Wapinzani na wazalendo wa nchi hii anzisheni chama kipya chenye sura ya kitaifa mtafanikiwa kuungwa mkono na wananchi kipindi hiki muhimu sana!

Nasema hivo kwa sabau zifatazo:.
•CCM imekuwa madarakani tokea kaundwa kwake mwaka 1977 na kwa sababu hiyo kutokana na hurka za wanadamu kimeonesha kupoteza ushawishi kadri siku zinavoenda.
•CCM kukosa sera au kupungukiwa mawazo mbadala kutokana na mfumo wake ila kwa sasbubu CCM inamuundo wenye sura ya kitaifa imekuwa ikikubarika katika maeneo mengi kutoka na wananchi kujisikia huru kukichagua hata kama hawakitaki au wamekichoka kwa kujihisi kuwa huru zaidi ukilinganisha na vyama vingine vyenye kukosa sura ya kitaifa!
•CHADEMA chama hiki kimekuwa na ukuaji mzuri ila kinachangamoto ya kuonekana na baadhi ya watanzania kuwa ni chama chenye chembechembe za ukabila na ukanda na kwa sababu hiyo kupoteza mvuto kwa baadhi ya watu katika jamii.
•CHADEMA imeonekana hususani katika siku za hivi karibuni kugeuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi na kukosa sera madhubuti kwa ajili ya wananchi, hali hii imeadhiri sana ukuaji wa chama hiki kwa siku hizi!
•ACT WAZALENDO! ni chama kichanga lakini kinachangamoto ya kukosa sura ya kitaifa kwa kuegemea zaidi katika upande ya dini ya kiislam na kukifanya kupoteza mvuto katika maeneo mengi yasiyokuwa na waumimi wengi wa dini hiyo! Hili unaweza kuliona kwenye safu yake ya uongozi!
•ACT WAZALENDO ikumbukee kuwa ukuaji wake pia umechagizwa zaidi na mgogoro ndani ya chama cha CUF kwa hiyo bado ni chama kichanga sana hususani kwa tanzania bara!
•CUF ni chama kikongwe lakini kilichokosa ubunifu na kuibuka kwa migogoro ndani yake na kusababisa kusambaratika kwa wafuasi wake kwa kiasi kikubwa upande wa zanzibar!
•CUF ni chama kilichojiwekeza zaidi maeneo ya pwani na kukosa ushawishi wa kitaifa kwa miaka mingi kwa hiyo si chama chenye matumaini tena kwa watanzania kwa sasa!
PENDEKEZO
Nawaomba wazalendo na wapinzani wa kweli ndani ya nchi yetu wajitokeze ili kuunda chama kipya chenye sura ya kitaifa, na hili likifanyika mapema ili kuweza kukitamburisha kwa wananchi na ninauhakika kitatoa upinzani mkubwa sana kwa CCM 2025. Na kwa hilo tutapata serkali bora yenye kaundwa na watu wenye mawazo mseto kwa mustakabari mwema wa taifa letu!
HITIMISHO
Watanzania waliowengi wanasubiri sana chama kitakachowapa matumaini mapya katika kizazi hiki! Kuna na vyama vya upinzani vyenye sura ya kitaifa ni muhimu sana ili kufikia ndoto ya kuwa na demokrasia makini na chaguzi zenye ushindani. Naomba Mungu awabariki sana!
Naona ccm mnaforce kuleta upinzani kwani mkitawala milele kuna shida
 
Binafsi nakuona kama mjinga (Huna uelewa wa mambo kwa undani). Hivi kwa fikra zako tatizo la siasa za Tanzania ni watu kutounga mkono vyama mbadala?

Tatizo lipo tofauti na fikra zako au umeamua kujifanya hayawani ama la ni propaganda dhaifu.

1. Kikianzishwa chama kipya CCM ndiyo itaruhusu mikutano ya siasa?
2. Tume tuliyonayo inaruhusu mtu mwingine kushinda?
 
Unaweza usiwe mwanaccm, lakini uko kwenye huu mpango wa system kuanzisha chama kipya, baada ya ccm kupoteza ushawishi, na kuogopa au kuona aibu ya kushindwa na Cdm. Kwani kipi kinawafanya msianzishe hicho chama kipya kipate watu, hadi muifanyie Cdm hujuma ili hicho chama chenu kiweze kuanza?

