Wapinzani mpaka sasa mlipaswa muwe mmekutana katika kikao cha dharura

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Kwa yanayoendelea hapa nchini ni wazi wapinzani mnapaswa kuuwa mmeitisha kikao cha dharura kutathimi hali hii na kuweka mikakati ya pamoja juu ya namna ya kukabiliana na hali hii.

Leo hii ni viongozi na wabunge wa CHADEMA ndio tunaonaa wamegeuka wahanga ila mjue kesho ni zamu ya wabunge na viongozi wa vyama vingine vya upinzani unless mtaamua kuwa upande wao.

Katika kikao hicho mnapaswa pia kuweka mikakati ya namna mtakavyotumia vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza mwezi huu mwishoni kuwasilisha hoja zenu na namna gani mtakavyozitetea hoja hizo ndani ya Bunge.

Ni wazi pia mnapaswa kuwa na kikao cha kwanza kujadili wazo la kuwa na chama kimoja cha siasa ifikapo 2020.

Anzeni majadiliano sasa na muweke Taifa mbele kuliko vyma vyenu na madaraka mliyonayo katika vyama hivyo.

Mkiungana na kuwa na chama kimoja hata CUF ya bwana yule kama itaendelea kuwepo basi itabaki CUF jina tu na haitoweza kushindana na chama kipya na sana sana watagawana kura na mabwana zao na wala si chama kipya kitakachokuwa kimeundwa.

Igeni mifano ya wapinzani katika mataifa mengine kama kweli mnataka kufanikiwa.

Tatizo ni sheri ya uchaguzi na msitarajie wataibadili kuwapa ahueni hivyo ni jukumu lenu kupambana na ku-overcome hizi obstacles.
 
Hawa jamaa muda mwingine wananifanya niamini hakuna upinzani Tanzania ,yaani bado wana safari ndefu sana
Zaidi ya kulalamika na kulaumu hamna kingine

Hivi Ben Saanane ndio tumesha msahau hivyo ?
 
Chama kimoja, dhubutu! Watu vyama ndiyo ulaji wao halafu waungane kuwa chama kimoja maanayake watakula viongozi tu wa hicho chama kimoja.

Ni wajinga pekee wanaoamini upinzani chini ya Lowasa, Mbowe, Sumaye na wenzao wataing'oa CCM madarakani.
 
labda watakuelewa ww mkuu wengine walishayasema sana hayo lakini mpaka leo hamna hata dalili ya utekelezaji sijui nani aliwambia upinzani unapimwa na wingi wa vyama
 
Kwny Vikao vya Siri vya Kampeni vya UKAWA 2015 kila walichokuwa wanakijadili Minutes za Kikao alikuwa anaZipata January Makamba kabla hata Kikao hakijafungwa. Wale Vijana wa kujumlisha Matokeo walikamatwa baada ya kusalitiana viongozi

Hata Leo hii wakikutana hawaaaminiani!
 
labda watakuelewa ww mkuu wengine walishayasema sana hayo lakini mpaka leo hamna hata dalili ya utekelezaji sijui nani aliwambia upinzani unapimwa na wingi wa vyama
Sisi tunashauri lakini maamuzi ni yao.
 
Kwa yanayoendelea hapa nchini ni wazi wapinzani mnapaswa kuuwa mmeitisha kikao cha dharura kutathimi hali hii na kuweka mikakati ya pamoja juu ya namna ya kukabiliana na hali hii.

Leo hii ni viongozi na wabunge wa CHADEMA ndio tunaonaa wamegeuka wahanga ila mjue kesho ni zamu ya wabunge na viongozi wa vyama vingine vya upinzani unless mtaamua kuwa upande wao.

Katika kikao hicho mnapaswa pia kuweka mikakati ya namna mtakavyotumia vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza mwezi huu mwishoni kuwasilisha hoja zenu na namna gani mtakavyozitetea hoja hizo ndani ya Bunge.

Ni wazi pia mnapaswa kuwa na kikao cha kwanza kujadili wazo la kuwa na chama kimoja cha siasa ifikapo 2020.

Anzeni majadiliano sasa na muweke Taifa mbele kuliko vyma vyenu na madaraka mliyonayo katika vyama hivyo.

Mkiungana na kuwa na chama kimoja hata CUF ya bwana yule kama itaendelea kuwepo basi itabaki CUF jina tu na haitoweza kushindana na chama kipya na sana sana watagawana kura na mabwana zao na wala si chama kipya kitakachokuwa kimeundwa.

Igeni mifano ya wapinzani katika mataifa mengine kama kweli mnataka kufanikiwa.
Samahani Mkuu Mimi naona umepungua Kilo ulivyokua 2014 na sasa Niko sahihi?
 
Kwa yanayoendelea hapa nchini ni wazi wapinzani mnapaswa kuuwa mmeitisha kikao cha dharura kutathimi hali hii na kuweka mikakati ya pamoja juu ya namna ya kukabiliana na hali hii.

Leo hii ni viongozi na wabunge wa CHADEMA ndio tunaonaa wamegeuka wahanga ila mjue kesho ni zamu ya wabunge na viongozi wa vyama vingine vya upinzani unless mtaamua kuwa upande wao.

Katika kikao hicho mnapaswa pia kuweka mikakati ya namna mtakavyotumia vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza mwezi huu mwishoni kuwasilisha hoja zenu na namna gani mtakavyozitetea hoja hizo ndani ya Bunge.

Ni wazi pia mnapaswa kuwa na kikao cha kwanza kujadili wazo la kuwa na chama kimoja cha siasa ifikapo 2020.

Anzeni majadiliano sasa na muweke Taifa mbele kuliko vyma vyenu na madaraka mliyonayo katika vyama hivyo.

Mkiungana na kuwa na chama kimoja hata CUF ya bwana yule kama itaendelea kuwepo basi itabaki CUF jina tu na haitoweza kushindana na chama kipya na sana sana watagawana kura na mabwana zao na wala si chama kipya kitakachokuwa kimeundwa.

Igeni mifano ya wapinzani katika mataifa mengine kama kweli mnataka kufanikiwa.

Tatizo ni sheri ya uchaguzi na msitarajie wataibadili kuwapa ahueni hivyo ni jukumu lenu kupambana na ku-overcome hizi obstacles.
Zitto
 
Back
Top Bottom