Wapinzani, mkipewa uteuzi kataeni

Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.

Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule

Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.

Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.

Msikubali hata kidogo.
Magufuli atajaribu kuwa
Baada ya hii hujuma ya uchaguzi na ili kuhadaa Ulimwengu na hasa nchi wafadhili, mnaweza kupewa uteuzi lengo likiwa ni kuonyesha kuwa demokrasia ya vyama vingi inaheshimiwa na inapewa nafasi katika utawala huu.

Nachowashauri, ikitokea mmoja wenu au baadhi yenu wamepewa uteuzi wa kuingia Mjengoni au kwingineko, kataeni hizo nafasi kwani itakuwa ni kubariki huu uharamia uliofanywa dhidi yenu na zaidi itakuwa ni kutekeleza kila kinachoitwa divide and rule.

Msikubali hata kidogo.
Magufuli atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa kazi ili wajiunge kwenye serikali yake. Kiukweli hii itakuwa ni propaganda kuwaonyesha watu kwamba mpaka wapinzani wanamuunga mkono. Mungu amsaidie Tundu Lissu na Watanzania waishio nje waweze kuwashawishi wazungu waiwekee serikali yake vikwazo.
 
Mkuu mpinzani aweza kuwa Shibuda. U ategemea Shibuda anaweza kuukataa unmbunge akipewa??
Shibuda huwa Akili yake ni ndogo Mno tena mno hata akipewa uteuzi wa kuwa mkuu wa vyoo vya umma kwenye stand ya ubungo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom