Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Katika makosa watayofanya wapinzani awamu hii ni kushiriki uchaguzi mkuu huu bila kujitathimini na kuweka mambo sawa yafuatayo
1. Je, bado wanakubalika na wananchi?
2. Je, wananchi bado wana imani wapinzani kushinda uraisi,ubunge na udiwani kutangazwa?
3. Je, idadi ya watu iliyojitokezaa kuwapigia kura 2015 itarudi tena?
4. Ikitokea mambo sivyo wameanguka mtawaeleza nini wananchi kushidwa kwenu au sababu ni zile zile?
5. Je, wananchi wana aminii kweli mnaweza kushinda uchaguzi huu?
1. Je, bado wanakubalika na wananchi?
2. Je, wananchi bado wana imani wapinzani kushinda uraisi,ubunge na udiwani kutangazwa?
3. Je, idadi ya watu iliyojitokezaa kuwapigia kura 2015 itarudi tena?
4. Ikitokea mambo sivyo wameanguka mtawaeleza nini wananchi kushidwa kwenu au sababu ni zile zile?
5. Je, wananchi wana aminii kweli mnaweza kushinda uchaguzi huu?