Nikiangalia naona umejiunga hapa jukwaani mwaka huu mwezi wa 6, sambamba kabisa na hujuma dhidi ya Cdm. Kwasasa kuna hujuma za dhahiri dhidi ya Cdm ili kuifuta, na wakati huohuo kuna kupima upepo tayari kwa huo mpango wa system kuanzisha chama kipya. Unachokiongea cha kuanzisha chama kipya, kiko kwenye kila mitandao ya kijamii, na maelezo ni kama haya haya yakwako. Ukipitia hoja hizi za kuanzisha chama kingine cha kisiasa zipo kimkakati, na sambamba na ushawishi huo, maagizo ni kuwa Cdm ihujumiwe na kufanyiwa hujuma zote, huku ikitafutwa sababu ya kuifuta ili hicho chama chenu kianzishwe. Ni hivi, huu mkakati umekwama kabla ya kuanza, hiki ni kizazi kingine, hivyo wazee endeleeni na mambo mengine, lakini sio kututafutia mke.
Kwa hiyo hata mimi ni mwana CCM? sio kila anayetoa post hapa anamawazo ya kutumwa na CCM najua nimesema ukweli hivyo vyama vya upinzani vya sasa bado havina sura ya kitaifa!
 
Sio ungewashauri waungane ili kila mmoja apate anachokikosa kutoka kwa mwingine?.
 
Unaweza usiwe mwanaccm, lakini uko kwenye huu mpango wa system kuanzisha chama kipya, baada ya ccm kupoteza ushawishi, na kuogopa au kuona aibu ya kushindwa na Cdm. Kwani kipi kinawafanya msianzishe hicho chama kipya kipate watu, hadi muifanyie Cdm hujuma ili hicho chama chenu kiweze kuanza?

Nikiangalia naona umejiunga hapa jukwaani mwaka huu mwezi wa 6, sambamba kabisa na hujuma dhidi ya Cdm. Kwasasa kuna hujuma za dhahiri dhidi ya Cdm ili kuifuta, na wakati huohuo kuna kupima upepo tayari kwa huo mpango wa system kuanzisha chama kipya. Unachokiongea cha kuanzisha chama kipya, kiko kwenye kila mitandao ya kijamii, na maelezo ni kama haya haya yakwako. Ukipitia hoja hizi za kuanzisha chama kingine cha kisiasa zipo kimkakati, na sambamba na ushawishi huo, maagizo ni kuwa Cdm ihujumiwe na kufanyiwa hujuma zote, huku ikitafutwa sababu ya kuifuta ili hicho chama chenu kianzishwe. Ni hivi, huu mkakati umekwama kabla ya kuanza, hiki ni kizazi kingine, hivyo wazee endeleeni na mambo mengine, lakini sio kututafutia mke.
Kwa hiyo ulivyo mjinga nikijiunga jamii forum mwezi wa sita mwaka huu ndo sina uhuru wa kutoa maoni yangu? Nyie ndo wale wajinga na wapumbavu mnahubiri demokrasia wakati mwenyekiti wenu wa maisha hataki kutoka kwenye hicho chama chenu ya wachaga! Hapa tu nimetoa maoni umeanza mara umejiunga juzi juzi hapa ukikabidhiwa madaraka si utaua watu! Stupid!
 
Kwa hiyo ulivyo mjinga nikijiunga jamii forum mwezi wa sita mwaka huu ndo sina uhuru wa kutoa maoni yangu? Nyie ndo wale wajinga na wapumbavu mnahubiri demokrasia wakati mwenyekiti wenu wa maisha yataki kutoa kwenye hicho chama chenu ya wachaga! Hapa tu nimetoa maoni umeanza mara umejiunga juzi juzi hapa ukikabidhiwa madaraka si utaua watu! Stupid!

Nilijua lazima utapanick. Halafu ww ndio unaamini utaweza kuanzisha chama kingine cha upinzani! Kama mnataka kula pesa za wajinga huko hazina, tafuteni njia nyingine. Hii ya kuanzisha chama ni kupoteza fedha za umma bure. Kizazi kimebadilika sio cha kuchaguliwa mke hiki. Ww iba za mwisho mwisho, na unganishia watoto wako kazi serikalini maana hawana uwezo, ikitokea ukastaafu kabla hujaiba vizuri, utaolewa hapa mjini mzee.
 
