Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni wale wanahakikisha wanakitambulisho tu. Na kuna wengi hawana.29,188,347 ndiyo idadi ya wapiga kura ktk daftari kwa uchaguzi wa Tanzania 2020.
Idadi ya waTanzania walioenda kupiga kura kufuatana na matokeo anayotangaza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi toka majimbo machache matokeo yake yaliyosomwa inaonesha ni asilimia ndogo wamejitokeza yaani kiasi cha asilimia 50 ndiyo wamekwenda kupiga kura.
Hamasa ilikuwa kubwa pande za wanaolinda kubaki madarakani kwa miaka mitano mingine na wakati pia hamasa ilikuwa kubwa kwa wale waliotaka kuingia mitano mwanzo kama serikali Mpya kupitia upinzani.
Nini kimepelekea waliojitokeza kuwa 50% ya wapiga kura 29,188,347 huku wengine hawakwenda kupiga kura ? Wapiga kura zaidi milioni 10 kutopiga kura hii inaashiria nini?
Hivi unajua Bungeni wanalipwaje? Unafikiri wanaopambana kuingia mle hawajui wanachokitafuta? Pension yao unaijua?Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.
Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.
Msikubali hata kidogo.
Hivi jioni kuwa unajidhalilisha kwa kutaja wafadhili kila unapoandika. Hivi ukipata mfadhili hapo ulipo uko tayari kumpa niniBaada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.
Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.
Msikubali hata kidogo.
Nani alikwambia kwenye siasa hamna adui wa kudumu,emu haya maneno kajaribu kuwaeleza familia ya marehemu Kambona kwamba kama wanaweza wakawa na urafiki na familia ya nyerere.Kwakua uchaguzi umekwisha, na wingi wameshindwa basi sidhani kama wapo watakao kataa teuzi.
Mkuu, wapinzani pia ni watu na wanafamilia zinazo waregemea. Istoshe tu kwamba siasa sio ugomvi na haijawahi tokea adui wa kudumu kwenye siasa.
Na kwakua hili ni swala mtambuka, basi ebu ngoja tuone.
Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.
Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.
Msikubali hata kidogo.
Mkuu, ebu jaribu kutofautisha usaliti na siasa please....Nani alikwambia kwenye siasa hamna adui wa kudumu,emu haya maneno kajaribu kuwaeleza familia ya marehemu Kambona kwamba kama wanaweza wakawa na urafiki na familia ya nyerere.
Kiliza kweli wewe!Mlifikial mpaka hatua ya kutetea mashoga kwa kukana maamuzi yenu kuhusu mashoga ili muwafurahishe wanaowapa mikopo na misaada alafu unaonge upuuzi huu!Hivi jioni kuwa unajidhalilisha kwa kutaja wafadhili kila unapoandika. Hivi ukipata mfadhili hapo ulipo uko tayari kumpa nini
Hakuna uharimia wowote. Mmeshindwa uchaguzi, kubalini matokeo. Wananchi wamewakataa.Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.
Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.
Msikubali hata kidogo.
Atakula matapishi yake maana alishasema hawezi kumteua mtu asiyeweza kumtengua, Baba huyu 🙌🙌🙌🙌Mrema au Cheyo mmoja wao atakua KUB
Kwa suala la kuitaka Tanzania iliyo imara yenye muelekeo wa kujiamulia mambo yake yenyewe bila kuingiliwa na wabaya wetu, niko tayari kuitwa majina ya aina yoyote! Sitaona aibu litakapowekwa mezani jambo la kuithamini, kuiimarisha na kuiwezesha Tanzania 'KUJITEGEMEA' kiuhalisia.Jee mkuu @TUJITEGEMEE nawe unakubali kuonekana mpumbavu kwa kuukubali ujinga huu?
Yeye akisusa, wengine wanakula 😅😅Teuzi itakuwa ngumu kuzikataa. You just wait and see
Huenda kukawa na figisufigisu zimefanyika lakini kosa kubwa la Upinzani lilianzia kwenye kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura na pili kosa la pili lilikuwa Jana.Hapa mtaani Kuna watu watano licha ya kuwapitia majumbani kwao walikataaa katakata kwenda kupiga kura wakisema hata wakipiga kura Mgombea wetu hatatangazwa.Salary Slip huu uchaguzi mzee mumeshindwa kwa haki. Mtaani kila mtu ameridhika watu tunaendelea na Maisha yetu.
Wakatae alaf waje kula hayo makalio yako? Heheheh njaaa Mbaya tena sahiv wengine watakuwa wanajitongozesha kwa MkuluBaada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.
Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.
Msikubali hata kidogo.
HAKUNA uharamia uliofanyika, wapinzani walijisahau sana na wananchi wametoa yao ya moyoni. We umeona wapi mtu anakwenda kutafuta bifu bungeni ili aandikwe mitandaoni huku akisahau jukumu lililompeleka kule.Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.
Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.
Msikubali hata kidogo.
Njaa inatisha jamani....kingine wengi wa hawa wapuuzi (wapinzani) wana majukumu ya kutunza nyumba zao ndogo, pia wana milolongo kibao ya machangu wawatunzao.....hawawezi kukataa uongozi iwapo watachaguliwa na jiwe.Teuzi itakuwa ngumu kuzikataa. You just wait and see