Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
- Thread starter
- #41
Kwani vyama vimefutwa? Kwani kutoa tathimini juu ya hali ya siasa lazima muwe na wabunge?Godbless Lema: Kuna siku mtavililia vyama vya Upinzani viwasemee hamtavipata
Anaandika GODBLESS J. LEMA (MB) Arusha Vuta Picha Vyama vyote vikafutwa katika kipindi hiki kikabaki CCM tu chama ulichonacho wewe. Then hao uliokua unawaona hawafai akina Mbowe, Mdee, Heche, Nassary, Lema n.k wakaona ni UJINGA KUFA unatetea watu wasiojua kujisaidia wenyewe. Wakajiuliza Kwani...www.jamiiforums.com