Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Mbona kiki mnazipiga wenyewe huoni mnavyotandika watu bakora?Mimi naomba waendelee kukaa kimya hivyo hivyo ili kiki zisipatikane!
Mbona kiki mnazipiga wenyewe huoni mnavyotandika watu bakora?Mimi naomba waendelee kukaa kimya hivyo hivyo ili kiki zisipatikane!
CCM wana polisi.Kuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi,kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja,mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.
CCM wana polisi.Mimi naomba waendelee kukaa kimya hivyo hivyo ili kiki zisipatikane!
Huyu mleta uzi ni upepo tuAchana nae huyo mzinguaji
Twendeni barabarani, tuanzie za Ubelgiji.Kuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi, kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja, mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi Uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.Kuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi, kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja, mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi Uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.Mimi naomba waendelee kukaa kimya hivyo hivyo ili kiki zisipatikane!
Mbona kuna wahuni wamepigwa risasi huko UsA?Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.
Ccm na vibaraka wenu mna la kujifunza.
Sasahivi kila kitu kiko vizuri, hakuna haja ya kuhoji.Sijawalazimisha kutoa maoni nawasisitiza tu watumie vizuri haki ya kujieleza kwa manufaa ya umama.
Tuwasubiri Bashilu na Polepole watatupatia tathmini.Kwani vyama vimefutwa? Kwani kutoa tathimini juu ya hali ya siasa lazima muwe na wabunge?
Hakuna sababu ya kubabaika na wapinzani walikataliwa na kura feki za ccm,wamepata watu sahihi wa kuwasilisha hoja zenye mashiko,pia mkulu alishalisema mapema kwamba wapinzani walichelewesha sana maendeleo ya nchi hii na kuitafuna sana hivyo hata hoja zao kipindi hiki cha chama kimoja zitachelewesha maendeleo na kusababisha umaskini kwa Watanzania.Elewa ninachosema,kama kuna ufisadi umefanyika na mpinzani anauibua hapo kuna kosa? Nani atambakia kesi? Uchaguzi kunajisiwa? Mbona watanzania wapo kimya? Au wewe peke yako ndio ulishuhudia?
Tupe tathimini yako,ili nawengine tufuate,kwani wengine bado kufanya hugo tathimini.Kuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi, kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja, mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi Uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.
🤐🤐🤐Hii ngumi ya pua chagu wa malunde
uchaguzi huu magufuli alishinda ? duh uwezo wako waunafiki sijapata uona .Mimi ni mwana ccm ila najua sikushinda nafurahi tumebaki madarakani ila unafiki suiweziKuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi, kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja, mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi Uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.
Tuongelee nini?Kuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi, kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja, mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi Uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.
Fanyeni tathmini wenyewe wangapi mmepigwa viboko na MaDC!Kuna mwaka niliwahi kukutana na mzee mmoja alikuwa akisoma gazeti la Mwanahalisi, kipindi lipo hot kuibua ufisadi na madudu ya awamu ya nne.
Mimi kama mtu mdadisi nilimuuliza swali moja, mzee samahani, sikujui lakini samahani hawa jamaa wa Mwanahalisi wanapata wapi hizi tips na kulipua haya madudu. Madudu ambayo ni ukweli mtupu! Yule mzee alinijibu jibu moja tu kuwa hawa Mwanahalisi wanatoa picha ya jinsi nchi ilivyo.
Wapinzani mbona mpo kimya au bado mnatafakari jinsi Uchaguzi ulivyowatupa kombo?
Tupeni picha ya nchi,kuna ufisadi? Je kuna ubadhirifu?
Jamani kukosa wabunge isiwe sababu ya kukaa kimya. Kama kuna uozo mtuambie.