Wapinzani msikubali kurejea kwenye uchaguzi mpaka CCM wakubali mkae mezani

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,406
Bila ya CCM kukubali kukaa nanyi mezani na kukubaliana kuunda taratibu mpya na namna bora ya kuendesha uchaguzi, wapinzani kamwe msikubali kurejea kwenye uchaguzi.

Mkisha kaa mezani tarehe mpya ya uchaguzi itangazwe ili kutoa muda wa kutosha kwa vyama vya upinzani kurejesha kuweka mipango sawa iliyokuwa imesitishwa.

Kwa kuwa sasa wametambua umuhimu wenu na ninyi sasa ndiyo muda wa kuwabana kisawa sawa. Mkirejea kienyeji mtaporwa ushindi mchana kweupe.

"Demokrasia ni nyenzo muhimu ktk maendeleo ya taifa"
 
Sidhani kama JPM anaweza kukubali kuka meza moja na wapinzani, nimjehuri sana anae jamini kufanya chochota anacho taka, diplomancy kwake nimsamiati
 
Sidhani kama JPM anaweza kukubali kuka meza moja na wapinzani, nimjehuri sana anae jamini kufanya chochota anacho taka, diplomancy kwake nimsamiati
Sasa ili kumkomesha yafaa mgomo uendelee na usiishie hapo, uende mpk kwenye uchaguzi mkuu. Bungeni pia wabunge wa upinzani washinikize kupatikana kwa tume huru
 
Hakuna kukaa mezani na genge la wahuni aka wakora,uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa,
Tunasubiri tamko la mabwana zenu (white people) waliowashikia akili
 
Mbowe na wenzake ni vichwa!

Washaona hii leverage,hawarudi uchaguzi kisenge!

Watakaa mezani na masharti kibao,utaona!

CCM ishaona hatari iliyopo!

Mbowe and his people are playing chess,these maccm are playing checkers,they are stupendously dumb!
 
Hakuna kukaa mezani na genge la wahuni aka wakora,uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa,
Tunasubiri tamko la mabwana zenu (white people) waliowashikia akili
Kauli zako hizi zinapingana na tamko la waziri Jaffo, ambaye anaonekana ameufyata vibaya mno. Na jiwe yupo ikulu anatetemeka. Endelea kumpoza jiwe kwa kauli zako hizi za kimbea
 
Kukaa mezani kufanya nini?

Upinzani wa sasa wanatakiwa kudai tume huru ya uchaguzi tu.

Hakuna lingine hapo.
 
Sasa ili kumkomesha yafaa mgomo uendelee na usiishie hapo, uende mpk kwenye uchaguzi mkuu. Bungeni pia wabunge wa upinzani washinikize kupatikana kwa tume huru
Huyu Baba is shameless ataendelea na mambo yake paka raia ndawaumie wenyewe
 
Hakuna kukaa mezani na genge la wahuni aka wakora,uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa,
Tunasubiri tamko la mabwana zenu (white people) waliowashikia akili
Bora hao mabeberu kuliko wewe mkoloni mweusi unaroho mbaya kumzidi hata kaburu, unawezaje kununua ndege huku kina mama wanajifungulia chini, watoto wadogo kabisa masikini ya Mungu wanasoma wamekaa kwenye mawe..kama kuna moto mtachomwa laana wakubwa nyie..
 
Ili kurudi kwenye.uchaguzi hakikisheni tume huru ya uchaguzi inapatikana kwanza ndio mambo mengine yafuate.. pia na.katiba mpya msiisahau maana ilikula.pesa za wananchi na yaliyomo ni maoni yao..
 
Sharti namba moja ni kufuta sheria tatu zilizolenga kuua upinzani.
Masharti mengine ni kuruhusiwa vyama vyote lufanya siasa, kufufua mchakato wa katiba ya Warioba, kuanzishwa tume huru ya uchaguzi, kumrudishia Tundu Antipas Lissu ubunge na kumlipa fidia zote walizozuia, nk,nk,
 
Sidhani kama JPM anaweza kukubali kuka meza moja na wapinzani, nimjehuri sana anae jamini kufanya chochota anacho taka, diplomancy kwake nimsamiati
hii poa tu, yaani kuanzia sasa naunga mkono uchapakazi wa Magufuri, kwani lazima tupite kwenye moto ili kuelekea kupata katiba iliyo bora hapo baadae. Nina uhakika baada ya muda hivi tukisema sasa tutunge katiba MPYA WATU AKILI ZITAKUWA ZIMEWAKAA SAWA. SIO KAMA ILIVYOTOKEA WAKATI JK alivyoitisha bunge la katiba wajumbe wakawa wanacheza mayenu-yetu. JPM piga kazi baba, kazia hapo hapo yaani HAPA KAZI TU, tulio wengi tujifunze
 
Wizi Una mwisho ,kanyoloke!
Bora hao mabeberu kuliko wewe mkoloni mweusi unaroho mbaya kumzidi hata kaburu, unawezaje kununua ndege huku kina mama wanajifungulia chini, watoto wadogo kabisa masikini ya Mungu wanasoma wamekaa kwenye mawe..kama kuna moto mtachomwa laana wakubwa nyie..
 
Kila mmoja hua na tafsiri kwenye tamko l olote,hiyo ni tafsiri yako


"Sirikali"
Kauli zako hizi zinapingana na tamko la waziri Jaffo, ambaye anaonekana ameufyata vibaya mno. Na jiwe yupo ikulu anatetemeka. Endelea kumpoza jiwe kwa kauli zako hizi za kimbea
 
Uchaguzi siyo mali ya ccm, ni wananchi wenye maamuzi.

Tamisemi ni waandaaji na wasimamizi wenye dhamana.
 
Na sisi tusio na vyama inakuwaje wanasiasa ni waharibifu kabisa,democracy inamapungufu makubwa sana sisi tusio na vyama hatuna nafasi kabisa
 
Wakifanya hivi itakuwa poa sana, maana JPM alikuwa ashaifanya hii nchi kuwa mali yake.

Mkuu

Upinzani kuna vichwa vya wazee vilivyotulia na sio kama yale maprofessor yaliyookotwa majalalani!

Na Mbowe sio wa mchezo mchezo!

Ana akili haswa!

Hii ni game ya chess!

I’m waiting to see whats unfolds!
 
Back
Top Bottom