Nilijua lazima utapanick. Halafu ww ndio unaamini utaweza kuanzisha chama kingine cha upinzani! Kama mnataka kula pesa za wajinga huko hazina, tafuteni njia nyingine. Hii ya kuanzisha chama ni kupoteza fedha za umma bure. Kizazi kimebadilika sio cha kuchaguliwa mke hiki. Ww iba za mwisho mwisho, na unganishia watoto wako kazi serikalini maana hawana uwezo, ikitokea ukastaafu kabla hujaiba vizuri, utaolewa hapa mjini mzee.
Hivi wewe mpumbavu tindo ndo nani? Unanipangia cha kuongea? Jamii forum ni forum ya mawazo huru we ndezi sijui ulijiunga vipi humu maana umejaa ushamba wa kijinga! Hujui kuwa unaweza kuwa ma muvi na bado ukawa mpumbavu na haujui kuwa hata wapumbavu wanazeeka!
 
Act wazalendo ikija kuacha sera za kiislam itakuwa tegemeo kwa watanzania tofauti na sasa ambapo safu yake tu ya uongozi ni kama baraza la idd au kama chama cha muslim brotherhood cha misri kilichopigwa marufuku.
Mimi na watanzania wengine wazalendo tunasubiri ACT Wazalendo kiwe chama cha kizalendo kitoe matumaini mapya kwa watanzania.
hicho kamwe hakiwezi kukua kina wapigaji kumbuka upigaji wa zito na swaiba wake jk
 
Kwani
Nasema hivo kwa sabau zifatazo:.
•CCM imekuwa madarakani tokea kaundwa kwake mwaka 1977 na kwa sababu hiyo kutokana na hurka za wanadamu kimeonesha kupoteza ushawishi kadri siku zinavoenda.
•CCM kukosa sera au kupungukiwa mawazo mbadala kutokana na mfumo wake ila kwa sasbubu CCM inamuundo wenye sura ya kitaifa imekuwa ikikubarika katika maeneo mengi kutoka na wananchi kujisikia huru kukichagua hata kama hawakitaki au wamekichoka kwa kujihisi kuwa huru zaidi ukilinganisha na vyama vingine vyenye kukosa sura ya kitaifa!
•CHADEMA chama hiki kimekuwa na ukuaji mzuri ila kinachangamoto ya kuonekana na baadhi ya watanzania kuwa ni chama chenye chembechembe za ukabila na ukanda na kwa sababu hiyo kupoteza mvuto kwa baadhi ya watu katika jamii.
•CHADEMA imeonekana hususani katika siku za hivi karibuni kugeuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi na kukosa sera madhubuti kwa ajili ya wananchi, hali hii imeadhiri sana ukuaji wa chama hiki kwa siku hizi!
•ACT WAZALENDO! ni chama kichanga lakini kinachangamoto ya kukosa sura ya kitaifa kwa kuegemea zaidi katika upande ya dini ya kiislam na kukifanya kupoteza mvuto katika maeneo mengi yasiyokuwa na waumimi wengi wa dini hiyo! Hili unaweza kuliona kwenye safu yake ya uongozi!
•ACT WAZALENDO ikumbukee kuwa ukuaji wake pia umechagizwa zaidi na mgogoro ndani ya chama cha CUF kwa hiyo bado ni chama kichanga sana hususani kwa tanzania bara!
•CUF ni chama kikongwe lakini kilichokosa ubunifu na kuibuka kwa migogoro ndani yake na kusababisa kusambaratika kwa wafuasi wake kwa kiasi kikubwa upande wa zanzibar!
•CUF ni chama kilichojiwekeza zaidi maeneo ya pwani na kukosa ushawishi wa kitaifa kwa miaka mingi kwa hiyo si chama chenye matumaini tena kwa watanzania kwa sasa!
PENDEKEZO
Nawaomba wazalendo na wapinzani wa kweli ndani ya nchi yetu wajitokeze ili kuunda chama kipya chenye sura ya kitaifa, na hili likifanyika mapema ili kuweza kukitamburisha kwa wananchi na ninauhakika kitatoa upinzani mkubwa sana kwa CCM 2025. Na kwa hilo tutapata serkali bora yenye kaundwa na watu wenye mawazo mseto kwa mustakabari mwema wa taifa letu!
HITIMISHO
Watanzania waliowengi wanasubiri sana chama kitakachowapa matumaini mapya katika kizazi hiki! Kuna na vyama vya upinzani vyenye sura ya kitaifa ni muhimu sana ili kufikia ndoto ya kuwa na demokrasia makini na chaguzi zenye ushindani. Naomba Mungu awabariki sana!
Kwani hata kile kilichozikwa pale buguruni walikinathibisha na udini na hata wakati fulani namabisu. kwani yote hayo sii likuwa uoga ili wasiendelee kutishika.
 
