Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Kadakadakada!
Usijimalize kwa udaku
Halafu CCM ya MAFISADI wako Tayari kuleta maendeleo Tanzania? Je ulisoma Mkataba wa BUZWAGI, ukiambiwa uliandikiwa pale darajani MAnzese utakataaa? Tuachane na propaganda za Rai na RA.Hakuna wa kumwomba radhi JK ni ndoto tu, mwambie afanye aliyoyaahidi.
Hiki ndicho hawataki kuona kikiendelea.
Ukiangalia hasira zote hapa zilianza baada ya mikataba ya Buzwagi, Tanesco, na Richmonduli kuwekwa hapa. Hasira imekuwa juu ya hasira kwa sababu hawakutegemea kama JF inaweza kumwaga lazi kiasi hiki!
Since then, watu wameanza kuipondea JF ili ionekane haifai. The same trick alotumia mwizi, mkoloni na mkwepa kodi Rostam Azizi dhidi ya wapinzani wa Kikwete wakati wa uchaguzi wa ccm 2005