minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Ruzuku ya CCM ina ufisadi wa kutisha ni bahati CAG hajapewa uhuru wa kuikagua hata Takukuru wakiruhusiwa kuikagua CCM wengi watafungwa jela, CCM haitumii vyema pesa za walipa kodi na haijaleta maendeleo zaidi ya kutumia pesa vibaya kudhoofisha kuihujumu chadema kuua upinzani.We bwege nini? Ruzuku ya Chadema mlilipa kijanja Mbowe bil 8. Takukuru lazima wapeleke mahakamani. Ccm haina matumizi mabaya ya ruzuku kama unavyosema ndio maana inatumia vyema hata pesa za walipa kodi kuleta maendeleo kwa kuwabana mafisadi.