Hivi wewe mpumbavu tindo ndo nani? Unanipangia cha kuongea? Jamii forum ni forum ya mawazo huru we ndezi sijui ulijiunga vipi humu maana umejaa ushamba wa kijinga! Hujui kuwa unaweza kuwa ma muvi na bado ukawa mpumbavu na haujui kuwa hata wapumbavu wanazeeka!

Nasema hivi, katafuteni namna nyingine ya kupiga pesa za wajinga, sio hizo za kuanzisha chama kingine. Kama ww mwenyewe ndio umekuja na wazo la kuanzisha chama, na mjadala kidogo tu umekutoa nje ya mada yako, ndio itakuwa habari ya kuwa na chama mbadala? Ungekuwa unajua unachoongea ungebaki kwenye mada yako nje ya challenge yoyote kwenye mjadala wako. Badala yake umebaki unatukana, matusi yenyewe wala huyawezi. Waliokutuma waambie kizazi kimebadilika sio cha kuchaguliwa tena mke. Imeisha hiyo.
 
Mbona hicho chama kipo tayari, kipeni sapoti
tu !
FullC481834D2020-01-01.png
 
Nasema hivo kwa sabau zifatazo:.
•CCM imekuwa madarakani tokea kaundwa kwake mwaka 1977 na kwa sababu hiyo kutokana na hurka za wanadamu kimeonesha kupoteza ushawishi kadri siku zinavoenda.
•CCM kukosa sera au kupungukiwa mawazo mbadala kutokana na mfumo wake ila kwa sasbubu CCM inamuundo wenye sura ya kitaifa imekuwa ikikubarika katika maeneo mengi kutoka na wananchi kujisikia huru kukichagua hata kama hawakitaki au wamekichoka kwa kujihisi kuwa huru zaidi ukilinganisha na vyama vingine vyenye kukosa sura ya kitaifa!
•CHADEMA chama hiki kimekuwa na ukuaji mzuri ila kinachangamoto ya kuonekana na baadhi ya watanzania kuwa ni chama chenye chembechembe za ukabila na ukanda na kwa sababu hiyo kupoteza mvuto kwa baadhi ya watu katika jamii.
•CHADEMA imeonekana hususani katika siku za hivi karibuni kugeuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi na kukosa sera madhubuti kwa ajili ya wananchi, hali hii imeadhiri sana ukuaji wa chama hiki kwa siku hizi!
•ACT WAZALENDO! ni chama kichanga lakini kinachangamoto ya kukosa sura ya kitaifa kwa kuegemea zaidi katika upande ya dini ya kiislam na kukifanya kupoteza mvuto katika maeneo mengi yasiyokuwa na waumimi wengi wa dini hiyo! Hili unaweza kuliona kwenye safu yake ya uongozi!
•ACT WAZALENDO ikumbukee kuwa ukuaji wake pia umechagizwa zaidi na mgogoro ndani ya chama cha CUF kwa hiyo bado ni chama kichanga sana hususani kwa tanzania bara!
•CUF ni chama kikongwe lakini kilichokosa ubunifu na kuibuka kwa migogoro ndani yake na kusababisa kusambaratika kwa wafuasi wake kwa kiasi kikubwa upande wa zanzibar!
•CUF ni chama kilichojiwekeza zaidi maeneo ya pwani na kukosa ushawishi wa kitaifa kwa miaka mingi kwa hiyo si chama chenye matumaini tena kwa watanzania kwa sasa!
PENDEKEZO
Nawaomba wazalendo na wapinzani wa kweli ndani ya nchi yetu wajitokeze ili kuunda chama kipya chenye sura ya kitaifa, na hili likifanyika mapema ili kuweza kukitamburisha kwa wananchi na ninauhakika kitatoa upinzani mkubwa sana kwa CCM 2025. Na kwa hilo tutapata serkali bora yenye kaundwa na watu wenye mawazo mseto kwa mustakabari mwema wa taifa letu!
HITIMISHO
Watanzania waliowengi wanasubiri sana chama kitakachowapa matumaini mapya katika kizazi hiki! Kuna na vyama vya upinzani vyenye sura ya kitaifa ni muhimu sana ili kufikia ndoto ya kuwa na demokrasia makini na chaguzi zenye ushindani. Naomba Mungu awabariki sana!
Sukuma gang Naona mnakuja kivingine, anzisheni chama kama mnadhani ni rahisi kuanzisha chama kwa ajili ya upigaji tu. Wenzenu walianzishaga cck cck zikafa kibudu
 
Nasema hivo kwa sabau zifatazo:.
•CCM imekuwa madarakani tokea kaundwa kwake mwaka 1977 na kwa sababu hiyo kutokana na hurka za wanadamu kimeonesha kupoteza ushawishi kadri siku zinavoenda.
•CCM kukosa sera au kupungukiwa mawazo mbadala kutokana na mfumo wake ila kwa sasbubu CCM inamuundo wenye sura ya kitaifa imekuwa ikikubarika katika maeneo mengi kutoka na wananchi kujisikia huru kukichagua hata kama hawakitaki au wamekichoka kwa kujihisi kuwa huru zaidi ukilinganisha na vyama vingine vyenye kukosa sura ya kitaifa!
•CHADEMA chama hiki kimekuwa na ukuaji mzuri ila kinachangamoto ya kuonekana na baadhi ya watanzania kuwa ni chama chenye chembechembe za ukabila na ukanda na kwa sababu hiyo kupoteza mvuto kwa baadhi ya watu katika jamii.
•CHADEMA imeonekana hususani katika siku za hivi karibuni kugeuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi na kukosa sera madhubuti kwa ajili ya wananchi, hali hii imeadhiri sana ukuaji wa chama hiki kwa siku hizi!
•ACT WAZALENDO! ni chama kichanga lakini kinachangamoto ya kukosa sura ya kitaifa kwa kuegemea zaidi katika upande ya dini ya kiislam na kukifanya kupoteza mvuto katika maeneo mengi yasiyokuwa na waumimi wengi wa dini hiyo! Hili unaweza kuliona kwenye safu yake ya uongozi!
•ACT WAZALENDO ikumbukee kuwa ukuaji wake pia umechagizwa zaidi na mgogoro ndani ya chama cha CUF kwa hiyo bado ni chama kichanga sana hususani kwa tanzania bara!
•CUF ni chama kikongwe lakini kilichokosa ubunifu na kuibuka kwa migogoro ndani yake na kusababisa kusambaratika kwa wafuasi wake kwa kiasi kikubwa upande wa zanzibar!
•CUF ni chama kilichojiwekeza zaidi maeneo ya pwani na kukosa ushawishi wa kitaifa kwa miaka mingi kwa hiyo si chama chenye matumaini tena kwa watanzania kwa sasa!
PENDEKEZO
Nawaomba wazalendo na wapinzani wa kweli ndani ya nchi yetu wajitokeze ili kuunda chama kipya chenye sura ya kitaifa, na hili likifanyika mapema ili kuweza kukitamburisha kwa wananchi na ninauhakika kitatoa upinzani mkubwa sana kwa CCM 2025. Na kwa hilo tutapata serkali bora yenye kaundwa na watu wenye mawazo mseto kwa mustakabari mwema wa taifa letu!
HITIMISHO
Watanzania waliowengi wanasubiri sana chama kitakachowapa matumaini mapya katika kizazi hiki! Kuna na vyama vya upinzani vyenye sura ya kitaifa ni muhimu sana ili kufikia ndoto ya kuwa na demokrasia makini na chaguzi zenye ushindani. Naomba Mungu awabariki sana!
Umeandika upumbavu mtupu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom