeni pamoja na kuunganisha mifuko yote na kubaki miwili na hivyo kupunguza ushindani na kulazimisha wafanyakazi kujiunga mifuko wasio itaka.

2. Elimu na afya, kuboresha elimu kwa kuwa ajiri walimu waliosota mtaani kwa mda mrefu (haikuzoeleka), afya ajiri madaktari, manesi waliosota mtaani kwa mda mrefu ilihali hospitali zinauhaba wa wataalamu wa afya, kuongeza madawa, miundombinu na vitendea kazi.

3. Fungua wigo wa ajira sekta binafsi kwa kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji, kwa wageni na wazawa. Hapo soko la bidhaa litaongezeka automatically.

4. Uhuru wa kutoa mawazo, bila kuitwa mchochezi, Uhuru wa kujipatia habari mf.bunge live, kui challenge serikali iliyoko madarakani, ili kujiletea mabadiriko chanya.

5. Wakulima, kupanua soko la bidhaa kwa kufanya utafiti wa Masoko ya ndani na nje ya nchi, kuhakikisha pembejeo zinapatikana kiurahisi,kuongeza wataalamu wa kilimo ili kuongeza ubora wa mazao yenye ushindani ktk soko la kimataifa.

6. Maji safi, umeme na miundo mbinu mwingine.

Nyingine mtaongeza na kuziboresha. Hapo vyuma vimekaza ni byebye, wakulima bei za mazao zitapanda, wafanyakazi mishahara itapanda na kila mtu atafanya kazi kwa bidii.
 
JPM by 2020 atakuwa na swali moja tu la kuwauliza wananchi wakati wa kampeni.....Nimetekeleza au sijatekeleza ahadi nilizotoa 2015?Jibu kutoka kwenye audiences.....umetekeleza zoteeeee
 
Hivi unaweza kuzitaja ahadi chache alizo tekeleza? Milioni 50 kila kijiji itapendeza
Wewe umechanganyikiwa....huna habari hizo.pesa zilishaanza kutolewa lakini kwa mtazamo tofauti.. hivi wewe ulitegemea upewe manoti tu uweke mfukoni kirahisi hivyo..uliza kwenye Halmashauri pesa hiyo inatolewa kwa njia gani..watu wameshaanza kunufaika wewe umezubaa na kupendeza..hahahah
 
Mimi si mwandishi mzuri sana lakini nadhani mtapata mawazo yangu.
Hakika Wapinzani mkijipanga vizuri na kumuweka mtu makini anayeuzika katika kampeni za uraisi 2020 njia ni nyeupe sana kuingia mjengoni.Kura za makundi yote mnazo.

1.Kundi la waajiriwa wote: mkigusa kubadili sheria ya mifuko ya Jamii juu ya fao la kujitoa tuu; kura zao zoote mnazo, hakuna muajiriwa yeyote alifurahishwa na hii sheria mpya ya mafao uzeeni pamoja na kuunganisha mifuko yote na kubaki miwili na hivyo kupunguza ushindani na kulazimisha wafanyakazi kujiunga mifuko wasio itaka.

2. Elimu na afya, kuboresha elimu kwa kuwa ajiri walimu waliosota mtaani kwa mda mrefu (haikuzoeleka), afya ajiri madaktari, manesi waliosota mtaani kwa mda mrefu ilihali hospitali zinauhaba wa wataalamu wa afya, kuongeza madawa, miundombinu na vitendea kazi.

3. Fungua wigo wa ajira sekta binafsi kwa kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji, kwa wageni na wazawa. Hapo soko la bidhaa litaongezeka automatically.

4. Uhuru wa kutoa mawazo, bila kuitwa mchochezi, Uhuru wa kujipatia habari mf.bunge live, kui challenge serikali iliyoko madarakani, ili kujiletea mabadiriko chanya.

5. Wakulima, kupanua soko la bidhaa kwa kufanya utafiti wa Masoko ya ndani na nje ya nchi, kuhakikisha pembejeo zinapatikana kiurahisi,kuongeza wataalamu wa kilimo ili kuongeza ubora wa mazao yenye ushindani ktk soko la kimataifa.

6. Maji safi, umeme na miundo mbinu mwingine.

Nyingine mtaongeza na kuziboresha. Hapo vyuma vimekaza ni byebye, wakulima bei za mazao zitapanda, wafanyakazi mishahara itapanda na kila mtu atafanya kazi kwa bidii.
Sijaelewa...wewe unazungumzia upinzani upi kwa sasa na wa chama gani...kwa sababu wapinzani wenyewe makini waliokuwepo wote wamerudi ccm. Na wale waliobaki si ndio wale watuhumiwa..ndio wengi. Kamanda unasahauje mambo haya..hivi huoni wimbi la hamahama..hii ndio inaonyesha..ni indicator ya mahali penye nguvu kwa sasa na baadae..tafakari zaidi..
Hivi umeshawahi kusikia sera za upinzani ni zipi..na kama wanazo huko ccm zikoje kwa sasa.. try to compare and contrast basiii kidogo.
 
Mimi si mwandishi mzuri sana lakini nadhani mtapata mawazo yangu.
Hakika Wapinzani mkijipanga vizuri na kumuweka mtu makini anayeuzika katika kampeni za uraisi 2020 njia ni nyeupe sana kuingia mjengoni.Kura za makundi yote mnazo.

1.Kundi la waajiriwa wote: mkigusa kubadili sheria ya mifuko ya Jamii juu ya fao la kujitoa tuu; kura zao zoote mnazo, hakuna muajiriwa yeyote alifurahishwa na hii sheria mpya ya mafao uzeeni pamoja na kuunganisha mifuko yote na kubaki miwili na hivyo kupunguza ushindani na kulazimisha wafanyakazi kujiunga mifuko wasio itaka.

2. Elimu na afya, kuboresha elimu kwa kuwa ajiri walimu waliosota mtaani kwa mda mrefu (haikuzoeleka), afya ajiri madaktari, manesi waliosota mtaani kwa mda mrefu ilihali hospitali zinauhaba wa wataalamu wa afya, kuongeza madawa, miundombinu na vitendea kazi.

3. Fungua wigo wa ajira sekta binafsi kwa kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji, kwa wageni na wazawa. Hapo soko la bidhaa litaongezeka automatically.

4. Uhuru wa kutoa mawazo, bila kuitwa mchochezi, Uhuru wa kujipatia habari mf.bunge live, kui challenge serikali iliyoko madarakani, ili kujiletea mabadiriko chanya.

5. Wakulima, kupanua soko la bidhaa kwa kufanya utafiti wa Masoko ya ndani na nje ya nchi, kuhakikisha pembejeo zinapatikana kiurahisi,kuongeza wataalamu wa kilimo ili kuongeza ubora wa mazao yenye ushindani ktk soko la kimataifa.

6. Maji safi, umeme na miundo mbinu mwingine.

Nyingine mtaongeza na kuziboresha. Hapo vyuma vimekaza ni byebye, wakulima bei za mazao zitapanda, wafanyakazi mishahara itapanda na kila mtu atafanya kazi kwa bidii.
Huwezi kufanikisha hayo pasipo na tume huru ya uchaguzi.
 
JPM by 2020 atakuwa na swali moja tu la kuwauliza wananchi wakati wa kampeni.....Nimetekeleza au sijatekeleza ahadi nilizotoa 2015?Jibu kutoka kwenye audiences.....umetekeleza zoteeeee
Zipi mkuu?
 
Kwa Hali hii walivyo na migogoro ndani ya vyama hawashindi
 

Attachments

  • Utaifa+zaidi+ya+Chumvi.pdf
    125 KB · Views: 55
Sijawahi kuona uchaguzi mgumu wakati mgombea tayari ni Rais. Nilichowahi kuona ni kupungua idadi ya wapiga kura kwa kuona kuwa wapige au wasipige kura rais ni yuleyule.
Kwa kuwa tume siyo huru!! Kuna nchi acting President wameshindwa tena mara nyingi tu.
 
JPM by 2020 atakuwa na swali moja tu la kuwauliza wananchi wakati wa kampeni.....Nimetekeleza au sijatekeleza ahadi nilizotoa 2015?Jibu kutoka kwenye audiences.....umetekeleza zoteeeee
Kodi kubwa kwa Watanzania na kwa ghiriba ya ajabu bila mrejesho kwa watu bali kutengeneza vitu visivyo vipaumbele kwa Watanzania wa kawaida wengi wakulima karibu 80% ya Watanzania wote. Yaani maendeleo ya vitu yasiyo maendeleo ya watu. Vile ndege, kuhamia Dodoma, kuikrimu ccm, kujenga kwao rais na akili ya kuwa na viwanda na kukisahau kilimo ni ahadi za rais?

Iko wapi elimu bora? Liko wapi maboresho ya watumishi? Kiko wapi maisha bora ya mkulima? Kiko wapi biashara yenye Afya? Maji safi na salama kwa kila Mtanzania mita mia nne ya copy and paste tangu 1995? Kila kijiji mil 50 ziko wapi?
Je kuuondoa uhuru wa Watanzania ni ahadi pia?
Ghiriba hizi za ukatili kwa wapinzani ni ahadi?
Kwa nini haya 2020 yasiwe kianzio kwa wapinzani?
 
Back
Top Bottom