Wapinzani mna la kusema Uchaguzi wa Udiwani?

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
Ilikuwa ni mbwembwe na vifijo baada ya kupata kiti kimoja cha udiwani kati ya 16 vinavyogombaniwa.

mkuu zitto alitinga na heading upinzani1 ccm 0 na kutuahidi kuwa hii yote ni dalili za nyakati, inaonyesha ccm hawatakiwi na watakiona.


kumbe ushindi wenyewe ni wa goli visa kule kwetu huliita.

sasa wako kimya hamna update yeyote sio kama hawana info cha kilichotokea ila wamepata vitetemeshi vya mikono na midomohawana la kusema.

wakowalioanza kutoa visababu ati wananchi uelewa wao mdogo, kisa wamepiga chini upinzani. hawa hawa wakiwazomea CCM uelewa unakuwa juu, hawa ndio watuwa double standard.

hii inaonyesha yale maneno yangu ya kila siku kuwa upinzani ni machelema, bado hawajaiva, wanaanza kuwatukana wakunga na uzazi ungalipo.

Ccm chama cha kimapinduzi, imara daima kina chapa kazi
 
Mtu wa Pwani;

The mobile number you are calling is currently busy, either the person you want to reach is busy with report ya mafisadi or reading and responding to JF posts,

should you think that it is important and/or necessary to get them kindly call after three (3) months.

Otherwise thanks for calling!!!
 
Mtu wa Pwani
Great to have you here, i like your side of the story. Kuna kitu kimoja unachtakiwa kujua, ile notion ya samaki mmoja akioza ni wote, sio ya kweli kwa watu wazima wenye akili timamu, ukumbuke kuwa CCM kuna mafisadi lakini hii ahina maana kuwa wote ni mafisadi au wezi, unaweza kukumbuka kuwa so far waliofikisha taifa lilipo wengi ni wana CCM, mchango wa upinzani tumeanza kuuona sasa. Kwa hiyo kwa CCM kupata viti sio dhamabi ni kawaida kabisa kwenye siasa za vyama vingi, lakini swali linaweza kuwa wamepata vipi. nadhani unajua wazi kuwa CCM ni mambigwa wa "to make a plan" kwenye changuzi, utakumbuka wazi walichofanyiana huko Arusha, na bahati "nzuri" ikitokea kati ya CCM na mpinzani hayo huwa hayafichuliwi.
Lakini sema kidogo ni nini kimewafanya CCM washinde hivyo viti walivyoshinda?uwe mkweli.
 
Ilikuwa ni mbwembwe na vifijo baada ya kupata kiti kimoja cha udiwani kati ya 16 vinavyogombaniwa.

mkuu zitto alitinga na heading upinzani1 ccm 0 na kutuahidi kuwa hii yote ni dalili za nyakati, inaonyesha ccm hawatakiwi na watakiona.


kumbe ushindi wenyewe ni wa goli visa kule kwetu huliita.

sasa wako kimya hamna update yeyote sio kama hawana info cha kilichotokea ila wamepata vitetemeshi vya mikono na midomohawana la kusema.

wakowalioanza kutoa visababu ati wananchi uelewa wao mdogo, kisa wamepiga chini upinzani. hawa hawa wakiwazomea CCM uelewa unakuwa juu, hawa ndio watuwa double standard.

hii inaonyesha yale maneno yangu ya kila siku kuwa upinzani ni machelema, bado hawajaiva, wanaanza kuwatukana wakunga na uzazi ungalipo.

CCM CHAMA CHA KIMAPINDUZI
IMARA DAIMA KINA CHAPA KAZI


Kwa taarifa nilizozipata wakati naondoka DSM jana usiku. Huko arusha kata ya Sombetini(nilipokuwa niende kwenye kampeni kabla ya kupata ajali)- upinzani umeshinda kupitia mgombea wa TLP. Huko majengo(alipokwenda Zitto Kabwe na Regia Mtema kusaidia kampeni)-upinzani umeshinda kupitia mgombea wa CHADEMA. Vipo viti vichache ambavyo CCM ilipita toka kabla ya upigwaji kura ambavyo sasa inarudia kuhadithia kuonyesha kuwa imeshinda. Lakini kwa matokeo ya kura za wananchi hivyo ndivyo hali ilivyo. Upinzani 2, CCM 0. Nitawajulisha nikipata taarifa zaidi.

JJ
 
mtu wa pwani, nilidhani unatupa taarifa za matokeo, kumbe ni porojo!!!!!!!!!!

ha...... ha........ ha.........
 
Safi sana JJ!!!!!!

endelea kutuletea, maana naona wengine wameanza kejeli wakati bado hata matokeo hayajajulikana vyema.
 
Mtu wa Pwani na wewe ujitahidigi basi uwakage hata vidata kidgo, maneno tu, kichwa cha habari kikubwa kumbe hamna lolote, duhuu, kweli uccm ni problem!
 
Mtu wa Pwani na wewe ujitahidigi basi uwakage hata vidata kidgo, maneno tu, kichwa cha habari kikubwa kumbe hamna lolote, duhuu, kweli uccm ni problem!

mpaka saa hii tushawabwaga kwa mbali yaani hadi sasa upinzani hawana zaidi ya hivyo vitatu kwa ujumla ila stay in tune ili zithibitishwe zaidi
 
CCM unopposed in five wards
DAILY NEWS Reporter
Daily News; Monday,October 29, 2007 @00:04

FIVE CCM candidates sailed through unopposed in by-elections for councilors in 16 wards held throughout the country yesterday, fanning speculation that the ruling party could emerge with massive victory in full results expected today.

According to the Director of the National Electoral Commission (NEC), Mr Rajab Kiravu, the polling stations opened on time and closed accordingly without any hitches. Also, there were no reports of ugly incidents.

He told the Daily News that the five CCM candidates were from Lipumburu Ward in Mtwara Region, Ifunda and Ulanda wards in Iringa Region and Mkula and Mwandu wards in Mwanza Region. The opposition Tanzania Labour Party (TLP) won in Namkukwe Ward, Mbeya Region.

Results were awaited from 10 wards Kilema East in Kilimanjaro Region, Marumba, Muhuwezi and Majengo in Ruvuma Region, Masuguru in Tanga Region, Sombetini in Arusha Region, Katazi, Kabwe and Namanyere in Rukwa Region and Ngulinguli in Shinyanga Region.

The by-elections were held as planned after the High Court in Dar es Salaam quashed an attempt by four opposition parties to stop the polls.

Judges Njengafibili Mwaikugile, Robert Makaramba and Aisha Nyerere ruled last Friday that the application that was lodged by the opposition parties lacked merits.

The parties that had wanted the by-elections be suspended until determination of their constitutional petition pending in the court were the Tanzania Labour Party (TLP) , Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Civic United Front (CUF) and National Convention for Construction and Reform (NCCR Mageuzi).

In their constitutional petition set for hearing next February, the parties are asking, among other things, for declaration that the decision by NEC not to register about 50,000 eligible voters, who were 18 years and above in the permanent voters register was unconstitutional.

The by-elections were a result of the death of incumbents, transfer of some aspirants and election discrepancies reported in the previous election.
 
...wacha wachukue hizo uncontested election,i'm interested na results ambazo opposition waliweka watu wao na kupiga kampeni
 
Matokeo ya uchaguzi wa madiwani hadi hivi sasa kati ya kata zilizotangazwa hadi hivi sasa ni hizi ukiondoa zile ambazo wagombea walipita bila kupingwa.

= Ruvuma - CCM Kata 2 (Tunduru)
Wapinzani 1 (Songea Mjini)

= Rukwa - CCM Kata 2
Wapinzani 1 (Kata ya Kabwe)
Arusha - Wapinzani 1

Matokeo yanayosubiriwa:

= Mwanza
= Shinyanga
= Kilimanjaro (Uchaguzi utafanyika Novemba)
 
CCM unopposed in five wards
DAILY NEWS Reporter
Daily News; Monday,October 29, 2007 @00:04

FIVE CCM candidates sailed through unopposed in by-elections for councilors in 16 wards held throughout the country yesterday, fanning speculation that the ruling party could emerge with massive victory in full results expected today.



According to the Director of the National Electoral Commission (NEC), Mr Rajab Kiravu, the polling stations opened on time and closed accordingly without any hitches. Also, there were no reports of ugly incidents.



He told the Daily News that the five CCM candidates were from Lipumburu Ward in Mtwara Region, Ifunda and Ulanda wards in Iringa Region and Mkula and Mwandu wards in Mwanza Region. The opposition Tanzania Labour Party (TLP) won in Namkukwe Ward, Mbeya Region.



Results were awaited from 10 wards Kilema East in Kilimanjaro Region, Marumba, Muhuwezi and Majengo in Ruvuma Region, Masuguru in Tanga Region, Sombetini in Arusha Region, Katazi, Kabwe and Namanyere in Rukwa Region and Ngulinguli in Shinyanga Region.



The by-elections were held as planned after the High Court in Dar es Salaam quashed an attempt by four opposition parties to stop the polls.



Judges Njengafibili Mwaikugile, Robert Makaramba and Aisha Nyerere ruled last Friday that the application that was lodged by the opposition parties lacked merits.



The parties that had wanted the by-elections be suspended until determination of their constitutional petition pending in the court were the Tanzania Labour Party (TLP) , Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Civic United Front (CUF) and National Convention for Construction and Reform (NCCR Mageuzi).



In their constitutional petition set for hearing next February, the parties are asking, among other things, for declaration that the decision by NEC not to register about 50,000 eligible voters, who were 18 years and above in the permanent voters register was unconstitutional.



The by-elections were a result of the death of incumbents, transfer of some aspirants and election discrepancies reported in the previous election.


Kitila

Habari hii ilishatoka siku nyingi, nashangaa daily news kuifanya lead story one day after voting. Hawa wagombea walisha-sail through mwanzoni kabisa mwa kampeni.

Kote kulikuwa na wagombea ila wakatolewa kwa sababu za kiufundi. Kama ilivyo ada tuliachiana kata- with exception of muheza na muhuwezi ambazo ngazi za chini waling'an'ania hata hivyo baadaye ilikuwa resolved). Katika hizo kata tano nadhani moja ni ya TLP na zingine ni za CUF. Yupo mgombea aliwekewa pingamizi. Lakini wengi kati ya hao watano ni wale ambao walijitoa(kwa maelezo ya CUF ni kwamba walinunuliwa)- which circumstantial appears to be true, what they said is- chama makao makuu kiliwatekelekeza hakikuwasaidia fedha za kampeni- only to find that each ward for CUF was alloted 500,000 as first installment of support.

JJ
 
Matokeo ya uchaguzi wa madiwani hadi hivi sasa kati ya kata zilizotangazwa hadi hivi sasa ni hizi ukiondoa zile ambazo wagombea walipita bila kupingwa.

= Ruvuma - CCM Kata 2 (Tunduru)
Wapinzani 1 (Songea Mjini)

= Rukwa - CCM Kata 2
Wapinzani 1 (Kata ya Kabwe)
Arusha - Wapinzani 1

Matokeo yanayosubiriwa:

= Mwanza
= Shinyanga
= Kilimanjaro (Uchaguzi utafanyika Novemba)


Asante kaka,

Ni vyema ukaweka vile vile upinzani(chama) kwa ajili ya rejea ya kirahisi.

Nasikitika sana kwamba tumepoteza Namanyere- we had all the reasons to win this ward!

Salam toka Msamvu

JJ
 
Matokeo ya uchaguzi wa madiwani hadi hivi sasa kati ya kata zilizotangazwa hadi hivi sasa ni hizi ukiondoa zile ambazo wagombea walipita bila kupingwa.

= Ruvuma - CCM Kata 2 (Tunduru)
Wapinzani 1 (Songea Mjini)

= Rukwa - CCM Kata 2
Wapinzani 1 (Kata ya Kabwe)
Arusha - Wapinzani 1

Matokeo yanayosubiriwa:

= Mwanza
= Shinyanga
= Kilimanjaro (Uchaguzi utafanyika Novemba)

So far so good.
 
katika kinyan'ganyilo cha udiwani songea kata ya majengo
matokeo ni kwamba
chadema,tlp,cuf =1015
ccm=554
dadi mzima dadi?
 
Asante sana mzee wa kijijini na Mnyika na wote mnaotupatia habari hizi . TVT. Daily News , RTD wote ni wale wale na HabariLeo
 
Kitu muhimu hapa sio,nani kashinda,kwanza cha kutazamwa ni hali ya upigaji kura ,salama hakuna fujo yaani kuonekane na maendeleo flani flani ukilinganisha na Uchaguzi mkuu uliopita,mazingira ya upigaji kura hakuna udanganyifu,hakuna rushwa,hakuna unyanyasaji unaotokana na vyombo vya dola,wala usumbufu kwa mawakala ili kuleta na kujenga matokeo yatakayokubalika kwa kila mmoja,hapo ndio tutakapofanikiwa kuijenga Tanzania inayosifika kwa utulivu na amani.
Mkimalizia hapo mtaona ubora wa uchaguzi wa haki usio kuwa na udanganyifu,haki ya raia imethaminiwa kuchagua kile akipendacho na mwisho ,ni kipimo cha upinzani,ikiwa mna kumbukumbu muandike mwanzo kiti hicho kilikuwa kwa Chama gani na sasa kimenyakuliwa na chama gani,mtapata uwiano wa mvuto wa chama na kuanguka chama chengine,hivi ni viti 16 sijui Chama Tawala kilikuwa na viti vingapi,kama kuna mtu ana kumbukumbu atuambie ili tuone exodus ya wapiga kura.
 
Kitu muhimu hapa sio,nani kashinda,kwanza cha kutazamwa ni hali ya upigaji kura ,salama hakuna fujo yaani kuonekane na maendeleo flani flani ukilinganisha na Uchaguzi mkuu uliopita,mazingira ya upigaji kura hakuna udanganyifu,hakuna rushwa,hakuna unyanyasaji unaotokana na vyombo vya dola,wala usumbufu kwa mawakala ili kuleta na kujenga matokeo yatakayokubalika kwa kila mmoja,hapo ndio tutakapofanikiwa kuijenga Tanzania inayosifika kwa utulivu na amani.
Mkimalizia hapo mtaona ubora wa uchaguzi wa haki usio kuwa na udanganyifu,haki ya raia imethaminiwa kuchagua kile akipendacho na mwisho ,ni kipimo cha upinzani,ikiwa mna kumbukumbu muandike mwanzo kiti hicho kilikuwa kwa Chama gani na sasa kimenyakuliwa na chama gani,mtapata uwiano wa mvuto wa chama na kuanguka chama chengine,hivi ni viti 16 sijui Chama Tawala kilikuwa na viti vingapi,kama kuna mtu ana kumbukumbu atuambie ili tuone exodus ya wapiga kura.

Mwiba, Mwalimu wako wa darasa la tatu hakukufunza matumizi ya vituo? Unaumiza macho ya wasomaji wa maandishi yako.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom